Menu



Nini kifanyike baada ya mazishi ya kiislamu

Huu ni utaratibu unaotakiwa kufanyika baada ya kuzika.

BAADA YA KUZIKA NINI KIFANYIKE


Tumesha mzika maiti sasa imebakia mali yae nyumbani, watoto, wake na menginyeo. Baada ya kumzika maiti sasa kuna utaratibu utafanyika. Watu ambao wamebaki duniani bado wana nafasi ya kumsaidi maiti akiwa kaburini, kumsadia kwa heri ama kwa shari. Makala hii inakwenda kukuorodheshea mambo kadhaa ambayo ni muhimu kwa waliohai kuyafanya baada ya kumzika ndugu yao:

 

Nini tufanye baada ya kuzika:
1.Kumuombea dua marehemu, dua hii anaweza kuombewa na watoto wake, ndugu zake, wake zake ama yoyote anaye mfahamu
2.Kuzungumza mema ya marehemu na kuwacha kuzungumza maovu yake.
3.Kumlipia madeni yake
4.Kuwafariji ndugu na familia ya marehemu
5.Kuwapikia chakula wafiwa
6.Kutekeleza usia wake baada ya kulipa madeni
7.Kurithisha mali yake baada ya kulipa madeni na kutekeleza usia
8.Kumtolea sadaka
9.Kum;ipia baaadhi ya ibada zake kama hija na swaumu
10.Kumhijia
11.Kuzuru kaburi lake
12.Kumuombea dua pindi unapomkumbuka
13.Kufanya wma katika mali zake

 

Download app yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download

Download Now Bongoclass

           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu image Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Fiqh Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Views 1293


Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Simulizi za Hadithi Audio     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 Kitau cha Fiqh     👉6 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

Taratibu za eda ya kufiwa katika uislamu
Hapa utajifunza taratibu za kukaa eda kwa mwanamke ambaye amefiwa na mume. Soma Zaidi...

Taratibu za kuchaguwa mchumba katika uislamu
Hapa utajifunza hatuwa kwa hatuwa za kuchaguwa mchumba kulingana na sheria za kiislamu. Soma Zaidi...

Zijuwe aina za swala za Suna na namna za kuziswaliWitri, Dhuha, Idi, tarawehe, tahajudu na nyingine
Soma Zaidi...

TAKBIRA YA KWANZA, DUA BAADA YA TAKBIRA YA KUHIRIMIA SWALA NA KUSOMA ALHAMDU (SURAT AL-FATIHA KWENYE SWALA
2. Soma Zaidi...

Dhana ya haki na uadilifu katika uislamu
HAKI NA UADILIFU KATIKA UISLAMU. Soma Zaidi...

Hii ndio namna ya kuswali kama alivyoswali Mtume s.a.w
Mtume (s. Soma Zaidi...

Kusimamisha swala.
Kwenye kipengele hiki tutajifunza maana ya swala ni nin?. Na masharti ya swala. Soma Zaidi...

Hukumu za Kuangalia Mwezi wa Ramadhani
Soma Zaidi...

Mambo yenye kufunguza swaumu (funga)
Soma Zaidi...

Yaliyo haramu kwa mtu asiyekuwa na udhu
Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu mambo ambauo ni haramu kwa mtu asiye na udhu. Soma Zaidi...