DUA ZENYE MANENO HAYA HUJIBIWA

SIFA ZA (MANENO NA MATAMSHI YA) DUA YENYE KUJIBIWA.

DUA ZENYE MANENO HAYA HUJIBIWA


SIFA ZA (MANENO NA MATAMSHI YA) DUA YENYE KUJIBIWA.
Hapa tutaona dua iliyo katika sura ambayo Allah ataijibu. Dua zenye kujibia wakati mwingine zina sura yake na sifa zake katika maneno na matamshi. Hebu tuone sifa hizo.

1.Dua ya nabii Yunusi. Mwenye kuomba dua na akatumia maneno aliyoyasema nabii Yunusi (amani ishuke juu yake) dua hii ni yenye kujibiwa. Amesema mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… โ€œdua ya nabii Yunus pindi alipokuwa kwenye tumbo la samaki (aliseme) โ€˜LAA LILAAHA ILLAA ANTA, SUBHAANAKA INII KUNTU MINADHWALIMIINAโ€™ hakika hataomba mtu muislamu dua kwa kutumia maneno haya kitu chochote isipokuwa atajibiwa na Allahโ€. (amepokea tirmidh).

2.Kuomba dua kwa kutumia jina la Allah lililo kubwa. Allah ana majina mengi na mazuri. Lakini katika majina hayo lipo ambalo ni kubwa na ukiomba dua kwalo lakina utajibiwa. Kwa ufupi ni kuwa jina hili limefichwa na hakina yeyote anayelijuwa. Ila mtume ametowa ishara ya kuonesha wapi linapatikana na maneno gani mtu atumie kulipata jina hilo.

Amesema mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… โ€œjina kubwa la Allah lipo kwenye aya sita za mwisho za surat hashri. (amepokea Dilamy kutoka kwa Ibn โ€˜Abas). Pia katika mapokezi mengine ya Tabrany kutoka kwa Ibn โ€˜Abas kuwa mtume amesema jina kubwa lipo kwenye aya ya 20 ya surat al-imran. Na pia zipo hadithi nyingi sana zinazoashiri wapi jina hilo lipo. Nitaleta chache tuu.

i) Aisha ุฑุถู‰ุงู„ู„ู‡ ุนู†ู‡ุง aliomba dua hii โ€œ ALLAHUMMA INII ADโ€™UKA LLAHA WA-ADโ€™UKAR-RAHMANA, WA-ADโ€™UKAL-BARRAR-RAHIIMA, WA-ADโ€™UKA BIASMAAIKAL-HUSNAA KULLIHAA MAA โ€˜ALIMTU WAMAA LAM Aโ€™ALAM AN TAGHFIRA LII WATARHAMNIIโ€ Mtume akacheka kisha akasema โ€œhakika jina kubwa lipo ndani ya dua hii. (amepokea Ibn Maajah kutoka kwa โ€˜Aisha) hadithi hii ni ndefu nimeikatisha na kuchukua hiyo dyua tu.

ii)hadithi ya Anasุฑุถู‰ุงู„ู„ู‡ ุนู†ู‡kuwaโ€ ุนูŽู†ู’ ุฃูŽู†ูŽุณูุŒ ู‚ูŽุงู„ูŽ ุฏูŽุฎูŽู„ูŽ ุงู„ู†ูŽู‘ุจููŠูู‘ ุตู„ู‰ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู… ุงู„ู’ู…ูŽุณู’ุฌูุฏูŽ ูˆูŽุฑูŽุฌูู„ูŒ ู‚ูŽุฏู’ ุตูŽู„ูŽู‘ู‰ ูˆูŽู‡ููˆูŽ ูŠูŽุฏู’ุนููˆ ูˆูŽูŠูŽู‚ููˆู„ู ูููŠ ุฏูุนูŽุงุฆูู‡ู ุงู„ู„ูŽู‘ู‡ูู…ูŽู‘ ู„ุงูŽ ุฅูู„ูŽู‡ูŽ ุฅูู„ุงูŽู‘ ุฃูŽู†ู’ุชูŽ ุงู„ู’ู…ูŽู†ูŽู‘ุงู†ู ุจูŽุฏููŠุนู ุงู„ุณูŽู‘ู…ูŽูˆูŽุงุชู ูˆูŽุงู„ุฃูŽุฑู’ุถู ุฐูŽุง ุงู„ู’ุฌูŽู„ุงูŽู„ู ูˆูŽุงู„ุฅููƒู’ุฑูŽุงู…ู โ€.โ€ ููŽู‚ูŽุงู„ูŽ ุงู„ู†ูŽู‘ุจููŠูู‘ ุตู„ู‰ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู… โ€ "โ€ ุชูŽุฏู’ุฑููˆู†ูŽ ุจูู…ูŽ ุฏูŽุนูŽุง ุงู„ู„ูŽู‘ู‡ูŽ ุฏูŽุนูŽุง ุงู„ู„ูŽู‘ู‡ูŽ ุจูุงุณู’ู…ูู‡ู ุงู„ุฃูŽุนู’ุธูŽู…ู ุงู„ูŽู‘ุฐููŠ ุฅูุฐูŽุง ุฏูุนููŠูŽ ุจูู‡ู ุฃูŽุฌูŽุงุจูŽ ูˆูŽุฅูุฐูŽุง ุณูุฆูู„ูŽ ุจูู‡ู ุฃูŽุนู’ุทูŽู‰ โ€"amesimulia Anas ุฑุถู‰ุงู„ู„ู‡ ุนู†ู‡ kuwa alikuwa amekaa na mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… wamekaa msikitini na kulikuwa na mtu mmoja anaswali kisha akaomba dua kwa kusema โ€œ ALLAHUMMA ANNII AS-ALUKA BIANNALAKAL-HAMDA, LAA ILAAHA ILLA ANTAL-MANNAANU BADIโ€™US-SAMAAWATI WAL-ARDH YAA DHALJALALI WAL-IKRAM YAA HAYYU YAA QAYYUUMโ€ akasema Mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… umemuomba Allah kwa jina lake kubwa ambalo anapoombwa kwalo atajibuโ€. (amepokea tirmidh kwa isnad gharib).

