FLUTTER somo la 19: jinsi ya kubadili app id ama bundle identifier na configuration nyingine

Katika somo hili utajifunza jisni ya kubadili package name ama app id kwenye Android app na Bundle Identifier kwenye iOS app na taarifa nyinginezo.

Hatuwa za kubadili package name ama Bundle identifier kuna hatu chache ambazo utazipitia. Sasa wacha tuone hatuwa kwa hatuwa:-

 

Kwa android:

  1. Kubadili app id

Ndenda kwenye faili linaloitwa build.gradle linalopatikana kwenye Android -> app -> buil.gradle

Moja kwa moja nenda kwenye defaultconfig hapo utakutana na mstari umeandikwa applicationId mbele yake kuna application id inayoanza na com kwa mimi ni com.example.mafunzo

Badili hiyo applicationId kuwa nayoitaka. Kwa mfano nataka iwe com.mafunzo.tehama. Hivyo itakuwa hivi applicationId = "com.mafunzo.tehama"

 

  1. Kubadili app code:

Angalia tena kwenye hiyo defaultConfig utaona kwenye list hapo kuna palipoandikwa versionCode = flutterVersionCode.toInteger()

Hapo unaweza kuach kama palivyo ama unaweza kubadili code unayoitaka. Mfano app yako ipo playstore code ya 12, sasa unataka code ya 13 hivyo utakuja hapo na kuweka 13

Baada ya hapo run app yako package itakuwa imeshabadilika. Sasa mimi hapo nitaweka 1.

  1. Kubadili minSdk 

minSd n fupsho cha minimum skd, sasa unaweza kuacha kama palivyo. Ila kama unataka app yako iweze kutumiwa na hata simu za zamani utaweka sdk ya chini unayotaka. Kwa mfano ukiweka 15 ina maana app yako itaweza kufunguliwa na android version ya 4. 

  1. targetSdk

Hii inaeleza inaonyesha API ambayo app imetarget. Vyema ukaacha kamapalivyo kama huhitaji ku target android version za zamani. Google uwa kila m">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Flutter Main: ICT File: Download PDF Views 644

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Flutter: Somo la 3: Mambo muhimu kuhusu App ya flutter

Katika somo hili tutakwend akuyaona baadhi ya maeneo muhimu ya kuanzia kuyajuwa kwa ajili ya course ya flutter kwneye android studio.

Soma Zaidi...
Flutter somo la 7: jinsi ya kutumia Widget ya AppBar

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu widget ya AppBar. Hata tutaona inavyofanya kazi na baadhi ya property zake.

Soma Zaidi...
Flutter somo la 14: Jinsi ya kuweka picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu widget ya Image ambayo hutumika kuonyesha picha kwenye App.

Soma Zaidi...
Flutter: somo la 4: Jinsi ya kuandika code za App ya flutter, hatuwa kwa hatuwa

Katika somo hili utakwenda kujifunza sasa jinsi ya kuandika code za app yetu kwenye flutter framework.

Soma Zaidi...
Flutter somo la 17: Jinsi ya kubadili app icon

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili app icon kwenye app ya Android na iphone kwenye flutter.

Soma Zaidi...
Flutter somo la 10: Jinsi ya kutumia widget ya container

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu widget ya container pia tutajifunza jinsi widget hii inavyoweza kutumika na widget nyingine.

Soma Zaidi...
FLUTTER somo la 21: Jinsi ya kutengeneza faili la apka na faili la aab

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutengeneza faili la apk kwa ajili ya ku share app yako, na faili la aab kwa ajili ya ku publih app yako.

Soma Zaidi...
Flutter somo la 8: Jinsi ya kutumia widget ya column

Katika somo hili utakweda kujifunza kuhsu widget ya column. Widget hii ni moja katika widget zilizo muhimu sana kuzifaham.

Soma Zaidi...
FLUTTER somo la 2: Jinsi ya kutengeneza App ya flutter

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutengeneza App yako ya kwanza ya Flutter hatuwa kwa hatuwa.

Soma Zaidi...
Flutter somo la 5: widget ni nini na zinafanya nini kwenye flutter

Katika somo hili uatwkeda kujifunza zaidi kuhusu widget, maana yake, aia zake na kazi zake kwneye flutter.

Soma Zaidi...