image

Hadithi Ya 30: Allaah Amefaridhisha Mambo Ya Dini Tusiyapuuze

Hadithi Ya 30: Allaah Amefaridhisha Mambo Ya Dini Tusiyapuuze

Hadithi Ya 30: Allaah Amefaridhisha Mambo Ya Dini Tusiyapuuze

الحديث الثلاثون

"إن الله تعالى فرض فرائض فلا تضيعوها"

عَنْ أَبيِ ثَعْلَبَةَ الخُشَنِيِّ جُرْثُومِ بْن نَاشرٍ رضي الله عنه    عَنْ رَسُولِ اللهِ صلى الله عليه    وسلم    قَالَ:

(( إنّ اللهَ تَعَالى فَرَضَ فَرَائِضَ فَلاَ تُضَيّعوهاَ وَحَدَّ حُدُودَاً فَلاتَعْتَدُوهَا وَحَرّمَ أَشْياءَ فَلاَتَنْتَهِكُوهَا وَسَكَتَ عَنْ أَشْيَاءَ رَحْمَةً لَكُمْ غَيْرَ نِسْيانٍ فَلا تَبْحَثُوا عَنْهَا ))

حَدِيثٌ حَسَنٌ، رَوَاهُ الدَّارَقُطْنِيّ    وَغَيْرُهُ


HADITHI YA 30 ALLAAH AMEFARIDHISHA MAMBO YA DINI TUSIYAPUUZE

 

Kutoka kwa Abu Tha'alaba Al-Khushani Jurthuum Ibn Naashib رضي الله عنه  naye kapokea kwa Mtume صلى الله عليه وسلم :

Allaah سبحانه وتعالى  amefaridhisha mambo ya dini kwa hivyo usiyapuuze.  Vile vile kaweka mipaka usiikiuke.  Amekataza  baadhi ya mambo kwa hivyo usifanye.  Yale aliyoyanyamazia  ni kwa ajili ya huruma  zake kwako wala hakusahau kwa hivyo usiyadadisi. 

Imesimuliwa na Daaraqutni na wengineo .  Hadithi Hasan



                   





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 284


Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

KUKUSANYIKA KATIKA DUA
KUKUSANYIKA KATIKA DUA. Soma Zaidi...

Dua za kuwaombea wazazi
Kwenye Quran kuna duaambazo Allah ametufundisha tuziombe kwa ajili ya wazazi, familia na kwa ajili yetu wenyewe. Soma Zaidi...

Adabu za kuomba dua kuifanya dua yako ikubaliwe kwa haraka
Post hii inakwenda kukugundisha adabu zinazotakikana kwa mwenye kuomba dua. Soma Zaidi...

kuwa na ikhlas
Ikhlas ni kufanya kila jambo jema kwa ajili ya Allah (s. Soma Zaidi...

DUA 21 - 31
21. Soma Zaidi...

DUA 61 - 84
61. Soma Zaidi...

Al-Arbauwn An-Nawawiyyah hadithi ya 2: Ujio wa Jibril kwa Mtume (s.a.w)
Hii ni hadithi ya pili katika kitabu cha Arbain Nawawiy Soma Zaidi...

Dua sehemu ya 04
Soma dua mbalimbali za kila siku ambazo unatakiwa uzijuwe. Dua 120 ambazo muislamu anatakiwa kuzijua Soma Zaidi...

Namna ambazo Allah hujibu dua ya mwenye kuomba.
Post hii inakwenda kukufundisha namna ama staili ambazo Allah hujibu dua za watu. Soma Zaidi...

ADABU ZA KUOMBA DUA
ADABU ZA KUOMBA DUA. Soma Zaidi...

AINA ZA HADITHI
Aina za HadithKuna aina kuu mbili za Hadith- (a) Hadith Nabawiyyi. Soma Zaidi...

Wajbu wa wazazi kwa watoto wao
Wajibu wa Wazazi kwa Watoto Wazazi wanawajibu kwa watoto wao. Soma Zaidi...