Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kungumanga/nutmeg
. Faida za kiafya za kungumanga (nutmeg)
? Hizi huliwa mbegu zake, na hukamuliwa mafuta
1. kuku zina virutubisho vingi na mafuta, madini na fat
2. Husaidia katika kuondoa ama kupunguza maumivu
3. Kuboresha upataji wa choo kwa urahisi
4. Huboresha afya ya ubongo na kukuza ufahamu
5. Husaidia katika kuondoa sumu mwilini
6. Huboresha afya ya ngozi
7. Huboresha mzunguko wa damu
8. Hulinda mwili dhidi ya maradhi kama leukemia
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
vitamini B vipo katika makundi mengi kma aB1, B2, B3, B5, B6, B7 na B12. Makala hii itakwenda kukutajia kazi kuu za Vitamini B katika miili yetu
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukuonyesha faida za kula bamia kwa afya afya
Soma Zaidi...utajifunza njia za kuzuia kiungulia, dalili za kiungulia na dawa ya kutibu kiungulia.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula njegere, kunde, mbaazi, njugu mawe na maharage
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukueleza kuhusu fati, vyakula vya fati, kazi zake na athari za upungufu wake
Soma Zaidi...Posti hii inaonyesha Faida za kula papai.papai Ni tunda na Lina leta afya,nguvu na kuujenga mwili.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mahindi
Soma Zaidi...Zijuwe sababu kuu za kuwepo kwa maumivu ya tumbo baada ya kula chakula
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula zaituni/ Olive
Soma Zaidi...