Menu



JAVASCRIPT - somo la 17: condition statement za if else, else if kwenye javascript

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu condition statemant. Darasa hili ni moja katika madarasa muhimu programming. Katika somo hili tutajifunza kwa vitendo zaidi. Tutatumia mifano ya somo lililo tangulia.

Ili uelewe vyema somo hili soma kwanza habari hii. Umetakiwa kusajili wanafunzi katika darasa la kwanza. Sharti mwanafunzi awe na umri kati ya miaka 6 hadi 8. Program itasema umefanikiwa kumsajili mwanafunzi Endapo mwanafunzi atakuwa na umri wa miaka chini ya 6 program inatakiwa iseme anatakiwa kurudi darasa la chekechea na endapo umri utakuwa zaidi ya miaka 8 basi program imwambie anatakiwa asome memkwa . Darasa letu litakuwa linachezea kwenye habari hiyo.


 

Condition statement ni nini?

Neno statement ni neno la kiingereza lenye maana maelezo na neno condition lina maana ya masharti. Hivyo kwa ujumla tunasema kuwa condition statement ni maelekezo ambayo yanakuwa na masharti. Maelekezo haya yanaweza kubeba pande mbili pande yabkwanza itabeba maelezo na pande ya lili itatupa matokeo.

 

Mfano: "endapo umri ea mtoto ni miaka 5". Haya ni maelekezo na matokeo yake anatakiwa kurudi darasa la chekechea. Hivyo shart hapa la kusajiliwa ni kuwa na umri kuanzia miaka 6.

 

Aina za condition statement:

Condition statement zipo katika aina kuu 3 ambazo ni:-

  1. if……else
  2. switch
  3. loop

Katika somo hili tutaona aina kwanza. Kisha switch na loop tutaisoma kwenye somo linalofuata.

 

  1. if…else

Tunataka tuanze kuona endapo umri wa mtoto utakuwa chinivya miaka 6.

Kwanza tutatiloa prompy() kwa ajili ya kudaka user input. Rejea somo la 15 tumezungumzia sana habari hii. 

Pili tutatumia variable kwa ajili ya ku store user input kutoka kwenye prompt(). Variable yetu tutaiita umri.  Hivyo code itasomeka hivi

let umri = prompt("Weka umri wa mtoto");

 

Tatu tutakwenda kutengeneza condition statement. Jinsfi ya kutengeneza condition statemen

  1. Utaanza na neno if 
  2. Litafuatiwa na mabano ()
  3. Ndani ya hayo mabano ndipo kunakaa mashart
  4. Kisha utaweka mabano mengine haya {} yanayifahamikabkwa jina la curl au brace
  5. Ndani ya jayo mabano {} utaweka maelekezo. Maelekezo haya yataonyesha nini kifanyike endapo sharti litatimizwa ama laa. 

 

Kwa mujibu wa mfano wetu,  shart amavcondition ni kuwa na umri kuanzia miaka 6. Ikiwa ni chini ya hapo program itatoa maelekezo. 

 

Kanuni ya kuandika if… else

 

if(weka sharti hapa){

weka maelekezo hapa

}

 

Kumbuka tayari tunayo vatiable yabkukusanya data ambazo zitajazwa. Variable hiyo ni umri rejea hapo juu. 

 

Sasa tunakwenda kusema kwenye shart ikiwa umri ni chini ya miaka sita. Kama tulivyoona hapo juu kuwa shart huwekwa ndanibya mabano (). Kumbuka alama hizi ambazo tulishasomaga masomo ya mwanzoni: -

Kubwa kuliko

< Ndogo kuliko

== Sawa sawa na

=> Kubwa kuliko au sawa sawa na

<= Ndogo kuliko au sawa sawa na

& and au na hutumika kuunganisha mfano Juma na Ali

! hii hutumika katika kukanusha

|| hii hutumika kumaanisha au


 

Hivyo itaandikwa hivi: -

if(umri ) sas kwa kuwa umri tunaujuwa nibchini yabmiaka 6 tutasema if(umri < 6) hapo sharti limekamilika. 

