FLUTTER somo la 2: Jinsi ya kutengeneza App ya flutter

FLUTTER somo la 2: Jinsi ya kutengeneza App ya flutter

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutengeneza App yako ya kwanza ya Flutter hatuwa kwa hatuwa.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Kama kilakitu kipo sawa kulingana na maelekezo ya somo la kwanza, funguwa android studio. Kisha utakuja ukurasa wenye batani 3 kubwa ambazo zina majina New Flutter Project, New Project, na Open. sasa hapo utabofya hiyo ya kwanza kushoto ya new flutter project. Angalia video hii kupata maelekezo yote

 

Kisha ukurasa mwingine utafunguka, huo utakuhitaji kuweka jina la project. Kwa mfano unaweza kuweka tehama kisha bofua neno Next kwa chini upande wa kulia. 

 

Ukurasa unaofuata una vibox vingi vinavyohitaji kujazwa. Rejea video yatu kwa maelekezo zaidi. Sasa wacha tuone kila kijumba katika hivyo na kazi zake.

  1. Project name: katika kijumba hiki utaweka jina la App unayotaka kutengeneza weka tehama
  2. Project Location:  katika kichumba hiki utaweka location mahala ambapo kwenye kompyuta yako hiyo project itakuwepo. Unaweza kuacha hivyo hivyo kama huelewi jinsi ya kuset location.
  3. Description: hapo utaweka maelezo kuhusu App yako. Mfano inahusu nini. Sio lazima kujaza kichumba hiki.
  4. Project type: hapo utaweka aina ya application yako.  Unaweza kuacha hivyohivyo hapo
  5. Organization: hapo weka package name
  6. Android language: hapo utachaguwa lugha ya android. Unaweza kuacha kama palivyo.
  7. iOS Language: hapa napo utachaguwa ligha ya app ya ios pia unaweza kuacha kama palivyo
  8. Platform: hapo utachaguwa platform ambazo app yakoitafanya kazi. Chaguwa unazotaka, kwa mfano hapo chaguwa web na android kwa kuwa hutahitaji configuration nyingine.
  9. Module name:  weka jina la mudulehapo unaweza kurudia jina la app yako kwa herufi ndogo
  10. Content root: hapo ni folder ambalo project yako itakuwepo. Wacha hivyo hivyo kama huelewi
  11. Module file location: mahala ambapo faili la module litakuwepo. Wacha hivyo hivyo kama huelewi
  12. Project format: format ya project. Hapa wacha hivyo hivyo.

 

Ukimaliza kujaza hapo bofya palilpoandikwa create kwa chini. Angalia picha hapo chini ikiwa imejazwa vyumba vyote hivyo. Pia rejea viddeo yetu kwa maelekezo zaidi.

...

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Flutter Main: ICT File: Download PDF Views 642

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Flutter somo la 6: Scaffold widget, kazi zake na property zake
Flutter somo la 6: Scaffold widget, kazi zake na property zake

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu scaffold widget. Hapa tutakwend kuona properties zake na baadhi ya mifano.

Soma Zaidi...
Flutter: somo la 4: Jinsi ya kuandika code za App ya flutter, hatuwa kwa hatuwa
Flutter: somo la 4: Jinsi ya kuandika code za App ya flutter, hatuwa kwa hatuwa

Katika somo hili utakwenda kujifunza sasa jinsi ya kuandika code za app yetu kwenye flutter framework.

Soma Zaidi...
Flutter somo la 8: Jinsi ya kutumia widget ya column
Flutter somo la 8: Jinsi ya kutumia widget ya column

Katika somo hili utakweda kujifunza kuhsu widget ya column. Widget hii ni moja katika widget zilizo muhimu sana kuzifaham.

Soma Zaidi...
Flutter somo la 12: widget ya padding
Flutter somo la 12: widget ya padding

Katika somo hili utakweda kujifunza jinsi ya kutumia widget ya padding kwenye App yako.

Soma Zaidi...
Flutter somo la 16: Jinsi ya kuweka drawer menu
Flutter somo la 16: Jinsi ya kuweka drawer menu

Katika somo hili utakwenda kujifunza jisni ya kuweka drawer menu kwenye app ya flutter.

Soma Zaidi...
Flutter somo la 7: jinsi ya kutumia Widget ya AppBar
Flutter somo la 7: jinsi ya kutumia Widget ya AppBar

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu widget ya AppBar. Hata tutaona inavyofanya kazi na baadhi ya property zake.

Soma Zaidi...
Flutter somo la 1: Nini flutter na nini hasa inafanya
Flutter somo la 1: Nini flutter na nini hasa inafanya

Katika somo hili utajifunza historia fupi ya flutter, kazi zake, nini hasa inafanya. pia utajifunza jinsi ya ku install flutter

Soma Zaidi...
FLUTTER somo la 19: jinsi ya kubadili app id ama bundle identifier na configuration nyingine
FLUTTER somo la 19: jinsi ya kubadili app id ama bundle identifier na configuration nyingine

Katika somo hili utajifunza jisni ya kubadili package name ama app id kwenye Android app na Bundle Identifier kwenye iOS app na taarifa nyinginezo.

Soma Zaidi...
Flutter somo la 10: Jinsi ya kutumia widget ya container
Flutter somo la 10: Jinsi ya kutumia widget ya container

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu widget ya container pia tutajifunza jinsi widget hii inavyoweza kutumika na widget nyingine.

Soma Zaidi...
Flutter somo la 14: Jinsi ya kuweka picha
Flutter somo la 14: Jinsi ya kuweka picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu widget ya Image ambayo hutumika kuonyesha picha kwenye App.

Soma Zaidi...