picha

JAVASCRIPT - somo la 9: Jinsi ya kuandika function kwenye javascript

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function kwenye javascript. Utajifunz apia namna ya kuitumia function hiyo

JAVASCRIPT FUNCTIONS:

Function ni kundi la code ambalo unaweza kulitumia zaidi na zaidi. Na hata hivyo function haiwezi kufanyakazi hata mpaka iwe imeitwa (invoked/called).

 

Function zipo katika namna mbili ambazo ni built in functions na user defined functions. Hizi built in function ni zile ambazo zimetengenezwa moja kwa moja na walioivumbuwa hii language.  Na Usher defined function ni zile ambazo mtumiaji anazitengeneza yeye mwenyewe. 

 

 

Jinsi ya kutengeneza function:

Iili kuweza kuandika function javascript hutumia keyword function kisha hufuatiwa na jina la function kisha hufuatiwa na mabano () ambayo ndani yake kunakaa parameta. Endapo zitakuwepo parameta zaidi ya moja utazitenganisha na alama ya kima, baada ya kuweka hayo mabano yenye parameta utaweka mabano mengine hay {} ambayo ndani yake ndio hukaa hizo cede za function yako. 

 

 

Wacha tuone mifano ya functiona hapo chini: -

 

Mfano 1:

<!DOCTYPE html>

<html>

<head>

   <title> Mfano wa 1 </title>

</head>

<body>

   <script>

      /* Mwanzo wa function */

      function karibu(str) {

     /* Code za function hukaa hapa */

        document.write("Karibu Bongoclass");

      }

      /* Hapa ndipo utaiita function */

      karibu();

   </script>

</body>

</html>

 

 

Mfano 2:

Katika function pia tunaweza kutumia return keyword. Hii hutumika pale unapotaka kupata thamani ya fulani kutoka kwenye function yako. 

 

Kwa mfano unafanya usajili wa watoto,  hivyo unataka kuandika jina la mtoto,  la bana ama ukoo pamoja na kabila lake. Unaweza kutumia return keyword ili kupata taarifa za mtoto huyu. 

 

Keyword hii hasa hutumika kustop code zisiendelee ku run kisha huleta matokeo ya code hizo popote pale zilipoitwa. 

 

<!DOCTYPE html>

...
Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: JavaScript Main: Masomo File: Download PDF Views 1286

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Bongolite - Game zone - Play free game     👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉4 web hosting     👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zinazofanana:

Offline data handle kwa kutumia javascript

Katika somo hili tutaenda kujifunza namna ya kuhifadhi taarifa za mtumiaji endapo mtandao utakuwa haupo ()

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 14: Jifunze kuhusu event kwenye javascript

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu javascript events. Event ni neno la Kiingereza lenye maana tukio wingi wake events kumaanisha matukio. Natumia ni kila ambacho kinatokea kwenye javascript.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 17: condition statement za if else, else if kwenye javascript

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu condition statemant. Darasa hili ni moja katika madarasa muhimu programming. Katika somo hili tutajifunza kwa vitendo zaidi. Tutatumia mifano ya somo lililo tangulia.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 2: Jisi ya ku print output ya code za javascript.

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ambavyo utaweza ku display matokeo ya code za javascript.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 23: Jinsi ya kutengeneza calculator yaani kikokotoo cha hesabu kwa kutumia javascript

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ambavyo utaweza kutumia javascript kutengeneza kikokotoo cha hesabu yaani calculator

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 18: Jinsi ya kutumia switch case kwenye javascript

Kwa kutumia mfano huu na iliyotangulia unaweza kuweka masharti kadiri uwezavyo. Tukutane somo linalofuata tutajifunza kuhusu switch statement.

Soma Zaidi...