iii)amesimulia Abdillah Ibn Buraydah ุฑุถู‰ุงู„ู„ู‡ ุนู†ู‡ kutoka kwa baba yake kuwa Mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… alimsikia mtu mmoja akisema โ€œALLAHUMMA INNIASALUKA BIAN-ASHHADU ANNAKA ANTALLAHU LAA ILAAHA ILLA ANTA. AL-AHADUS-SWAMADUL-LADHII LAMYALID WALAM YUULAD, WALAM YAKUN LAHU KUFWAN AHADโ€ akasema Mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… hakika umemuomba Allah kwa jina lake kubwa ambalo akiombwa hutoa na akiombwa dua hujibu. (amesimulia Abuu Daud,tirmidh,Ibn Maajah na Ibn Hiban).

Iv). Mtume amesema ุงุณู’ู…ู ุงู„ู„ู‘ูŽู‡ู ุงู„ุฃูŽุนู’ุธูŽู…ู ูููŠ ู‡ูŽุงุชูŽูŠู’ู†ู ุงู„ุขูŠูŽุชูŽูŠู’ู†ู โ€{ูˆูŽุฅูู„ูŽู‡ููƒูู…ู’ ุฅูู„ูŽู‡ูŒ ูˆูŽุงุญูุฏูŒ ู„ุงูŽ ุฅูู„ูŽู‡ูŽ ุฅูู„ุงู‘ูŽ ู‡ููˆูŽ ุงู„ุฑู‘ูŽุญู’ู…ูŽู†ู ุงู„ุฑู‘ูŽุญููŠู…ู}โ€ ูˆูŽููŽุงุชูุญูŽุฉู ุณููˆุฑูŽุฉู ุขู„ู ุนูู…ู’ุฑูŽุงู†ูŽ โ€"โ€Jina kubwa la Allah linapatikana kwenye aya hiziโ€˜ waillahukum ilahu wahidu laa ilaaha illa huwar-rahmanir-rahiimโ€™ na mwanzoni mwa surat al โ€˜Imran

3.dua ya Mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… ni yenye kujibiwa. "โ€ ู„ููƒูู„ู‘ู ู†ูŽุจููŠู‘ู ุฏูŽุนู’ูˆูŽุฉูŒ ู…ูุณู’ุชูŽุฌูŽุงุจูŽุฉูŒ ูˆูŽุฅูู†ู‘ููŠ ุงุฎู’ุชูŽุจูŽุฃู’ุชู ุฏูŽุนู’ูˆูŽุชููŠ ุดูŽููŽุงุนูŽุฉู‹ ู„ุฃูู…ู‘ูŽุชููŠ ูˆูŽู‡ููŠูŽ ู†ูŽุงุฆูู„ูŽุฉูŒ ุฅูู†ู’ ุดูŽุงุกูŽ ุงู„ู„ู‘ูŽู‡ู ู…ูŽู†ู’ ู…ูŽุงุชูŽ ู…ูู†ู’ู‡ูู…ู’ ู„ุงูŽ ูŠูุดู’ุฑููƒู ุจูุงู„ู„ู‘ูŽู‡ู ุดูŽูŠู’ุฆู‹ุง โ€"โ€ Katika hadithisahihi mtume amesema Nabii yeyote ameomba dua yake na akajibiwa. Na nikaifanya dua yangu mimi ni shifaa kwa umati wangu sikku ya qiama. (amepokea Bukhari, Muslim na tirmidh kutoka kwa Anas).

