Katika somo hili utajifunza jisni ya kubadili package name ama app id kwenye Android app na Bundle Identifier kwenye iOS app na taarifa nyinginezo.
Hatuwa za kubadili package name ama Bundle identifier kuna hatu chache ambazo utazipitia. Sasa wacha tuone hatuwa kwa hatuwa:-
Kwa android:
Kubadili app id
Ndenda kwenye faili linaloitwa build.gradle linalopatikana kwenye Android -> app -> buil.gradle
Moja kwa moja nenda kwenye defaultconfig hapo utakutana na mstari umeandikwa applicationId mbele yake kuna application id inayoanza na com kwa mimi ni com.example.mafunzo
Badili hiyo applicationId kuwa nayoitaka. Kwa mfano nataka iwe com.mafunzo.tehama. Hivyo itakuwa hivi applicationId = "com.mafunzo.tehama"
Kubadili app code:
Angalia tena kwenye hiyo defaultConfig utaona kwenye list hapo kuna palipoandikwa versionCode = flutterVersionCode.toInteger()
Hapo unaweza kuach kama palivyo ama unaweza kubadili code unayoitaka. Mfano app yako ipo playstore code ya 12, sasa unataka code ya 13 hivyo utakuja hapo na kuweka 13
Baada ya hapo run app yako package itakuwa imeshabadilika. Sasa mimi hapo nitaweka 1.
Kubadili minSdk
minSd n fupsho cha minimum skd, sasa unaweza kuacha kama palivyo. Ila kama unataka app yako iweze kutumiwa na hata simu za zamani utaweka sdk ya chini unayotaka. Kwa mfano ukiweka 15 ina maana app yako itaweza kufunguliwa na android version ya 4.
targetSdk
Hii inaeleza inaonyesha API ambayo app imetarget. Vyema ukaacha kamapalivyo kama huhitaji ku target android version za zamani. Google uwa kila m">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu widget ya container pia tutajifunza jinsi widget hii inavyoweza kutumika na widget nyingine.
Soma Zaidi...Katika somo hili uatwkeda kujifunza zaidi kuhusu widget, maana yake, aia zake na kazi zake kwneye flutter.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunzajinsi ya kubadilisha, jinala App yaani App name.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutengeneza App yako ya kwanza ya Flutter hatuwa kwa hatuwa.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akuyaona baadhi ya maeneo muhimu ya kuanzia kuyajuwa kwa ajili ya course ya flutter kwneye android studio.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu widget ya Image ambayo hutumika kuonyesha picha kwenye App.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakweda kujifunza kuhsu widget ya column. Widget hii ni moja katika widget zilizo muhimu sana kuzifaham.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili app icon kwenye app ya Android na iphone kwenye flutter.
Soma Zaidi...Katika somo hili uatakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia batani na kuweka maumbo mbalimbali ya batani.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza historia fupi ya flutter, kazi zake, nini hasa inafanya. pia utajifunza jinsi ya ku install flutter
Soma Zaidi...