picha

FLUTTER somo la 20: Jinsi ya ku sign App ya android kwenye flutter

Somo hili litakufundisha hatuwa kwa hatuwa jinsi ya ku sign app ya android kwenye flutter

Kabla ya ku sign App kwanza tutahitajika kutengeneza faili la keystone. Hii ni kwa ajili ya App za android tu na sio ios. Hivyo basi tutafufuata hatuwa kwa hatu.

 

Mambo ya kuzingatia:

Kabla ya kuanza kutengeneza keystone kwanza tunatakiwa tuhakikisha kuwa flutter path ipo kwenye environment variable.kama bado rejea video yetu hii jinsi ya ku add flutter 

 

Pia hakikisha umesha add java path kwenye environment variable. Utafanya kama ulivyofanya wakati wa ku add flutter kwenye environment variable.

 

Ili kucheki kama vyote hivyp vipo, start button ya window tafuta program inaitwa cmd. Hapo ni uwanja wa kuandika commamd. Andika flutter doctor hii command itakuletea maelezo kuhusu flutter. Kama hutopata maelezo hayo huwenda huja add enviromnent vyema.

 

Ili kuakikisha kama java ipo tayari kwa matumizi andika command hii java -version utaona itakuletea maelekezo kuhusu toleo a java unalotumia na maelekezo mengineyo. Kama haitakuwepo badi unaweza ku download jdk kwenye tovuti ya oracle.

 

Jinsi ya kutegeneza keystore file

Kwa watumiaji wa windo, ingia kwenye cmd kisha run command hii

keytool -genkey -v -keystore %userprofile%\upload-keystore.jks -storetype JKS -keyalg RSA -keysize 2048 -validity 10000 -alias upload

 

Command hii unakuwezesha kutengeneza faili hilo kwenye location ya user wa kompyuta. Yaani kwenye disk c -> user -> username

 

Kwa watumiaji wa macOS au linux tumia command hii

keytool -genkey -v -keystore ~/upload-keystore.jks -keyalg RSA \

        -keysize 2048 -validity 10000 -alias upload

 

Baada ya apo utafatamaelekezo. Kwanza utatakiwa kuweka password na kuzirudi, kisha utaandika jina lako, unapoishi, na nyinginezo. Cheki picha hapo chini, baada ya kujaza swali bofya enter 

 

Haya ni maswali utakayoulizwa na mfano wa majibu yake

  1. Enter keystore password   mfano: bongoclass  angalau password ziwe character 8

  2. Re-enter password  mfano: bongoclass

  3. What is your first name and last name  Mfano: Bongo class

  4. What is the name of your organizational unit  mfano: bongo255

  5. What is the name of your organization mfano Bongoclass

  6. What is the name of your city or locality mfano: Tanga

  7. What is the name of your state or province  mfano: Pangani

  8. What is the two-letter country code for this unit  mfano : 255

  9. Mwisho utaulizwa kama taarifa ni sahihi. Taandika yes.

 

 

Baada ya kubofya hapo utatakiwa kutengeneza key password. Kumbuka zile za kwanza ulizoweka zinaitwa keystore password. Hivyo basi hapa utaweka password nyingine ambazo zinaitwa keypassword angalau password ziwe character 8



Mpaka kufikia hapo tumeshatengeneza keystone file angaliakwenye profile user wa kompyuta yako utalikuta. Jina linaitwa upload-keystore.jks

Sasa tutaliamisha faili letu na kuliweka sehemu rahisi kulifikia kwenye app yetu.nakwenda kuliweka kwenye flolder la app. Ila usifanye hivi kwa app ambayo sio ya mafunz...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-07-15 23:27:03 Topic: Flutter Main: Masomo File: Download PDF Views 1210

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game     👉2 Simulizi za Hadithi Audio     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 kitabu cha Simulizi     👉5 ai web app     👉6 Dua za Mitume na Manabii    

Post zinazofanana:

FLUTTER somo la 2: Jinsi ya kutengeneza App ya flutter

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutengeneza App yako ya kwanza ya Flutter hatuwa kwa hatuwa.

Soma Zaidi...
Flutter somo la 6: Scaffold widget, kazi zake na property zake

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu scaffold widget. Hapa tutakwend kuona properties zake na baadhi ya mifano.

Soma Zaidi...
Flutter somo la 13: widget ya batani

Katika somo hili uatakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia batani na kuweka maumbo mbalimbali ya batani.

Soma Zaidi...
Flutter somo la 1: Nini flutter na nini hasa inafanya

Katika somo hili utajifunza historia fupi ya flutter, kazi zake, nini hasa inafanya. pia utajifunza jinsi ya ku install flutter

Soma Zaidi...
Flutter somo la 9: Jinsi ya kutumia widget ya Row

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu row widget. Hii ni widget ambayo ina utofauti na column widget kwa kuwa hii yenyewe inapangilia maudhui kwa safu za mlalo, tofauti na iliyopita inapangilia kwa safu za wima.

Soma Zaidi...
Flutter: Somo la 3: Mambo muhimu kuhusu App ya flutter

Katika somo hili tutakwend akuyaona baadhi ya maeneo muhimu ya kuanzia kuyajuwa kwa ajili ya course ya flutter kwneye android studio.

Soma Zaidi...