FLUTTER somo la 19: jinsi ya kubadili app id ama bundle identifier na configuration nyingine
Katika somo hili utajifunza jisni ya kubadili package name ama app id kwenye Android app na Bundle Identifier kwenye iOS app na taarifa nyinginezo.
Hatuwa za kubadili package name ama Bundle identifier kuna hatu chache ambazo utazipitia. Sasa wacha tuone hatuwa kwa hatuwa:-
Kwa android:
-
Kubadili app id
Ndenda kwenye faili linaloitwa build.gradle linalopatikana kwenye Android -> app -> buil.gradle
Moja kwa moja nenda kwenye defaultconfig hapo utakutana na mstari umeandikwa applicationId mbele yake kuna application id inayoanza na com kwa mimi ni com.example.mafunzo
Badili hiyo applicationId kuwa nayoitaka. Kwa mfano nataka iwe com.mafunzo.tehama. Hivyo itakuwa hivi applicationId = "com.mafunzo.tehama"
-
Kubadili app code:
Angalia tena kwenye hiyo defaultConfig utaona kwenye list hapo kuna palipoandikwa versionCode = flutterVersionCode.toInteger()
Hapo unaweza kuach kama palivyo ama unaweza kubadili code unayoitaka. Mfano app yako ipo playstore code ya 12, sasa unataka code ya 13 hivyo utakuja hapo na kuweka 13
Baada ya hapo run app yako package itakuwa imeshabadilika. Sasa mimi hapo nitaweka 1.
-
Kubadili minSdk
minSd n fupsho cha minimum skd, sasa unaweza kuacha kama palivyo. Ila kama unataka app yako iweze kutumiwa na hata simu za zamani utaweka sdk ya chini unayotaka. Kwa mfano ukiweka 15 ina maana app yako itaweza kufunguliwa na android version ya 4.
-
targetSdk
Hii inaeleza inaonyesha API ambayo app imetarget. Vyema ukaacha kamapalivyo kama huhitaji ku target android version za zamani. Google uwa kila mwakawanatakautarget latest android sdk,
-
versionNam...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Simulizi za Hadithi Audio 👉2 Kitabu cha Afya 👉3 Bongolite - Game zone - Play free game 👉4 Kitau cha Fiqh 👉5 web hosting 👉6 Dua za Mitume na Manabii
Post zinazofanana:
Flutter: somo la 4: Jinsi ya kuandika code za App ya flutter, hatuwa kwa hatuwa
Katika somo hili utakwenda kujifunza sasa jinsi ya kuandika code za app yetu kwenye flutter framework.
Soma Zaidi...Flutter somo la 13: widget ya batani
Katika somo hili uatakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia batani na kuweka maumbo mbalimbali ya batani.
Soma Zaidi...Flutter somo la 14: Jinsi ya kuweka picha
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu widget ya Image ambayo hutumika kuonyesha picha kwenye App.
Soma Zaidi...Flutter somo la 6: Scaffold widget, kazi zake na property zake
Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu scaffold widget. Hapa tutakwend kuona properties zake na baadhi ya mifano.
Soma Zaidi...FLUTTER somo la 2: Jinsi ya kutengeneza App ya flutter
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutengeneza App yako ya kwanza ya Flutter hatuwa kwa hatuwa.
Soma Zaidi...Flutter somo la 8: Jinsi ya kutumia widget ya column
Katika somo hili utakweda kujifunza kuhsu widget ya column. Widget hii ni moja katika widget zilizo muhimu sana kuzifaham.
Soma Zaidi...