Faida za kiafya za kula kungumanga/nutmeg
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kungumanga/nutmeg
. Faida za kiafya za kungumanga (nutmeg)
? Hizi huliwa mbegu zake, na hukamuliwa mafuta
1. kuku zina virutubisho vingi na mafuta, madini na fat
2. Husaidia katika kuondoa ama kupunguza maumivu
3. Kuboresha upataji wa choo kwa urahisi
4. Huboresha afya ya ubongo na kukuza ufahamu
5. Husaidia katika kuondoa sumu mwilini
6. Huboresha afya ya ngozi
7. Huboresha mzunguko wa damu
8. Hulinda mwili dhidi ya maradhi kama leukemia
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 Kitau cha Fiqh 👉3 Dua za Mitume na Manabii 👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉5 Simulizi za Hadithi Audio 👉6 Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
Vyakula vyenye vitamini C kwa wingi
Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya vyakula vyenye vitamini C kwa wingi
Soma Zaidi...Aina za vyakula ambayo huongeza damu kwa wajawazito na watoto
Hizi ni aina za vyakula ambavyo husaidia katika kuongeza damu kwa wajawazito na watoto.
Soma Zaidi...Faida za kula magimbi (taro roots)
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula magimbi
Soma Zaidi...