KUKUSANYIKA KATIKA DUA.
KUKUSANYIKA KATIKA DUA.
Ni jambo la kupendeza kuomba dua mkiwa kwenye kundi. Zipo dua ambazo siku zote zinaombwa watu wakikusanyika kama dua ya kuomba mvua. Kukusanyika kwenye dua ni sunnah katika sunnah zingine. Ijulikane kuwa pindi mtu akiomba dua kisha wengine wakaitikia aamiin huenda katika waloitikia akawepo walii wa Allah ambae ikawa sababu ya dua kujibiwa. Pia watu waliokuwepo kwenye kundi aombe mmoja na wengine waitikie aamiin na wanyanyue mikono yao. Maswahaba Allah awaridhie walikiwa wakiombeana dua na walikuwa pia wakikusanyika kayika kuomba dua. Mtume ุตููู ุงููู ุนููู ูุณููู
alikuwa pia akiwahimiza maswahaba wake kuwa katika kundi wanapoomba dua na wengine waitikie aamiin. Amesimulia Habiib Ibn Salamah ุฑุถูุงููู ุนูู kuwa mtume ุตููู ุงููู ุนููู ูุณููู
amesema โhalikusanyiki kundi la watu na wakaomba dua wengine na wengine wakaitikia โaamiinโ isipokuwa Allah ataijibu dua hiyoโ. (amepokea tbrany, Bayhaqy na Alhaakim).
Umeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inakwenda kukupa orodha ya dua 10 ambazo unaweza kuziomba kila siku.
Soma Zaidi...Hii ni historia ya Imamu Bukhary pamoja na kitabu chake cha sahihul Bukhari.
Soma Zaidi...Post hii itakwenda kukugundisha masharti yanayofungamana na kukubaliwa kwa dua.
Soma Zaidi...DUA ZA WAKATI WA SHIDA Dua ya wakati wa taabu โLAA ILAAHA ILLA-LLAHUL-โADHIMUL-HALIIMU.
Soma Zaidi...Sunnah na hadithi (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Katika hadithi hii utakwenda kujifunza nguzo za uislamu
Soma Zaidi...