SIFA ZA (MANENO NA MATAMSHI YA) DUA YENYE KUJIBIWA.
SIFA ZA (MANENO NA MATAMSHI YA) DUA YENYE KUJIBIWA.
Hapa tutaona dua iliyo katika sura ambayo Allah ataijibu. Dua zenye kujibia wakati mwingine zina sura yake na sifa zake katika maneno na matamshi. Hebu tuone sifa hizo.
1.Dua ya nabii Yunusi. Mwenye kuomba dua na akatumia maneno aliyoyasema nabii Yunusi (amani ishuke juu yake) dua hii ni yenye kujibiwa. Amesema mtume ุตููู ุงููู ุนููู ูุณููู
โdua ya nabii Yunus pindi alipokuwa kwenye tumbo la samaki (aliseme) โLAA LILAAHA ILLAA ANTA, SUBHAANAKA INII KUNTU MINADHWALIMIINAโ hakika hataomba mtu muislamu dua kwa kutumia maneno haya kitu chochote isipokuwa atajibiwa na Allahโ. (amepokea tirmidh).
2.Kuomba dua kwa kutumia jina la Allah lililo kubwa. Allah ana majina mengi na mazuri. Lakini katika majina hayo lipo ambalo ni kubwa na ukiomba dua kwalo lakina utajibiwa. Kwa ufupi ni kuwa jina hili limefichwa na hakina yeyote anayelijuwa. Ila mtume ametowa ishara ya kuonesha wapi linapatikana na maneno gani mtu atumie kulipata jina hilo.
Amesema mtume ุตููู ุงููู ุนููู ูุณููู
โjina kubwa la Allah lipo kwenye aya sita za mwisho za surat hashri. (amepokea Dilamy kutoka kwa Ibn โAbas). Pia katika mapokezi mengine ya Tabrany kutoka kwa Ibn โAbas kuwa mtume amesema jina kubwa lipo kwenye aya ya 20 ya surat al-imran. Na pia zipo hadithi nyingi sana zinazoashiri wapi jina hilo lipo. Nitaleta chache tuu.
i) Aisha ุฑุถูุงููู ุนููุง aliomba dua hii โ ALLAHUMMA INII ADโUKA LLAHA WA-ADโUKAR-RAHMANA, WA-ADโUKAL-BARRAR-RAHIIMA, WA-ADโUKA BIASMAAIKAL-HUSNAA KULLIHAA MAA โALIMTU WAMAA LAM AโALAM AN TAGHFIRA LII WATARHAMNIIโ Mtume akacheka kisha akasema โhakika jina kubwa lipo ndani ya dua hii. (amepokea Ibn Maajah kutoka kwa โAisha) hadithi hii ni ndefu nimeikatisha na kuchukua hiyo dyua tu.
ii)hadithi ya Anasุฑุถูุงููู ุนููkuwaโ
ุนููู ุฃูููุณูุ ููุงูู ุฏูุฎููู ุงููููุจูููู ุตูู ุงููู ุนููู ูุณูู
ุงููู
ูุณูุฌูุฏู ููุฑูุฌููู ููุฏู ุตููููู ูููููู ููุฏูุนูู ููููููููู ููู ุฏูุนูุงุฆููู ุงููููููู
ูู ูุงู ุฅููููู ุฅููุงูู ุฃูููุชู ุงููู
ููููุงูู ุจูุฏููุนู ุงูุณููู
ูููุงุชู ููุงูุฃูุฑูุถู ุฐูุง ุงููุฌููุงููู ููุงูุฅูููุฑูุงู
ู โ.โ ููููุงูู ุงููููุจูููู ุตูู ุงููู ุนููู ูุณูู
โ "โ ุชูุฏูุฑูููู ุจูู
ู ุฏูุนูุง ุงูููููู ุฏูุนูุง ุงูููููู ุจูุงุณูู
ููู ุงูุฃูุนูุธูู
ู ุงูููุฐูู ุฅูุฐูุง ุฏูุนููู ุจููู ุฃูุฌูุงุจู ููุฅูุฐูุง ุณูุฆููู ุจููู ุฃูุนูุทูู โ"amesimulia Anas ุฑุถูุงููู ุนูู kuwa alikuwa amekaa na mtume ุตููู ุงููู ุนููู ูุณููู
wamekaa msikitini na kulikuwa na mtu mmoja anaswali kisha akaomba dua kwa kusema โ ALLAHUMMA ANNII AS-ALUKA BIANNALAKAL-HAMDA, LAA ILAAHA ILLA ANTAL-MANNAANU BADIโUS-SAMAAWATI WAL-ARDH YAA DHALJALALI WAL-IKRAM YAA HAYYU YAA QAYYUUMโ akasema Mtume ุตููู ุงููู ุนููู ูุณููู
umemuomba Allah kwa jina lake kubwa ambalo anapoombwa kwalo atajibuโ. (amepokea tirmidh kwa isnad gharib).
iii)amesimulia Abdillah Ibn Buraydah ุฑุถูุงููู ุนูู kutoka kwa baba yake kuwa Mtume ุตููู ุงููู ุนููู ูุณููู
alimsikia mtu mmoja akisema โALLAHUMMA INNIASALUKA BIAN-ASHHADU ANNAKA ANTALLAHU LAA ILAAHA ILLA ANTA. AL-AHADUS-SWAMADUL-LADHII LAMYALID WALAM YUULAD, WALAM YAKUN LAHU KUFWAN AHADโ akasema Mtume ุตููู ุงููู ุนููู ูุณููู
hakika umemuomba Allah kwa jina lake kubwa ambalo akiombwa hutoa na akiombwa dua hujibu. (amesimulia Abuu Daud,tirmidh,Ibn Maajah na Ibn Hiban).
