JAVASCRIPT - somo la 15: Jinsi ya kukusanya user input

JAVASCRIPT - somo la 15: Jinsi ya kukusanya user input

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu user input. Somo hili litaangalia html form na attribute zake na jinsi zinavyohusiana na user input. Mwisho wa somo hili utaweza kutengeneza simple Calculator kwa kutumia javascript.

Download Post hii hapa

User input ni nini? 

Tunasema user input tunaangalia taarifa ambazo mtumiaji ataziinguza kwenye system kwa ajili ya kukamilisha ufanyajivwakazi ama kwa ajili ya kuoatavout put fulani. 

 

Hivyo basi hapa tunazungumzia user interaction yaani muingiliano wake na hiyo system. 

 

Mfano wa uzee input ni kama unapojisajili,  ama unapojaza madodoso kwenye mitandao. Hata unapoandika meseji ama unapo upload faili hizo zote ni user input. 

 

Njia ambazo mtumiaji ataweka input kwenye javascript program. 

Zipo njia kadhaa ambazo utatumia ili kuweka input kwenye javascript program. Kwa mfano: -

  1. Kwa kutumia prompt() function

  2. Kwa kutumia html form

  3. Kwa kutumia batani

Katika somo hili tutakwenda kuzitumia njia zote hizo tatu. 

 

  1. Kwa kutumia prompt()

Hii ni javascript finction ambayo hutumika pale ambapo mtumiaji anatakiwa kuweka input. 

 

Function hii inabeba parameta 2 ambazo ni,  string na default. Kwenye string mtumiaji atajaza hicho anachotakiwa kujaza. Sasa unaweza kuweka defaul yaani unaijaza kwanza. Ili endapo mtumiaji hatajaza basi value ulizojaza wewe zitumike. 

 

Hiyo string hapo hutumika kama ile placeholder kwenye html form. Hapo unaweza kuandika je ni nini mtumiaje ajaze. 

 

Hiyo parameter ya default sio ya lazima. Inamaana unaweza kuiwacha .

 

Mfano 1:

<script>

  let h = prompt("Jina");

  document.write("Haloo"+ " "+ h);

</script>

Hapo sijatumia default. Sasa wacha tuone jinsi default inavyifanya kazi. Kwenye default mtumiaji atakuta tayari pameshajazwa hivyo ataamuwa abadili aweke majibu yake ama aache hivyo hivyo. 

 

 Mfano 2:

<script>

  let h = prompt("Jina", "Bongoclass");

  document.write("Haloo"+ " "+ h);

</script>

Kwa kutumia prompt pia tunaweza kufanya mahesabu. Kwa mfano tunaweza kutumia function ya eval() tulisha jifunza hapo awali. Unaweza kuingiza hesabu na kukupatia majibu. 

 

Mfano 3:

<script>

  let namba = prompt("weka hesabu");

  document.write("Jibu ni:-"+ " "+ eval(namba));

</script>

Sasa endapo mtumiaji hatajaza kitu basibitakupa majibu indefined. Angalia mfano hapo chini

 

Mfano 4: 

 

Kwa ufupi hivyo ndivyo tunavyoweza kuingiza usiwe input kwa kutumia javascript. Baada ya hapo utaweza kuzifanyia kazi hizo input kwa namna unavyotaka.

 

2.Kwa kutumia batani

Batani inaweza kutumika ku input data kwenye element za html. Kwa mfano kwenye paragraph, kwenye section element kama div, na kwenye textarea na zaidi ya hapo. 

 

Ili kuweza kupata data zilizopo kwenye batani tutatumia finction ndani ya batani. Kisha tutapata thamani ama input kwa kutumia .value ili kupata id ya hiyo batani tutatumia .id na ili kupata name attribute tutatumia .name na kujua type ya hiyo batani utatumia .type.  Wacha tuone mifano. 

