FLUTTER somo la 2: Jinsi ya kutengeneza App ya flutter
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutengeneza App yako ya kwanza ya Flutter hatuwa kwa hatuwa.
Kama kilakitu kipo sawa kulingana na maelekezo ya somo la kwanza, funguwa android studio. Kisha utakuja ukurasa wenye batani 3 kubwa ambazo zina majina New Flutter Project, New Project, na Open. sasa hapo utabofya hiyo ya kwanza kushoto ya new flutter project. Angalia video hii kupata maelekezo yote
Kisha ukurasa mwingine utafunguka, huo utakuhitaji kuweka jina la project. Kwa mfano unaweza kuweka tehama kisha bofua neno Next kwa chini upande wa kulia.
Ukurasa unaofuata una vibox vingi vinavyohitaji kujazwa. Rejea video yatu kwa maelekezo zaidi. Sasa wacha tuone kila kijumba katika hivyo na kazi zake.
- Project name: katika kijumba hiki utaweka jina la App unayotaka kutengeneza weka tehama
- Project Location: katika kichumba hiki utaweka location mahala ambapo kwenye kompyuta yako hiyo project itakuwepo. Unaweza kuacha hivyo hivyo kama huelewi jinsi ya kuset location.
- Description: hapo utaweka maelezo kuhusu App yako. Mfano inahusu nini. Sio lazima kujaza kichumba hiki.
- Project type: hapo utaweka aina ya application yako. Unaweza kuacha hivyohivyo hapo
- Organization: hapo weka package name
- Android language: hapo utachaguwa lugha ya android. Unaweza kuacha kama palivyo.
- iOS Language: hapa napo utachaguwa ligha ya app ya ios pia unaweza kuacha kama palivyo
- Platform: hapo utachaguwa platform ambazo app yakoitafanya kazi. Chaguwa unazotaka, kwa mfano hapo chaguwa web na android kwa kuwa hutahitaji configuration nyingine.
- Module name: weka jina la mudulehapo unaweza kurudia jina la app yako kwa herufi ndogo
- Content root: hapo ni folder ambalo project yako itakuwepo. Wacha hivyo hivyo kama huelewi
- Module file location: mahala ambapo faili la module litakuwepo. Wacha hivyo hivyo kama huelewi
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Simulizi za Hadithi Audio 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 Kitau cha Fiqh 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉6 Bongolite - Game zone - Play free game
Post zinazofanana:
Flutter somo la 12: widget ya padding
Katika somo hili utakweda kujifunza jinsi ya kutumia widget ya padding kwenye App yako.
Soma Zaidi...Flutter somo la 9: Jinsi ya kutumia widget ya Row
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu row widget. Hii ni widget ambayo ina utofauti na column widget kwa kuwa hii yenyewe inapangilia maudhui kwa safu za mlalo, tofauti na iliyopita inapangilia kwa safu za wima.
Soma Zaidi...FLUTTER somo la 21: Jinsi ya kutengeneza faili la apka na faili la aab
Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutengeneza faili la apk kwa ajili ya ku share app yako, na faili la aab kwa ajili ya ku publih app yako.
Soma Zaidi...Flutter somo la 8: Jinsi ya kutumia widget ya column
Katika somo hili utakweda kujifunza kuhsu widget ya column. Widget hii ni moja katika widget zilizo muhimu sana kuzifaham.
Soma Zaidi...Flutter somo la 17: Jinsi ya kubadili app icon
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili app icon kwenye app ya Android na iphone kwenye flutter.
Soma Zaidi...Flutter: somo la 4: Jinsi ya kuandika code za App ya flutter, hatuwa kwa hatuwa
Katika somo hili utakwenda kujifunza sasa jinsi ya kuandika code za app yetu kwenye flutter framework.
Soma Zaidi...