 

Hatuwa inayofuata ni kuandika statement na kama nilivyotangulia kusema kuwa statement huandikwa ndani ya {} hivyo itakuwa hivi

 

if(umri <6){"Anatakiwa kurudi darasa la chekechea"} sasa kumbuka ili statement yetu ionekane tunatakiwa tutumie zile njia za ku onyesha matokeobya code kama document.write(). Hivyo code zetu zitasomeka hivi: -

 

if(umri <6){

document.write("Anatakiwa kurudi darasabla chekechea");}

 

Pia unaweza kitia rangi maandishi kwa kitumia html.  Kwa mfano hapo tutatumia <b style='color:blue'> Anatakiwa arudi darasa la chekechea</b>

 

Hivyo code nzima zitakuwa hivi: -

<html>

  <head>

    <title>Mafunzo ya javascript</title>

  </head>

  <body>

<script>

  let umri = prompt("Weka umri wa mtoto");

if(umri < 6){

    document.write("<b style='color:blue'> Anatakiwa arudi darasa la chekechea</b>");

  }

</script>

  </body>

</html>

 

 

Sasa hapo utaona nimeweka namba 4 ambayo ni ndogo kuliko 6. Ukibonyeza ok utapata majibu haya. 



 

Kwa mfano huo huo sasa utaona kama utajaza umri kuanzia 6 na kuendelea haitaonyesha chochote. Sasa itatakiwa tuseme else yaani ukiwa umri ni zaidi ya mika 6 ama zsidi program iseme umefanikiwa kumsajili mwanagunzi

 

Kufanya hivi tutaongeza neno else b">...

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: JavaScript Main: ICT File: Download PDF Views 286

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

JAVASCRIPT - somo la 19: Jinsi ya kutumia loop kwenye javascript

Katika somo hilibtutakwenda kujifunza kuhusu loop. Katika programming tunaposema loop tunamaanisha ile hali ya program ku excute code zaidi na zaidi. Tofauti na kurudia rudia kuandika statement moja kwa ajili ya kupata matokeoa hayohayo basi unapotumia lo

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 16: Jinsi ya kutumia html form kwenye javascript

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku dili na html form kwenye javascript. Javascript inaweza kufanya mengi kwenye html form.

Soma Zaidi...
Game 2: Jinsi ya kutengeneza tic toc game ya single player kwa kutumia javascript, html na css

Katika post hii utakwenda kujifunza kutengeneza game ya tic toc ya mchezaji mmoja na kompyuta yaani single player

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 3: sheria za uandishi wa code za javascript yaani syntax za javascript

Katika somo hili utakwenda kujifunza sheria ama syntax za kuandika javascript. Hii itakuwezesha kuelwa zaidi code za javascript.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 21: Jinsi ya kutumia while loop na do while loop

Katika somo hili tutakwenda kujifunza khusu while loop na do while loop.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 12: Function zinazotumika kwenye namba

Katika somo hili utajifunz kuhusu baadhi ya function ambazo hutumika kwenye namba

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 7: Jinsi ya kutumia logical operator kwenye javascript

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia logical operator kwenye javascript. Katika somo hili tutakwenda kutumia mahesabu.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 15: Jinsi ya kukusanya user input

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu user input. Somo hili litaangalia html form na attribute zake na jinsi zinavyohusiana na user input. Mwisho wa somo hili utaweza kutengeneza simple Calculator kwa kutumia javascript.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 11: function maalumu zinazotumika kwenye string yaani string method

Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function maaumu zinazotumika kwenye string yaani string method.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 9: Jinsi ya kuandika function kwenye javascript

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function kwenye javascript. Utajifunz apia namna ya kuitumia function hiyo

Soma Zaidi...