Sharti za kusihi kwa funga
1.Kuwa twahara kuepukana na hedhi na nifas. Ni hii nisharti ya kusihi kufunga na pia ni wakati wa kulipa
2.Niya:niya ni sharti katika kuswihi kwa funga, Amesema Mtume: hakika amali yoyote hulipwa kwa kuzingatia niya...” (Bukhari na Muslim). Na maulamaa huzungumza kuwa niya ni lazima ibainishwe kuwa ni ya kufunga ramadhani na iwe kabla ya alfajiri. Na inapasa kutia niya kila siku usiku
Nguzo za funga
1.kujizuia kutokana na vyenye kufunguza toka kuchomoza kwa alfajiri mpaka kuzama kwa jua. Kma kula, kunywa, kuingiliana kimwili, kijitapisha, kujistarehesha kwa mkono (punyeto) n.k
Umeionaje Makala hii.. ?
Postvhiibinakwenda kukufundisha kuhusu swala ya msafiri na jinsi ya kuiswali.
Soma Zaidi...Katikabuislamu dhana ya uchumi imetofautiana na dhana ya kidunia hivi leo ambapo kamari na riba ni moja ya vitu muhimu katika uchumi.
Soma Zaidi...Uchumi wa uislamu umeweka taratibu mbalimbali katika kuchuma mali.
Soma Zaidi...Posti hii itakwenda kukufunza utofauti kati ya uadilifu na usawa
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza jinsi ya kutawadha kama vile ambavyo alitawadha Mtume
Soma Zaidi...Ni ipi raslimali ya halali kuimiliki katika uislamu.
Soma Zaidi...