Sharti za kusihi kwa funga
1.Kuwa twahara kuepukana na hedhi na nifas. Ni hii nisharti ya kusihi kufunga na pia ni wakati wa kulipa
2.Niya:niya ni sharti katika kuswihi kwa funga, Amesema Mtume: hakika amali yoyote hulipwa kwa kuzingatia niya...โ (Bukhari na Muslim). Na maulamaa huzungumza kuwa niya ni lazima ibainishwe kuwa ni ya kufunga ramadhani na iwe kabla ya alfajiri. Na inapasa kutia niya kila siku usiku
Nguzo za funga
1.kujizuia kutokana na vyenye kufunguza toka kuchomoza kwa alfajiri mpaka kuzama kwa jua. Kma kula, kunywa, kuingiliana kimwili, kijitapisha, kujistarehesha kwa mkono (punyeto) n.k
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Kuchukuwavudhu ni ibada, lakini pia ni matendo ya kuufanya mwilivuwe safi. Katika post nitakwenda kukifundisha namna ya kutia udhu katika uislamu.
Soma Zaidi...Nguzo za uislamu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...*Suala la kumilikiwa binaadam (utumwa), japokuwa linaendelea kutajwa kwenye Sharia (katika vitabu), ni suala ambalo haliko.
Soma Zaidi...Kuchungaย au kutekelezaย ahadiย ni miongoni mwa vipengele muhimu vya tabia ya muumini wa kweli.
Soma Zaidi...Mirathi katika jamii za kijahiliKatika jamii nyingi za kijahili kama vile jamii ya Waarabu kabla ya Mtume Muhammad (s.
Soma Zaidi...ุนููู ุงุจููู ู ูุณูุนููุฏู ุฑูุถููู ุงูููู ุนููููู ููุงูู: ููุงูู ุฑูุณูููู ุงูููููู ุตูู ุงููู ุนููู ู ุณูู "ููุง ููุญูููู ุฏูู ู ุงู ูุฑูุฆู ู ูุณูููู ู [ ูุดูุฏ ุฃู ู?...
Soma Zaidi...