Faida za kiafya za kula kungumanga/nutmeg
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kungumanga/nutmeg
. Faida za kiafya za kungumanga (nutmeg)
? Hizi huliwa mbegu zake, na hukamuliwa mafuta
1. kuku zina virutubisho vingi na mafuta, madini na fat
2. Husaidia katika kuondoa ama kupunguza maumivu
3. Kuboresha upataji wa choo kwa urahisi
4. Huboresha afya ya ubongo na kukuza ufahamu
5. Husaidia katika kuondoa sumu mwilini
6. Huboresha afya ya ngozi
7. Huboresha mzunguko wa damu
8. Hulinda mwili dhidi ya maradhi kama leukemia
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Kitabu cha Afya 👉2 Bongolite - Game zone - Play free game 👉3 Kitau cha Fiqh 👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉6 Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
Faida za kula chungwa na chenza (tangarine)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula chungwa na chenza (tangarine)
Soma Zaidi...Faida za kula papai
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula papai
Soma Zaidi...Faida za kiafya za kunywa maziwa
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa maziwa
Soma Zaidi...Karanga (groundnuts)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula karanga
Soma Zaidi...VYANZO VYA VYAKULA VYA MADINI NA FAIDA ZAKE
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...