 

Katika mfano wa hapo chini. Nimeweka maneno haloo Bongoclass kwenye batani kama value. Sasa tunataka kuyaingiza maneno hayo kwenye textarea element. Hivyo basi kwanza tutatengeneza function ya ambayo tutakwenda kwenye onclick event. Function yetu tutaiita myFunc. Kisha tutatengeneza variable kwa ajili ya kuwakilisha value yetu. 

 

Mfano 5:

<title>User input</title>

<textarea id="demo" name="txt"></textarea>

<br><button id="btn" name="myBtn" onclick="myFnc()" value="Haloo Bongoclass" type="submit">Bofya</button>

 

<script>

  function myFnc(){

    var btnId = document.getElementById("btn").value;

    

    document.getElementById("demo").innerHTML = btnId;

  }

</script>

 

...

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: JavaScript Main: ICT File: Download PDF Views 350

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

JAVASCRIPT - somo la 17: condition statement za if else, else if kwenye javascript
JAVASCRIPT - somo la 17: condition statement za if else, else if kwenye javascript

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu condition statemant. Darasa hili ni moja katika madarasa muhimu programming. Katika somo hili tutajifunza kwa vitendo zaidi. Tutatumia mifano ya somo lililo tangulia.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 5: Jinsi ya kupangilia maandishi wakati wa ku output kwenye javascript
JAVASCRIPT - somo la 5: Jinsi ya kupangilia maandishi wakati wa ku output kwenye javascript

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kupangilia muonekano wa maandishi (text) wakati wa ku out put matokeo ya code

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 3: sheria za uandishi wa code za javascript yaani syntax za javascript
JAVASCRIPT - somo la 3: sheria za uandishi wa code za javascript yaani syntax za javascript

Katika somo hili utakwenda kujifunza sheria ama syntax za kuandika javascript. Hii itakuwezesha kuelwa zaidi code za javascript.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 16: Jinsi ya kutumia html form kwenye javascript
JAVASCRIPT - somo la 16: Jinsi ya kutumia html form kwenye javascript

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku dili na html form kwenye javascript. Javascript inaweza kufanya mengi kwenye html form.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 14: Jifunze kuhusu event kwenye javascript
JAVASCRIPT - somo la 14: Jifunze kuhusu event kwenye javascript

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu javascript events. Event ni neno la Kiingereza lenye maana tukio wingi wake events kumaanisha matukio. Natumia ni kila ambacho kinatokea kwenye javascript.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 10: Jinsi ya kuandika object na matumizi yake kwenye javascript
JAVASCRIPT - somo la 10: Jinsi ya kuandika object na matumizi yake kwenye javascript

Ksomo hili litakwenda kukufundisha kuhusu object kwenye javascript, kazi zake na sheria zake katika kuiandika.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 7: Jinsi ya kutumia logical operator kwenye javascript
JAVASCRIPT - somo la 7: Jinsi ya kutumia logical operator kwenye javascript

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia logical operator kwenye javascript. Katika somo hili tutakwenda kutumia mahesabu.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 19: Jinsi ya kutumia loop kwenye javascript
JAVASCRIPT - somo la 19: Jinsi ya kutumia loop kwenye javascript

Katika somo hilibtutakwenda kujifunza kuhusu loop. Katika programming tunaposema loop tunamaanisha ile hali ya program ku excute code zaidi na zaidi. Tofauti na kurudia rudia kuandika statement moja kwa ajili ya kupata matokeoa hayohayo basi unapotumia lo

Soma Zaidi...
Game 2: Jinsi ya kutengeneza tic toc game ya single player kwa kutumia javascript, html na css
Game 2: Jinsi ya kutengeneza tic toc game ya single player kwa kutumia javascript, html na css

Katika post hii utakwenda kujifunza kutengeneza game ya tic toc ya mchezaji mmoja na kompyuta yaani single player

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 9: Jinsi ya kuandika function kwenye javascript
JAVASCRIPT - somo la 9: Jinsi ya kuandika function kwenye javascript

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function kwenye javascript. Utajifunz apia namna ya kuitumia function hiyo

Soma Zaidi...