FLUTTER somo la 18: Jinsi yakubadili App name kwenye flutter

Katika somo hili utakwenda kujifunzajinsi ya kubadilisha, jinala App yaani App name.

Somo hili linaumuhimusana kwani wakati mwingineunapewa code za app ambazo zipo tayari. So itakubidi ujuwe jinsi ya kubadilisha jina, package name na baadhi ya config nyingine ili uweze kutengeneza app yako mwenyewe.



Jinsi ya kubadilisha jina:

Kwa app za android:

Nenda kwenye folder la Android -> app -> src -> main

  1. Nenda kwenye faili linaloitwa AndroidManifest.xml

  1. Funguwa hilo faili kisha tafuta palipo andikwa android:label

  2. Mbele ya hayo maneno utaona jina la app limezungukwa na alama za funga semi yaani “” kwa mfano kwa mimi hapa ipo hivi android:label="mafunzo"   sasa ondosha hilo jina uliolikuta kisha weka unalolitaka. Kwa mfano mimi ninaweza Bongoclass kwa hivo itaonekana hivi  android:label="Bongoclass" 

  3. ">...

    Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

    Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Flutter Main: ICT File: Download PDF Views 522

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 web hosting    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

    Post zinazofanana:

    FLUTTER somo la 21: Jinsi ya kutengeneza faili la apka na faili la aab

    Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutengeneza faili la apk kwa ajili ya ku share app yako, na faili la aab kwa ajili ya ku publih app yako.

    Soma Zaidi...
    FLUTTER somo la 19: jinsi ya kubadili app id ama bundle identifier na configuration nyingine

    Katika somo hili utajifunza jisni ya kubadili package name ama app id kwenye Android app na Bundle Identifier kwenye iOS app na taarifa nyinginezo.

    Soma Zaidi...
    Flutter: somo la 4: Jinsi ya kuandika code za App ya flutter, hatuwa kwa hatuwa

    Katika somo hili utakwenda kujifunza sasa jinsi ya kuandika code za app yetu kwenye flutter framework.

    Soma Zaidi...
    Flutter somo la 13: widget ya batani

    Katika somo hili uatakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia batani na kuweka maumbo mbalimbali ya batani.

    Soma Zaidi...
    FLUTTER somo la 2: Jinsi ya kutengeneza App ya flutter

    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutengeneza App yako ya kwanza ya Flutter hatuwa kwa hatuwa.

    Soma Zaidi...
    Flutter somo la 12: widget ya padding

    Katika somo hili utakweda kujifunza jinsi ya kutumia widget ya padding kwenye App yako.

    Soma Zaidi...
    Flutter somo la 15: Jinsi ya kuweka icon kwenye App ya flutter

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia icon yaani kuweka icon kwenye App ya flutter.

    Soma Zaidi...
    Flutter somo la 9: Jinsi ya kutumia widget ya Row

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu row widget. Hii ni widget ambayo ina utofauti na column widget kwa kuwa hii yenyewe inapangilia maudhui kwa safu za mlalo, tofauti na iliyopita inapangilia kwa safu za wima.

    Soma Zaidi...
    FLUTTER somo la 20: Jinsi ya ku sign App ya android kwenye flutter

    Somo hili litakufundisha hatuwa kwa hatuwa jinsi ya ku sign app ya android kwenye flutter

    Soma Zaidi...
    Flutter somo la 10: Jinsi ya kutumia widget ya container

    Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu widget ya container pia tutajifunza jinsi widget hii inavyoweza kutumika na widget nyingine.

    Soma Zaidi...