Posti hii inahusu zaidi mabadiliko ya mzunguko wa damu kwa wajawazito, tunajua wazi kuwa wajawazito pindi ujauzito ukiingia tu, kila kitu kwenye mwili ubadilika vile vile na mzunguko wa damu ubadilika.
Mabadiliko ya mzunguko wa damu kwa wajawazito.
1.Kwanza kabisa tunajua wazi kuwa mama akibeba mimba na mzunguko wa damu unabadilika kwa sababu hapo awali ni Mama pekee aliyekuwa anatumia damu ila kwa sababu ya kuwepo kwa kiumbe kingine ili nacho kiweze kutunzwa kwa miezi tisa na msukumo wa damu ubadilika kama ifuatavyo.
2.Moyo.
Kiasi cha moyo ubadilika kwa asilimia kumi na mbili kwa hiyo kiasi cha moyo uongezeka ili kuweza kusukuma damu kwa mama na kwa mtoto hali hii ya mabadiliko uchukua miezi tisa na baada ya miezi tisa hali huwa kawaida.
3.Mapigo ya moyo nayo uongezeka.
Wakati wa ujauzito na mapigo ya moyo ubadilika yaani uongezeka kutoka kwa asilimia themanini na tano mpaka asilimia hamsini, hali hii utokea ili kuweza kusukuma damu kwenye figo, ubongo na katika mishipa mingine ya damu.
4. Spidi ya damu nayo uongezeka.
Spidi ya damu uongezeka kutoka kwenye kiwango cha kawaida kwa sababu uweza kusukuma damu kwa haraka kutoka kwa Mama ili kuweza kuondoa wadudu wanaoweza kusababisha magonjwa na pia kuweza kuweza kusafirisha mahitaji yote kwa mtoto na Mama.
5. Kiwango cha seli nyeupe za damu nacho uongezeka ili kuweza kuzuia kuwepo kwa bakteria na kupambana na Maambukizi yoyote ambayo yanaweza kushambulia Mama na mtoto wakati wa ujauzito.
6. Kwa hiyo akina Mama wakisikia mabadiliko kwenye miili yao wanapaswa kufahamu kubwa ni kwa sababu ya kuwepo kwa mimba na baadae hali inakuwa kawaida
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Mwanaume na mwanamke wanapo kutana na kujamiina kama mwanamke yupo kwenye ferlile process ni rahisi kupata mbimba. Sparm Zaid ya million moja huingia kwenye mfuko wa lakin sparm moja ndio huweza kuingia kwenye ovum(yai)lakin nyingine hubaki kwenye follopi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu namna unavyoweza kumtambua mtoto mwenye Ugonjwa wa Nimonia na tiba anayopaswa kupata mtoto mwenye Nimonia
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi vipimo muhimu wakati wa ujauzito ni vipimo ambavyo vinapaswa kupimwa na Mama ili kuangalia mambo mbalimbali katika damu au sehemu yoyote, pia vipimo hivi umsaidia sana Mama kujua afya yake.
Soma Zaidi...Mimba hatari iliyotungia nje ya mji wa mimba, ni zipi dalili zake na ni kivipo mimba inatungia nje?
Soma Zaidi...Abali mkuu Nina mdogo wangu anawashwa Sana sehemu ya Siri mpaka anatoka vipele vingi kwenye mapaja korodani zake zimebadilika kuwa nyekundu na zenye kutisha uume wake nao umekuwa unakama mabaka umebabuka aisee nime angaika Sana kumtibia mpaka nakata tamaa
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi mambo muhimu ambayo tunapaswa kujua au kufahamu kuhusu mbegu za kiume, kwa kuwa mbegu za kiume usaidia katika utungaji wa mimba kwa hiyo ni vizuri kabisa kuzitunza Ili kuweza kuepuka matatizo mbalimbali ambayo yanaweza kutokea kwa s
Soma Zaidi...