Menu



FLUTTER somo la 18: Jinsi yakubadili App name kwenye flutter

Katika somo hili utakwenda kujifunzajinsi ya kubadilisha, jinala App yaani App name.

Somo hili linaumuhimusana kwani wakati mwingineunapewa code za app ambazo zipo tayari. So itakubidi ujuwe jinsi ya kubadilisha jina, package name na baadhi ya config nyingine ili uweze kutengeneza app yako mwenyewe.



Jinsi ya kubadilisha jina:

Kwa app za android:

Nenda kwenye folder la Android -> app -> src -> main

  1. Nenda kwenye faili linaloitwa AndroidManifest.xml

  1. Funguwa hilo faili kisha tafuta palipo andikwa android:label

  2. Mbele ya hayo maneno utaona jina la app limezungukwa na alama za funga semi yaani “” kwa mfano kwa mimi hapa ipo hivi android:label="mafunzo"   sasa ondosha hilo jina uliolikuta kisha weka unalolitaka. Kwa mfano mimi ninaweza Bongoclass kwa hivo itaonekana hivi  android:label="Bongoclass" 

  3. ">...

    Download App Yetu

    Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

    Download Now Bongoclass

    Nyuma Endelea

    Ndio     Hapana     Save post
    Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Flutter Main: Masomo File: Download PDF Views 250

    Share On:

    Facebook WhatsApp

    Post zinazofanana:

    FLUTTER somo la 20: Jinsi ya ku sign App ya android kwenye flutter

    Somo hili litakufundisha hatuwa kwa hatuwa jinsi ya ku sign app ya android kwenye flutter

    Soma Zaidi...
    FLUTTER somo la 21: Jinsi ya kutengeneza faili la apka na faili la aab

    Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutengeneza faili la apk kwa ajili ya ku share app yako, na faili la aab kwa ajili ya ku publih app yako.

    Soma Zaidi...
    Flutter somo la 16: Jinsi ya kuweka drawer menu

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jisni ya kuweka drawer menu kwenye app ya flutter.

    Soma Zaidi...
    Flutter somo la 14: Jinsi ya kuweka picha

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu widget ya Image ambayo hutumika kuonyesha picha kwenye App.

    Soma Zaidi...
    Flutter somo la 5: widget ni nini na zinafanya nini kwenye flutter

    Katika somo hili uatwkeda kujifunza zaidi kuhusu widget, maana yake, aia zake na kazi zake kwneye flutter.

    Soma Zaidi...
    Flutter somo la 8: Jinsi ya kutumia widget ya column

    Katika somo hili utakweda kujifunza kuhsu widget ya column. Widget hii ni moja katika widget zilizo muhimu sana kuzifaham.

    Soma Zaidi...
    Flutter somo la 13: widget ya batani

    Katika somo hili uatakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia batani na kuweka maumbo mbalimbali ya batani.

    Soma Zaidi...
    Flutter somo la 7: jinsi ya kutumia Widget ya AppBar

    Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu widget ya AppBar. Hata tutaona inavyofanya kazi na baadhi ya property zake.

    Soma Zaidi...
    Flutter: somo la 4: Jinsi ya kuandika code za App ya flutter, hatuwa kwa hatuwa

    Katika somo hili utakwenda kujifunza sasa jinsi ya kuandika code za app yetu kwenye flutter framework.

    Soma Zaidi...
    Flutter somo la 17: Jinsi ya kubadili app icon

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili app icon kwenye app ya Android na iphone kwenye flutter.

    Soma Zaidi...