Jinsi ya kuzika maiti wa kiislamu hatuwa kwa hatuwa

Post hii itakufundisha taratibu za kuzika maiti wa kiislamu hatuwa kwa hatuwa.

Kuzika
Kuzika ni kitendo cha nne cha faradh tunacho lazimika kumfanyia ndugu yetu aliyetutangulia kufa. Japo ni faradhi kifaya, kila Muislamu anawajibika kushiriki katika mazishi kufanya hivyo kuna malipo makubwa mbele ya Allah (s.w) na yanapatikana mafunzo makubwa -kwa mwenye kuzingatia kifo. Hadith ifuatayo inatukumbusha wajibu kwa
ndugu zetu Waislamu:

 


Ally (r.a) amesimulid kuwa Mtume wa Allah amesema Muislamu kwa Muislamu mwingine anawajibika katika halt ya ioawaida kumfanyla ndugtuye mambo sits:
(i)Atamsalimia atakapokutana nave.
(ii)Ataitikia unto wake atakapomkarlbisha
(iii)Atakapopiga chafya na kusema "Al-hamdulillah" atamuitikia (kwa kuserna Rahmaka llaaahu)
(iv)Atamuangalia atakapokuwa mgonjwa.
(v)Atafuata jeneza lake atakapokufa na
(vi)Atampendelea kitu anachokipendelea yeye.

 


Na Hadithi ifuatayo inatuonesha umuhimu wa kushiztki katika mazishi:
Abu Hurairah (r.a) amesimutia kuwa Mtume wa Allah amesema "Atakayefuatajeneza kzMuisiamu akiwa noun ani na matamjioya kupata malipo (ku Allah) na hubakia na jeneza hiyo mpaka atakapois~yniin maiti na kisha akarnalizia mazishi yoke, bila, shako ata udi na malipo Qirat (malipo makubwa), kilo ghat at sawn ra mlima wa Ilhud Na yule atakayeiswalia na akaondoka kabla ya mazishi bila shako atanadi na Qirat moja”. (Bukhari na Muslim).

 


Kinachosisitizwa katika Hadithi hii ni kwamba kushiriki katika mazishi ni jambo muhimu kwa Muislamu. Pia Mtume (s.a.w) amesisitiza kuwa mtu azikwe mapema iwezekanavyo kama Hadithi ifuatayo in a vyotu fa ham is ha:

 


Huswayu bin Wahwal (r.a) amesimulia kuwa Talha bin Bara’a (r.a) aliugua. Hivyo Mtume (s.a.w) alikuja kumwona akasema:“Hakika simwoni Talha ila kifo kimeshampitia.Kwa hiyo nipeni amri juu yake (yaani niruhusuni nimswalie na kumzika) na fanyeni haraka si vizuri (si sawa) maiti ya Mu is lamu kungojeleshwa juu ya migongo ya watu wa familia yake”. (Abu Daud).

 

Utaratibu wa kuzika ni kama ifuatavyo:
1. Wateremke watu kaburini wenye idadi ya witri watatu, watano.

 


2. Jeneza liwekwe upande itakapokuwa miguu ya maiti.

 


3. Maiti atolewe kwa kutanguliza kichwa.

 


4. Maiti atakapoingizwa ndani ya kaburi, wapokeaji watamuweka magotini na kufungua kamba au vitanzi vyote vitatu vya miguuni, tumboni na kichwani. Pia watafunua shavu la kulia ili liguse ardhini wakati maiti itakapolazwa.

 

5. Maiti atalazwa kwa ubavu wa kulia k at ik a mwanandani na kuelekezwa Qibla.
Wakati wa kumlaza ni sunnah kusema maneno yaliyoelezwa katika Hadith iliyosimuliwa na Ibn Umar (r.a) kuwa
Mtume (s.a.w) alipokuwa akizika alikuwa akisema: "Bismillahi wabillahi wa-’alaa millati Rasuulullahi" “Kwa jina la Allah na kwa uwezo wa Allah na kwa mujibu wa mwenendo wa Mtume wa Allah”. (Ahmad, Tirmidh, Ibn Majah)

 


6. Maiti apindwe kidogo miguuni na kichwani kwa kiasi ambacho uso na miguu iwe imegusa kuta za mwanandani.Kifua, tumbo na sehemu nyingine za katikati zibinuliwe nyuma kidogo.

