Mabadiliko ya mzunguko wa damu kwa wajawazito.

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko ya mzunguko wa damu kwa wajawazito, tunajua wazi kuwa wajawazito pindi ujauzito ukiingia tu, kila kitu kwenye mwili ubadilika vile vile na mzunguko wa damu ubadilika.

Mabadiliko ya mzunguko wa damu kwa wajawazito.

1.Kwanza kabisa tunajua wazi kuwa mama akibeba mimba na mzunguko wa damu unabadilika kwa sababu hapo awali ni Mama pekee aliyekuwa anatumia damu ila kwa sababu ya kuwepo kwa kiumbe kingine ili nacho kiweze kutunzwa kwa miezi tisa na msukumo wa damu ubadilika kama ifuatavyo.

 

2.Moyo.

Kiasi cha moyo ubadilika kwa asilimia kumi na mbili kwa hiyo kiasi cha moyo uongezeka ili kuweza kusukuma damu kwa mama na kwa mtoto hali  hii ya mabadiliko uchukua miezi tisa na baada ya miezi tisa hali huwa kawaida.

 

3.Mapigo ya moyo nayo uongezeka.

Wakati wa ujauzito na mapigo ya moyo ubadilika yaani uongezeka kutoka kwa asilimia themanini na tano mpaka asilimia hamsini, hali hii utokea ili kuweza kusukuma damu kwenye figo, ubongo na katika mishipa mingine ya damu.

 

4. Spidi ya damu nayo uongezeka.

Spidi ya damu uongezeka kutoka kwenye kiwango cha kawaida kwa sababu uweza kusukuma damu kwa haraka kutoka kwa Mama ili kuweza kuondoa wadudu wanaoweza kusababisha magonjwa na pia kuweza kuweza kusafirisha mahitaji yote kwa mtoto na Mama.

 

5. Kiwango cha seli nyeupe za damu nacho uongezeka ili kuweza kuzuia kuwepo kwa bakteria na kupambana na Maambukizi yoyote ambayo yanaweza kushambulia Mama na mtoto wakati wa ujauzito.

 

6. Kwa hiyo akina Mama wakisikia mabadiliko kwenye miili yao wanapaswa kufahamu kubwa ni kwa sababu ya kuwepo kwa mimba na baadae hali inakuwa kawaida

 

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1465

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
πŸ‘‰1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    πŸ‘‰2 Kitau cha Fiqh    πŸ‘‰3 kitabu cha Simulizi    πŸ‘‰4 Madrasa kiganjani    πŸ‘‰5 Bongolite - Game zone - Play free game    πŸ‘‰6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Mambo yanayopelekea Mjamzito kutokwa na damu

Posti hii inahusu zaidi mambo mbalimbali ambayo yanapelekea Mjamzito kutokwa na damu, hizi ni baadhi ya sababu ambazo usababisha Mjamzito kutokwa na damu.

Soma Zaidi...
Sababu za Ugonjwa wa kifafa cha mimba.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kifafa cha mimba, kwa kawaida mpaka sasa hakuna taarifa zozote kuhusu sababu za kuwepo kwa kifafa cha mimba ila kuna visababishi vinavyofikiliwa kama ni Dalili za kifafa cha mimba kama ifuatavyo

Soma Zaidi...
Uchunguzi wa Nimonia kwa mtoto na Tiba

Posti hii inahusu namna unavyoweza kumtambua mtoto mwenye Ugonjwa wa Nimonia na tiba anayopaswa kupata mtoto mwenye Nimonia

Soma Zaidi...
Maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa

Utajifunza sababu za kuweo kwa maumivu ya uume wbaada ya tendo la ndoa na wakati wa tendo la ndoa.

Soma Zaidi...
Siku za kupata mimba

Nitakujulisha siku ya kupata mimba na sifa zake, na namna ya kuweza kuitafuta

Soma Zaidi...
Mambo ya kuzingatia kwa Mama mwenye mimba

Posti hii inahusu zaidi mambo ya kuzingatia kwa Mama mwenye mimba, ni kipindi ambacho Mama uhitahi uangalizi wa karibu zaidi.

Soma Zaidi...
Je siku sahihi yakufanya tendo la ndoa niipi ukipata siku zake za hatari?

Swali langu ni hili doktaJe siku sahihi yakufanya tendo la ndoa niipi ukipata siku zake za hatari?

Soma Zaidi...
Nataka nijue Kuwa njia yakuzuia mimba wakati Wakufany tendo La ndoa

Je ungependa kuijuwa Njia ya kuzuia mimba wakati wa tendo la ndoa?. Posti hii itakwenda kukufundisha ujanja huu.

Soma Zaidi...
Je ?kipimo kikionyesha misitar miwili mmoja hafifu mwingine umekolea ni mimba au sio

Kipimo chamimba cha mkojo, huonyesha nestory miwili kuwa una mimba, na mmoja kuwa huna mimba. Sasa je ukitokea mmoja umekoleana mwingine hafifu? Endelea na pasti Òœï¸ hadi mwisho

Soma Zaidi...