Iv). Mtume amesema ุงุณูู
ู ุงูููููู ุงูุฃูุนูุธูู
ู ููู ููุงุชููููู ุงูุขููุชููููู โ{ููุฅูููููููู
ู ุฅููููู ููุงุญูุฏู ูุงู ุฅููููู ุฅููุงูู ูููู ุงูุฑููุญูู
ููู ุงูุฑููุญููู
ู}โ ููููุงุชูุญูุฉู ุณููุฑูุฉู ุขูู ุนูู
ูุฑูุงูู โ"โJina kubwa la Allah linapatikana kwenye aya hiziโ waillahukum ilahu wahidu laa ilaaha illa huwar-rahmanir-rahiimโ na mwanzoni mwa surat al โImran
3.dua ya Mtume ุตููู ุงููู ุนููู ูุณููู
ni yenye kujibiwa. "โ ููููููู ููุจูููู ุฏูุนูููุฉู ู
ูุณูุชูุฌูุงุจูุฉู ููุฅููููู ุงุฎูุชูุจูุฃูุชู ุฏูุนูููุชูู ุดูููุงุนูุฉู ูุฃูู
ููุชูู ูููููู ููุงุฆูููุฉู ุฅููู ุดูุงุกู ุงูููููู ู
ููู ู
ูุงุชู ู
ูููููู
ู ูุงู ููุดูุฑููู ุจูุงูููููู ุดูููุฆูุง โ"โ Katika hadithisahihi mtume amesema Nabii yeyote ameomba dua yake na akajibiwa. Na nikaifanya dua yangu mimi ni shifaa kwa umati wangu sikku ya qiama. (amepokea Bukhari, Muslim na tirmidh kutoka kwa Anas).
4.Dua wakati wa raha hujibiwa wakati wa shida. Hii ni sifa ya dua yenye kujibiwa mbayo watu wengi hatujui. Nikuwa pindi unapopata neema na raha hapo ndipo pa kumuomba Allah na Allah atakujibu wakati unapopata matatizo kwa kukufariji na kukuondlea matatizo. Amesimulia Abuuhurairah ุฑุถูุงููู ุนูู kuwa mtume ุตููู ุงููู ุนููู ูุณููู
amesema "โ ู
ููู ุณูุฑูููู ุฃููู ููุณูุชูุฌููุจู ุงูููููู ูููู ุนูููุฏู ุงูุดููุฏูุงุฆูุฏู ููุงููููุฑูุจู ููููููููุซูุฑู ุงูุฏููุนูุงุกู ููู ุงูุฑููุฎูุงุกู โ" โ โmwenye kutaka kujibiwa dua yake wakati akiwa na shida basi azidishe kumuomba Allah wakati wa rahaโ. (amepokea Tirmidh kwa isnad gharib).
Na katika mapokezi mengine amesema Mtume ุตููู ุงููู ุนููู ูุณููู
"โ ู
ููู ุณูุฑูููู ุฃููู ููุณูุชูุฌููุจู ุงูููููู ูููู ุนูููุฏู ุงูุดููุฏูุงุฆูุฏู ููุงููููุฑูุจู ููููููููุซูุฑู ุงูุฏููุนูุงุกู ููู ุงูุฑููุฎูุงุกู โ" โMwenye kupenda kujibiwa dua zake wakati wa shida na taabu basi na azidishe dua wakati wa rahaโ (amepokea tirmidh)
Umeionaje Makala hii.. ?
DUA ZA WAKATI WA SHIDA Dua ya wakati wa taabu โLAA ILAAHA ILLA-LLAHUL-โADHIMUL-HALIIMU.
Soma Zaidi...Post hii itakwenda kukufundisha sura katika Quran ambazo ni kinga dhidi ya Wachawi, uchawi na Masheitwani.
Soma Zaidi...Post hii itakueleza ni dua gani unatakiwa uzisome wakati unapokiwa na hasira ama pale unapokasirika.
Soma Zaidi...Zijue fadhila za kuomba dua, tambua umuhimu na mahimizo juu ya kuomba dua?
Soma Zaidi...Hapa utajifunza nafasi ya kufuata suna katika Uislamu
Soma Zaidi...Hii ni historia ya Imamu Bukhary pamoja na kitabu chake cha sahihul Bukhari.
Soma Zaidi...