Sharti za kusihi kwa funga
1.Kuwa twahara kuepukana na hedhi na nifas. Ni hii nisharti ya kusihi kufunga na pia ni wakati wa kulipa
2.Niya:niya ni sharti katika kuswihi kwa funga, Amesema Mtume: hakika amali yoyote hulipwa kwa kuzingatia niya...” (Bukhari na Muslim). Na maulamaa huzungumza kuwa niya ni lazima ibainishwe kuwa ni ya kufunga ramadhani na iwe kabla ya alfajiri. Na inapasa kutia niya kila siku usiku
Nguzo za funga
1.kujizuia kutokana na vyenye kufunguza toka kuchomoza kwa alfajiri mpaka kuzama kwa jua. Kma kula, kunywa, kuingiliana kimwili, kijitapisha, kujistarehesha kwa mkono (punyeto) n.k
Umeionaje Makala hii.. ?
Post hii fupi itakwenda kukujulisha utaratibu wa kula daku.
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza mambo ambayo ni haramu kwa mwanamke aliye na hedhi na nifasi
Soma Zaidi...(b) WarumiJamii ya Warumi nayo ni miongoni mwa jamii zinazohesabika kuwa zilianza kustaarabika mapema katika historia ya ulimwengu.
Soma Zaidi...Unajuwa namna ambavyo matumizi ya mali yako, yanavyogawanywa? Jifunze hapa mgawanyiko wa mali yako.
Soma Zaidi...- Je, Ukeweza, (ndoa ya mke zaidi ya mmoja) humdhalilisha mwanamke?
Soma Zaidi...Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3: Dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...