picha

JAVASCRIPT - somo la 9: Jinsi ya kuandika function kwenye javascript

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function kwenye javascript. Utajifunz apia namna ya kuitumia function hiyo

JAVASCRIPT FUNCTIONS:

Function ni kundi la code ambalo unaweza kulitumia zaidi na zaidi. Na hata hivyo function haiwezi kufanyakazi hata mpaka iwe imeitwa (invoked/called).

 

Function zipo katika namna mbili ambazo ni built in functions na user defined functions. Hizi built in function ni zile ambazo zimetengenezwa moja kwa moja na walioivumbuwa hii language.  Na Usher defined function ni zile ambazo mtumiaji anazitengeneza yeye mwenyewe. 

 

 

Jinsi ya kutengeneza function:

Iili kuweza kuandika function javascript hutumia keyword function kisha hufuatiwa na jina la function kisha hufuatiwa na mabano () ambayo ndani yake kunakaa parameta. Endapo zitakuwepo parameta zaidi ya moja utazitenganisha na alama ya kima, baada ya kuweka hayo mabano yenye parameta utaweka mabano mengine hay {} ambayo ndani yake ndio hukaa hizo cede za function yako. 

 

 

Wacha tuone mifano ya functiona hapo chini: -

 

Mfano 1:

<!DOCTYPE html>

<html>

<head>

   <title> Mfano wa 1 </title>

</head>

<body>

   <script>

      /* Mwanzo wa function */

      function karibu(str) {

     /* Code za function hukaa hapa */

        document.write("Karibu Bongoclass");

      }

      /* Hapa ndipo utaiita function */

      karibu();

   </script>

</body>

</html>

 

 

Mfano 2:

Katika function pia tunaweza kutumia return keyword. Hii hutumika pale unapotaka kupata thamani ya fulani kutoka kwenye function yako. 

 

Kwa mfano unafanya usajili wa watoto,  hivyo unataka kuandika jina la mtoto,  la bana ama ukoo pamoja na kabila lake. Unaweza kutumia return keyword ili kupata taarifa za mtoto huyu. 

 

Keyword hii hasa hutumika kustop code zisiendelee ku run kisha huleta matokeo ya code hizo popote pale zilipoitwa. 

 

<!DOCTYPE html>

...
Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: JavaScript Main: Masomo File: Download PDF Views 1248

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 web hosting     👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉5 Simulizi za Hadithi Audio     👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    

Post zinazofanana:

JAVASCRIPT - somo la 20 Jinsi ya kutumia foOfloop kwenye javascript

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutumia forOfLoop. Hii ni aina ya loop ambayo yenyewe inahusisha item zote kwenye array.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 3: sheria za uandishi wa code za javascript yaani syntax za javascript

Katika somo hili utakwenda kujifunza sheria ama syntax za kuandika javascript. Hii itakuwezesha kuelwa zaidi code za javascript.

Soma Zaidi...
Offline data handle kwa kutumia javascript

Katika somo hili tutaenda kujifunza namna ya kuhifadhi taarifa za mtumiaji endapo mtandao utakuwa haupo ()

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 16: Jinsi ya kutumia html form kwenye javascript

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku dili na html form kwenye javascript. Javascript inaweza kufanya mengi kwenye html form.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 13: Function zinazofanya kazi kwenye array.

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu array pamoja na method zinazohusiana na array. Pia nitakujuza tena kuhusu array ni nini. Utajifunza pia jinsi ya kutengeneza array.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 22: Jinsi ya ku set time na tarehe

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu ku set time. Yaani tutaweka muda ambao code zinatakiwa ndio zilete matokeo.

Soma Zaidi...