 


7. Maiti awekewe mawe nyuma ya kichwa na nyuma ya miguu ili isije binuka na kukaa visivyo. Kisha ni sunnah kusoma aya za Qur-an kama iliyoelekezwa katika Hadith ifu atayo:

 


Abdullah bin Umar (r.a) anasimulia kuwa amemskikia Mtume (s.a.w) akisema “wakati mmoja wenu atakapokufa, msimcheleweshe, bali mzikeni haraka haraka. Msomeeni aya 1-5 ya Sura ya pili au aya mbili za mwisho wa Suratul Baqara - 2:285-286)”. (Baihaqi).

 

8.Maiti afunike kwa ubao, na kama patakuwa na sehemu zilizo wazi kiasi cha kuruhusu udongo kumfikia maiti zisiribwe kwa majani.

 


9.Kabla kaburi haijafunikwa, vitupiwe viganja vitatu vya udongo na katika kila tupio ni Sunnah kusema:

 


10.Kaburi lijazwe mchanga mpaka lijae na kisha liinuliwe kidogo kiasi cha shubiri moja.lwekwe alama kichwani na miguuni au ipandwe miti mibichi katika pembe za kaburi
ibakie kuwa alama za kaburi hilo. Pia ni vizuri kumimina maji juu ya kaburi iii kuufanya udongo ushikamane na usipeperushwe na upepo. Ni haramu kulijengea kaburi kwa namna yoyote ile, kukaa juu yake, kuwasha taa juu yake na kulielekea wakati wa kuswali kwa ushahidi wa Hadith zifuatazo:

 


Jabir (r.a) amesimulia kuwa Mtume wa Allah amekataza kuyajengea makabun au kuyajengea nyumba juu yake au kukaa juu yoke. (Muslim).

 


Abu Marsad al-ghafanyyi ameelezq ku9,a Mtume wa Allah amesema Msikae juu ya trtalcabttri na u~ala msiswali kwa kuyaelekea". (Muslim.).

 


Baada ya kuzika Mtume(s.a.w) alikuwa akisin'riama baina ya kaburi na kaburi na kusema: Muombeeni msamaha ndugu yenu na murnuombee awe na kauli thubiti, kwani sass anaulizwa.

 


Yaliyo muhimu kuyafanya baada ya mazishi ni kuwashika wafiwa mikono na kuwausia kusubiri kwani kutokewa na msiba ni jambo la kawaida la maumbile na pia ni mtihani kwetu na watakaofaulu mtihani huu ni wale watakao subiri ambao wanapopata msiba husema: “Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu na kwake yeye tutarejea ”. (2:155-156).

 

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 1712

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Jinsi ya kujitwaharisha kutokana na najisi

Post hii inakwenda kukufundisha jinsi ya kujitwaharisha kutokana na najisi.

Soma Zaidi...
Mgogoro wa kuandama kwa mwezi, Je mwezi wa Kimataifa ama kila Mji na mwezi wake?

Mwezi ukionekana sehemu moja, Waislamu wote ulimwenguni watalazimika kufunga?

Soma Zaidi...
Umuhimu wa funga ya ramadhan

Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
JIFUNZE FIQH

Fahamu darsa mbalimbali za fiqh kama swala, twahara, zaka pamoja na funga. Zijuwe sharti za swala, funga na zaka.

Soma Zaidi...
Msimamo wa Uislamu juu ya Utumwa

- Watumwa walikuwa wakikamatwa na kutezwa nguvu bila kujali utu na ubinaadamu wao.

Soma Zaidi...