4.Dua wakati wa raha hujibiwa wakati wa shida. Hii ni sifa ya dua yenye kujibiwa mbayo watu wengi hatujui. Nikuwa pindi unapopata neema na raha hapo ndipo pa kumuomba Allah na Allah atakujibu wakati unapopata matatizo kwa kukufariji na kukuondlea matatizo. Amesimulia Abuuhurairah ุฑุถู‰ุงู„ู„ู‡ ุนู†ู‡ kuwa mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… amesema "โ€ ู…ูŽู†ู’ ุณูŽุฑู‘ูŽู‡ู ุฃูŽู†ู’ ูŠูŽุณู’ุชูŽุฌููŠุจูŽ ุงู„ู„ู‘ูŽู‡ู ู„ูŽู‡ู ุนูู†ู’ุฏูŽ ุงู„ุดู‘ูŽุฏูŽุงุฆูุฏู ูˆูŽุงู„ู’ูƒูุฑูŽุจู ููŽู„ู’ูŠููƒู’ุซูุฑู ุงู„ุฏู‘ูุนูŽุงุกูŽ ูููŠ ุงู„ุฑู‘ูŽุฎูŽุงุกู โ€" โ€ โ€œmwenye kutaka kujibiwa dua yake wakati akiwa na shida basi azidishe kumuomba Allah wakati wa rahaโ€. (amepokea Tirmidh kwa isnad gharib).

Na katika mapokezi mengine amesema Mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… "โ€ ู…ูŽู†ู’ ุณูŽุฑู‘ูŽู‡ู ุฃูŽู†ู’ ูŠูŽุณู’ุชูŽุฌููŠุจูŽ ุงู„ู„ู‘ูŽู‡ู ู„ูŽู‡ู ุนูู†ู’ุฏูŽ ุงู„ุดู‘ูŽุฏูŽุงุฆูุฏู ูˆูŽุงู„ู’ูƒูุฑูŽุจู ููŽู„ู’ูŠููƒู’ุซูุฑู ุงู„ุฏู‘ูุนูŽุงุกูŽ ูููŠ ุงู„ุฑู‘ูŽุฎูŽุงุกู โ€" โ€œMwenye kupenda kujibiwa dua zake wakati wa shida na taabu basi na azidishe dua wakati wa rahaโ€ (amepokea tirmidh)


                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Download App yetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Sunnah Main: Dini File: Download PDF Views 1175

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    ๐Ÿ‘‰2 Kitabu cha Afya    ๐Ÿ‘‰3 Simulizi za Hadithi Audio    ๐Ÿ‘‰4 Madrasa kiganjani    ๐Ÿ‘‰5 kitabu cha Simulizi    ๐Ÿ‘‰6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

DUA ZENYE MANENO HAYA HUJIBIWA

SIFA ZA (MANENO NA MATAMSHI YA) DUA YENYE KUJIBIWA.

Soma Zaidi...
DUA 113 - 126

DUA ZA WAKATI WA SHIDA Dua ya wakati wa taabu โ€œLAA ILAAHA ILLA-LLAHUL-โ€™ADHIMUL-HALIIMU.

Soma Zaidi...
Sura za kujikinga na Uchawi na mashetani

Post hii itakwenda kukufundisha sura katika Quran ambazo ni kinga dhidi ya Wachawi, uchawi na Masheitwani.

Soma Zaidi...
Dua za kuomba wakati unapokuwa na hasira ama ukiwa umekasirika

Post hii itakueleza ni dua gani unatakiwa uzisome wakati unapokiwa na hasira ama pale unapokasirika.

Soma Zaidi...
DUA ZA WAKATI WA HASIRA

DUA ZA WAKATI UNAPOKUWA NA HASIRA.

Soma Zaidi...
Dua Sehemu ya 01

Zijue fadhila za kuomba dua, tambua umuhimu na mahimizo juu ya kuomba dua?

Soma Zaidi...
Nafasi ya Sunnah (suna) katika Uislamu.

Hapa utajifunza nafasi ya kufuata suna katika Uislamu

Soma Zaidi...
Historia ya Imamu Bukhary Muandishi wa Hadithi za Mtume s.sa. w

Hii ni historia ya Imamu Bukhary pamoja na kitabu chake cha sahihul Bukhari.

Soma Zaidi...