Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula peazi/peas
Faida za kiafya za peasi (pear)
1. peasi lina virutubisho kama vitamini C, B na K, pia madini ya chuma, magnesium na calcium. Pia peasi lina fati na protini
2. Husaidia kulinda mwili dhidi ya kisukari
3. Hulinda mwili dhidi ya maradhi ya moyo
4. Hulinda mfumo wa mmengenyo wa chakula dhidi ya uaribifu
5. Hulinda afya ya mishipa ya damu
6. Husadia katika kuondosha sumu mwilini
7. Huzuia athari za kemikali mwilini
8. Huboresha afya ya mfumo wa kinga
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Makala hii inakwenda kukueleza kuhusu fati, vyakula vya fati, kazi zake na athari za upungufu wake
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu upungufu wa vitamini C mwilini
Soma Zaidi...Palachichi lina virutubisho vingi na vitamini, kula palachichi uiokoe afya yako
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula karanga
Soma Zaidi...vitamini B vipo katika makundi mengi kma aB1, B2, B3, B5, B6, B7 na B12. Makala hii itakwenda kukutajia kazi kuu za Vitamini B katika miili yetu
Soma Zaidi...Posti hii inahusu faida za kunywa maji kabla hujula kitu chochote,tunajua kabisa kabla ujala au kunywa chochote sumu nyingi mwilini zinakuwa hazijachanganyikana na chochote kwa hiyo tunapaswa kujua kuwa kuna faida kubwa nyingi za kunywa maji kama ifuatavy
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha utaratibu wa lishe kwa wagonjwa wenye kisukari pamoja na vyakula salamakwao.
Soma Zaidi...kuhusu vitamini C, kuanzia chanzo chake, maana yake, upungufu wake na kazi zake kwenye miili yetu.
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...