JAVASCRIPT - somo la 5: Jinsi ya kupangilia maandishi wakati wa ku output kwenye javascript
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kupangilia muonekano wa maandishi (text) wakati wa ku out put matokeo ya code
JINSI YA KUPANGILIA MAANDISHI WAKATI WA KU OUT PUT JAVASCRIPT
Katika somo lililotangulia tulikutana na shida moja kuwa maandishi yametoka yakiwa yamebanana banana. Sasa katika somo hili tutajifunza namna ya kupangilia muonekano wa maandishi.
Njia zinazotumika kupangilia muonekano wa maandishi:
-
Kwa kutumia html tag
Kwa kutumia html tag unaweza kupangilia muonekano wa text zako kwa namna utakayo. Angalia mfamo hapo chini:-
Mfano 1
<script>
document.write('<p style="color:blueviolet">Haloo bongoclass</p>');
</script>
Hii itakupa matokeo haya
Unaweza kufanya mengi kwa kutumia html ili kupangilia muonekano wa maandishi kwenye javascript. Lakini hebu tuangalie namna ambavyo mfano unaofuata utakavyotupa changamoto iliyojitokeza katika somo lililopita:-
Mfano 2:
<script>
let a = 'mama anapika', b = 'ugalina dagaa';
document.write(a, b);
</script>
code hizi zitakupa matokeo haya:-
Hapo utaona kuna changamoto kuwa variable ya kwanza na ya pili zimebanana. Hivyo unaweza kutengenisha nafasi hizi kwa kutumia html tag. Tunaweza kutatuwa changamoto hiyo kwa kutumia html tag <br> ila kwa kuwa hii ni string utahitajika kuiweka ndani ya zile alama za kufunga na kufunguwasemi yaani ‘<be>’
Mfano 3
<script>
let a = 'mama anapika', b = 'ugalina dagaa';
document.write(a, '<br>', b);
</script>
Hii itakupa matokeo haya
Hapo bado kuna changamot...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game 👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 ai web app 👉5 Madrasa kiganjani 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
Game 3: Mchezo wa kufikiria namba kwa kutumia javascript
Hii ni game ambayo utafikiria namba, ambayo inatakiwa iwe sawa na namba ambayo game imeiweka.
Soma Zaidi...JAVASCRIPT - somo la 11: function maalumu zinazotumika kwenye string yaani string method
Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function maaumu zinazotumika kwenye string yaani string method.
Soma Zaidi...JAVASCRIPT - somo la 21: Jinsi ya kutumia while loop na do while loop
Katika somo hili tutakwenda kujifunza khusu while loop na do while loop.
Soma Zaidi...JAVASCRIPT - somo la 2: Jisi ya ku print output ya code za javascript.
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ambavyo utaweza ku display matokeo ya code za javascript.
Soma Zaidi...JAVASCRIPT - somo la 9: Jinsi ya kuandika function kwenye javascript
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function kwenye javascript. Utajifunz apia namna ya kuitumia function hiyo
Soma Zaidi...Offline data handle kwa kutumia javascript
Katika somo hili tutaenda kujifunza namna ya kuhifadhi taarifa za mtumiaji endapo mtandao utakuwa haupo ()
Soma Zaidi...