Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu javascript events. Event ni neno la Kiingereza lenye maana tukio wingi wake events kumaanisha matukio. Natumia ni kila ambacho kinatokea kwenye javascript.
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu javascript events. Event ni neno la Kiingereza lenye maana tukio wingi wake events kumaanisha matukio. Natumia ni kila ambacho kinatokea kwenye javascript.
Mifano ya event
Sasa hasa tunachozungumziabhapa je ni kitu gani kifanyike endapo kutakuwa na event. Kwa mfano kama ebent ni kubifya batani sasa je nibkitu gani kitokee baada ya kubofya hiyo batani.
Mfano:
Angalia code hizi:
<!DOCTYPE html>
<html>
<head>
<title>mfano wa event</title>
</head>
<body>
<button id="btn"> Bofya hapa </button>
<script>
var btn = document.getElementById("btn");
// the block of codes below is called event handler
btn.onclick = function() {
window.location.href="https://bongoclass.com";
};
</script>
</body>
</html>
Baada ya kubofya batani hapo utaona itakupeleka bongoclass.com moja kwa moja kwenye wesite. Sasa huo ndio mfano wa event. Je unataka. Nini kitokee baada ya event kutokea?
Hizo code hapo ulizoziona zinazohusu event kitaalamu huitwa event handler au event listener. Event inaweza kuandikwa katika namna kuu mbili kwa njia ya block kama ulivyoona hapo juu kikundi cha code za javascript zilizo ndani ya tag ya javascript. Njia ya pili ni online njia hii ni pale unapoandika code za event ndani ya html tag bila hata ya kuhitaji javascript tag.
Mfano wa inline event:
<!DOCTYPE html>
<html>
<head>
<title> inline Event </title>
</head>
<body>
<button onclick='alert("Haloo hii ni Bongoclass.");'>Bofya hapa</button>
</body>
</html>
Mfano wa block event
<!DOCTYPE html>
<html>
<head>
<title>mfano wa block event</title>
</head>
<body>
<button onclick="salamu()"> Bofya haapa</button>
<script>
function salamu() {
alert("Karibu Bongoclass");
}
</script>
</body>
</html>
Zingatia:
onclick ni event attribute ambayo inaunganisha event hisika na element ya HTML. katika hali kama hiyo click ni jina la event. Katika mifano hiyo iliotangulia event attribute hapo zimetimika kama hatml tag attribute.
Jinsi ya kuandika event
Kwanza utaandika html element kama batani kisha itafuatiwa na event husika kisha itafuatiwa na Code za javascript zitakazofanya kazi kwenye hiyo event.
<element event='code za JavaScript'>
Mfano
<button onclick='document.write("Karibu Bongoclass")'>h</button>
Katika mfano huo element ni button na event ni onclick jana javascript code ni document.write(). Kwa kufanya hivyo unaweza kutumia event nyinginezo.
addEventListener()
Hii ni method ambayo hutumika kuunganisha document husika na event. Ama hutumika kuunganisha event zaidi ya moja kwenye element moja.
Jinsi ya kutumia addEventListener()
Kwanza utaweka element mfano button kisha weka nukta ikifuatiliwa na method addEventListener() method huibhubeba parameter 3 ambazo ni event, function na useCapture. Ila hizo mbili ndio hutumika sana hii ya mwisho ipo by default ambayo ni false.
Kwa kutumia method hii unaweza kuweka function zaidi ya moja kwenye event moja. Mfano katika event ya click unaweza kuweka function zaidi yavmoja;
Mfano:
<!DOCTYPE html>
<html>
<head>
<title>addEventListener</title>
</head>
<body>
<button id="btn"> Bofya hapa</button>
<script>
var btn = document.getElementById("btn");
btn.addEventListener("click", function() {
alert("welcome Bongoclass.");
});
</script>
</body>
</html>
Wacha sasa tuone mifano ya addEventListener yenye function zaidi ya moja kwenye event moja.
<!DOCTYPE html>
<html>
<head>
<title>addEventListener</title>
</head>
<body>
<button id = "btn">Bofya</button>
<p id = "not1"></p>
<p id = "not2"></p>
<script>
function karibu() {
alert("function ya kwanza Karibu Bongoclass");
}
function event2() {
document.getElementById("not1").innerHTML = "Function ya pili kutoka kwenye not1";
}
function event3() {
document.getElementById("not2").innerHTML = "Hii ni Function ya tatu kutoka kwenye not2";
}
var mybtn = document.getElementById("btn");
mybtn.addEventListener("click", karibu);
mybtn.addEventListener("click", event2);
mybtn.addEventListener("click", event3);
</script>
</body>
</html>
Hapo event yetu ni click ambayo ina function 2. Function hizo hazifanyi kazi mpaka mtumiaji abofye batani.
Akishabofya batani event ya click itaanza kufanya kazi. Function ya kwanza alaert itafanya kazi kisha itafuatiwa na function ya pili kisha ya tatu.
zingatio:
click ni event name yaani ina la event na onclick ni event attribute.
Aina za Events kwenye javascript
Javascript event zipo nyingi ila katika somo hili tutafanya kazi chache tu. Kupata list nzima ya event w3schools wamekuwekea listvyabevent zote bofya hapa
Baadhi ya javascript events
onclick
Event hii hutumika pale unapo bofya (click) html element. Watuvwengj wanafikiri kuwa batani pekee, hapana unaweza bofya (click) hata paragraph na elemrnt nyingine. Kwa mfano hapa nitakuwekea elemnt ya b, p na i ambazo zote tuta bofya.
<!DOCTYPE html>
<html>
<head>
<title>onclick</title>
</head>
<body>
<">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowHii ni game ambayo utafikiria namba, ambayo inatakiwa iwe sawa na namba ambayo game imeiweka.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku dili na html form kwenye javascript. Javascript inaweza kufanya mengi kwenye html form.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu condition statemant. Darasa hili ni moja katika madarasa muhimu programming. Katika somo hili tutajifunza kwa vitendo zaidi. Tutatumia mifano ya somo lililo tangulia.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia logical operator kwenye javascript. Katika somo hili tutakwenda kutumia mahesabu.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function maaumu zinazotumika kwenye string yaani string method.
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifundisha jinsi ya kutengeneza game ya tic toc ya wachezaji wawii kwa utumia html, css na javascript
Soma Zaidi...Kwa kutumia mfano huu na iliyotangulia unaweza kuweka masharti kadiri uwezavyo. Tukutane somo linalofuata tutajifunza kuhusu switch statement.
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza kutengeneza game ya tic toc ya mchezaji mmoja na kompyuta yaani single player
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu array pamoja na method zinazohusiana na array. Pia nitakujuza tena kuhusu array ni nini. Utajifunza pia jinsi ya kutengeneza array.
Soma Zaidi...Ksomo hili litakwenda kukufundisha kuhusu object kwenye javascript, kazi zake na sheria zake katika kuiandika.
Soma Zaidi...