image

FLUTTER somo la 2: Jinsi ya kutengeneza App ya flutter

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutengeneza App yako ya kwanza ya Flutter hatuwa kwa hatuwa.

Kama kilakitu kipo sawa kulingana na maelekezo ya somo la kwanza, funguwa android studio. Kisha utakuja ukurasa wenye batani 3 kubwa ambazo zina majina New Flutter Project, New Project, na Open. sasa hapo utabofya hiyo ya kwanza kushoto ya new flutter project. Angalia video hii kupata maelekezo yote

 

Kisha ukurasa mwingine utafunguka, huo utakuhitaji kuweka jina la project. Kwa mfano unaweza kuweka tehama kisha bofua neno Next kwa chini upande wa kulia. 

 

Ukurasa unaofuata una vibox vingi vinavyohitaji kujazwa. Rejea video yatu kwa maelekezo zaidi. Sasa wacha tuone kila kijumba katika hivyo na kazi zake.

  1. Project name: katika kijumba hiki utaweka jina la App unayotaka kutengeneza weka tehama
  2. Project Location:  katika kichumba hiki utaweka location mahala ambapo kwenye kompyuta yako hiyo project itakuwepo. Unaweza kuacha hivyo hivyo kama huelewi jinsi ya kuset location.
  3. Description: hapo utaweka maelezo kuhusu App yako. Mfano inahusu nini. Sio lazima kujaza kichumba hiki.
  4. Project type: hapo utaweka aina ya application yako.  Unaweza kuacha hivyohivyo hapo
  5. Organization: hapo weka package name
  6. Android language: hapo utachaguwa lugha ya android. Unaweza kuacha kama palivyo.
  7. iOS Language: hapa napo utachaguwa ligha ya app ya ios pia unaweza kuacha kama palivyo
  8. Platform: hapo utachaguwa platform ambazo app yakoitafanya kazi. Chaguwa unazotaka, kwa mfano hapo chaguwa web na android kwa kuwa hutahitaji configuration nyingine.
  9. Module name:  weka jina la mudulehapo unaweza kurudia jina la app yako kwa herufi ndogo
  10. Content root: hapo ni folder ambalo project yako itakuwepo. Wacha hivyo hivyo kama huelewi
  11. Module file location: mahala ambapo faili la module litakuwepo. Wacha hivyo hivyo kama huelewi
  12. Project format: format ya project. Hapa wacha hivyo hivyo.

 

Ukimaliza kujaza hapo bofya palilpoandikwa create kwa chini. Angalia picha hapo chini ikiwa imejazwa vyumba vyote hivyo. Pia rejea viddeo yetu kwa maelekezo zaidi.

...



           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2024-02-18 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 202


Download our Apps
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

Flutter somo la 13: widget ya batani
Katika somo hili uatakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia batani na kuweka maumbo mbalimbali ya batani. Soma Zaidi...

Flutter somo la 12: widget ya padding
Katika somo hili utakweda kujifunza jinsi ya kutumia widget ya padding kwenye App yako. Soma Zaidi...

FLUTTER somo la 2: Jinsi ya kutengeneza App ya flutter
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutengeneza App yako ya kwanza ya Flutter hatuwa kwa hatuwa. Soma Zaidi...

Flutter somo la 15: Jinsi ya kuweka icon kwenye App ya flutter
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia icon yaani kuweka icon kwenye App ya flutter. Soma Zaidi...

Flutter somo la 7: jinsi ya kutumia Widget ya AppBar
Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu widget ya AppBar. Hata tutaona inavyofanya kazi na baadhi ya property zake. Soma Zaidi...

Flutter somo la 1: Nini flutter na nini hasa inafanya
Katika somo hili utajifunza historia fupi ya flutter, kazi zake, nini hasa inafanya. pia utajifunza jinsi ya ku install flutter Soma Zaidi...

Flutter somo la 6: Scaffold widget, kazi zake na property zake
Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu scaffold widget. Hapa tutakwend kuona properties zake na baadhi ya mifano. Soma Zaidi...

Flutter somo la 8: Jinsi ya kutumia widget ya column
Katika somo hili utakweda kujifunza kuhsu widget ya column. Widget hii ni moja katika widget zilizo muhimu sana kuzifaham. Soma Zaidi...

Flutter somo la 11: Matumizi ya text widget
Katika Flutter, Text Widget ni kipengele kinachotumiwa kuonyesha maandishi kwenye programu. Kwa kawaida, hutumiwa kama sehemu ya muundo wa UI ya programu za Flutter. Soma Zaidi...

Flutter somo la 14: Jinsi ya kuweka picha
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu widget ya Image ambayo hutumika kuonyesha picha kwenye App. Soma Zaidi...

Flutter: somo la 4: Jinsi ya kuandika code za App ya flutter, hatuwa kwa hatuwa
Katika somo hili utakwenda kujifunza sasa jinsi ya kuandika code za app yetu kwenye flutter framework. Soma Zaidi...

Flutter somo la 9: Jinsi ya kutumia widget ya Row
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu row widget. Hii ni widget ambayo ina utofauti na column widget kwa kuwa hii yenyewe inapangilia maudhui kwa safu za mlalo, tofauti na iliyopita inapangilia kwa safu za wima. Soma Zaidi...