picha

Mabadiliko ya mzunguko wa damu kwa wajawazito.

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko ya mzunguko wa damu kwa wajawazito, tunajua wazi kuwa wajawazito pindi ujauzito ukiingia tu, kila kitu kwenye mwili ubadilika vile vile na mzunguko wa damu ubadilika.

Mabadiliko ya mzunguko wa damu kwa wajawazito.

1.Kwanza kabisa tunajua wazi kuwa mama akibeba mimba na mzunguko wa damu unabadilika kwa sababu hapo awali ni Mama pekee aliyekuwa anatumia damu ila kwa sababu ya kuwepo kwa kiumbe kingine ili nacho kiweze kutunzwa kwa miezi tisa na msukumo wa damu ubadilika kama ifuatavyo.

 

2.Moyo.

Kiasi cha moyo ubadilika kwa asilimia kumi na mbili kwa hiyo kiasi cha moyo uongezeka ili kuweza kusukuma damu kwa mama na kwa mtoto hali  hii ya mabadiliko uchukua miezi tisa na baada ya miezi tisa hali huwa kawaida.

 

3.Mapigo ya moyo nayo uongezeka.

Wakati wa ujauzito na mapigo ya moyo ubadilika yaani uongezeka kutoka kwa asilimia themanini na tano mpaka asilimia hamsini, hali hii utokea ili kuweza kusukuma damu kwenye figo, ubongo na katika mishipa mingine ya damu.

 

4. Spidi ya damu nayo uongezeka.

Spidi ya damu uongezeka kutoka kwenye kiwango cha kawaida kwa sababu uweza kusukuma damu kwa haraka kutoka kwa Mama ili kuweza kuondoa wadudu wanaoweza kusababisha magonjwa na pia kuweza kuweza kusafirisha mahitaji yote kwa mtoto na Mama.

 

5. Kiwango cha seli nyeupe za damu nacho uongezeka ili kuweza kuzuia kuwepo kwa bakteria na kupambana na Maambukizi yoyote ambayo yanaweza kushambulia Mama na mtoto wakati wa ujauzito.

 

6. Kwa hiyo akina Mama wakisikia mabadiliko kwenye miili yao wanapaswa kufahamu kubwa ni kwa sababu ya kuwepo kwa mimba na baadae hali inakuwa kawaida

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/02/17/Thursday - 04:08:59 pm Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1884

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
πŸ‘‰1 kitabu cha Simulizi    πŸ‘‰2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    πŸ‘‰3 ai web app    πŸ‘‰4 Kitabu cha Afya    πŸ‘‰5 Kitau cha Fiqh    πŸ‘‰6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Huduma za msingi kwa mama mjamzito na mtoto.

Posti hii inahusu zaidi huduma muhimu anazopaswa kupewa mama mjamzito wakati akiwa na mimba, wakati wa kujifungua na baada ya kujifungua yaani ndani ya masaa ishirini na manne, tunajua wazi kuwa Mama akiwa mjamzito anaweza kupata matatizo mbalimbali kwa h

Soma Zaidi...
Fahamu ugonjwa wa kifafa cha mimba.

Post hii inahusu zaidi Ugonjwa wa kifafa cha mimba ambapo kwa kitaalamu huitwa eclampsia, utokea pale ambapo Mama anapokuwa na degedege wakati wa mimba na baada ya kujiunga.

Soma Zaidi...
Faida za kula yai lililopikwa kwa mama mjamzito

Yai lililopikwa ni chanzo kizuri cha protini, vitamini, na madini muhimu kwa mama mjamzito. Husaidia katika ukuaji wa mtoto tumboni, afya ya mama, na kuimarisha kinga ya mwili.

Soma Zaidi...
Sababu za ugumba kwa wanawake

Post hii inahusu zaidi sababu za ugumba kwa wanawake, ni sababu ambazo upelekea wanawake wengi kuwa wagumba ukizingatia kuwa wanazaliwa wakiwa na uwezo kabisa wa kupata watoto lakini kwa sababu mbalimbali za kimazingira wanakoswa watoto, zifuatazo ni saba

Soma Zaidi...
Siku za kupata mimba

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu siku za kupata mimba

Soma Zaidi...
Faida na hasara za Kufunga kizazi kwa Wanaume

Posti hii inazungumzia Faida, hasara, na madhara ya Kufunga kizazi kwa Wanaume.

Soma Zaidi...
je maumivu ya nyonga na tumbo la chini ni dalili ya mimba?

Nina swali langu:-je maumivu ya nyonga na tumbo la chini ni dalili ya mimba?

Soma Zaidi...
Habari nilitaka kujua kuhusu ugonjwa wa fungusi kwenye uume

Je na wewe unasumbuliwa na fangasi wenye uume. Post hii ni kwa ajili yako.

Soma Zaidi...
Je ?kipimo kikionyesha misitar miwili mmoja hafifu mwingine umekolea ni mimba au sio

Kipimo chamimba cha mkojo, huonyesha nestory miwili kuwa una mimba, na mmoja kuwa huna mimba. Sasa je ukitokea mmoja umekoleana mwingine hafifu? Endelea na pasti Òœï¸ hadi mwisho

Soma Zaidi...
Samahani naomba kuhuliza je unaweza kutokwa na maji maji ambayoa ayana rangi Wala harufu Ni dalili gani kwa mimba ya mwezi mmoja

ukiwa na ujauzito unaweza kuona mabadiliko mengi katika mwili wako yakiwemo kutokwa na majimaji. je majimaji haya yana dalili gani kwenye ujauzito?

Soma Zaidi...