FLUTTER somo la 20: Jinsi ya ku sign App ya android kwenye flutter

Somo hili litakufundisha hatuwa kwa hatuwa jinsi ya ku sign app ya android kwenye flutter

Kabla ya ku sign App kwanza tutahitajika kutengeneza faili la keystone. Hii ni kwa ajili ya App za android tu na sio ios. Hivyo basi tutafufuata hatuwa kwa hatu.

 

Mambo ya kuzingatia:

Kabla ya kuanza kutengeneza keystone kwanza tunatakiwa tuhakikisha kuwa flutter path ipo kwenye environment variable.kama bado rejea video yetu hii jinsi ya ku add flutter 

 

Pia hakikisha umesha add java path kwenye environment variable. Utafanya kama ulivyofanya wakati wa ku add flutter kwenye environment variable.

 

Ili kucheki kama vyote hivyp vipo, start button ya window tafuta program inaitwa cmd. Hapo ni uwanja wa kuandika commamd. Andika flutter doctor hii command itakuletea maelezo kuhusu flutter. Kama hutopata maelezo hayo huwenda huja add enviromnent vyema.

 

Ili kuakikisha kama java ipo tayari kwa matumizi andika command hii java -version utaona itakuletea maelekezo kuhusu toleo a java unalotumia na maelekezo mengineyo. Kama haitakuwepo badi unaweza ku download jdk kwenye tovuti ya oracle.

 

Jinsi ya kutegeneza keystore file

Kwa watumiaji wa windo, ingia kwenye cmd kisha run command hii

keytool -genkey -v -keystore %userprofile%\upload-keystore.jks -storetype JKS -keyalg RSA -keysize 2048 -validity 10000 -alias upload

 

Command hii unakuwezesha kutengeneza faili hilo kwenye location ya user wa kompyuta. Yaani kwenye disk c -> user -> username

 

Kwa watumiaji wa macOS au linux tumia command hii

keytool -genkey -v -keystore ~/upload-keystore.jks -keyalg RSA \

        -keysize 2048 -validity 10000 -alias upload

 

Baada ya apo utafatamaelekezo. Kwanza utatakiwa kuweka password na kuzirudi, kisha utaandika jina lako, unapoishi, na nyinginezo. Cheki picha hapo chini, baada ya kujaza swali bofya enter 

 

Haya ni maswali utakayoulizwa na mfano wa majibu yake

  1. Enter keystore password   mfano: bongoclass  angalau password ziwe character 8

  2. Re-enter password  mfano: bongoclass

  3. What is your first name and last name  Mfano: Bongo class

  4. What is the name of your organizational unit  mfano: bongo255

  5. What is the name of your organization mfano Bongoclass

  6. What is the name of your city or locality mfano: Tanga

  7. What is the name of your state or province  mfano: Pangani

  8. What is the two-letter country code for this unit  mfano : 255

  9. Mwisho utaulizwa kama taarifa ni sahihi. Taandika yes.

 

 

Baada ya kubofya hapo utatakiwa kutengeneza key password. Kumbuka zile za kwanza ulizoweka zinaitwa keystore password. Hivyo basi hapa utaweka password nyingine ambazo zinaitwa keypassword angalau password ziwe character 8



Mpaka kufikia hapo tumeshatengeneza keystone file angaliakwenye profile user wa kompyuta yako utalikuta. Jina linaitwa upload-keystore.jks

Sasa tutaliamisha faili let">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Flutter Main: ICT File: Download PDF Views 732

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Flutter somo la 16: Jinsi ya kuweka drawer menu

Katika somo hili utakwenda kujifunza jisni ya kuweka drawer menu kwenye app ya flutter.

Soma Zaidi...
Flutter somo la 15: Jinsi ya kuweka icon kwenye App ya flutter

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia icon yaani kuweka icon kwenye App ya flutter.

Soma Zaidi...
Flutter somo la 13: widget ya batani

Katika somo hili uatakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia batani na kuweka maumbo mbalimbali ya batani.

Soma Zaidi...
FLUTTER somo la 19: jinsi ya kubadili app id ama bundle identifier na configuration nyingine

Katika somo hili utajifunza jisni ya kubadili package name ama app id kwenye Android app na Bundle Identifier kwenye iOS app na taarifa nyinginezo.

Soma Zaidi...
FLUTTER somo la 2: Jinsi ya kutengeneza App ya flutter

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutengeneza App yako ya kwanza ya Flutter hatuwa kwa hatuwa.

Soma Zaidi...
FLUTTER somo la 18: Jinsi yakubadili App name kwenye flutter

Katika somo hili utakwenda kujifunzajinsi ya kubadilisha, jinala App yaani App name.

Soma Zaidi...
FLUTTER somo la 21: Jinsi ya kutengeneza faili la apka na faili la aab

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutengeneza faili la apk kwa ajili ya ku share app yako, na faili la aab kwa ajili ya ku publih app yako.

Soma Zaidi...
Flutter somo la 12: widget ya padding

Katika somo hili utakweda kujifunza jinsi ya kutumia widget ya padding kwenye App yako.

Soma Zaidi...
Flutter somo la 5: widget ni nini na zinafanya nini kwenye flutter

Katika somo hili uatwkeda kujifunza zaidi kuhusu widget, maana yake, aia zake na kazi zake kwneye flutter.

Soma Zaidi...
Flutter somo la 7: jinsi ya kutumia Widget ya AppBar

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu widget ya AppBar. Hata tutaona inavyofanya kazi na baadhi ya property zake.

Soma Zaidi...