Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za mchaichai
Faida za mchaichai
Majani haya hutumiwa Kama mbadala wa majani ya chai, yana harufu nzuri na rangi ya kuvutia pindi yatumiwapo kama majani ya chai
1. Huboresha na kuimarisha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula
2. Mchaichai una virutubisho Kama vitamin C na A pia una madini mengi
3. Hutumika Kama dawa ya kukosa choo, tumbo kujaa gesi na kuvimbiwa
4. Hutumika kutoa sumu mwilini
5. Hudhibiti presha ya damu na kuishusha
6. Husaidia kusafisha ini
7. Huboresha afya ya moyo
8. Husaidia katika uunguzwaji wa fati na mafuta mwilini
9. Huboresha na kuimarisha afya ya ngozi na nywele
10. Hutibu mafua na homa ya mafua
11. Huzuia maumivu ya chango kwa wakina mama
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kitunguu saumu
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi za madini ya chuma mwilini,Ni madini ambayo ufanya kazi mbalimbali mwilini na pia utokana na vyakula mbalimbali ambavyo upatikana kwenye wanyama na mimea. Zifuatazo ni kazi za madini ya chuma.
Soma Zaidi...Utajifunza vyakula vyenye madini kwa wingi, kazi za madini mwilini na athari za upungufu wake
Soma Zaidi...Okoa afya yako kwa kula tunda papai, kwa hakika hutajuta, papai lina virutubisho vingi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin D
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ukwaju
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida kuhusu uyoga mwekundu ni uyoga unaopatikana katika sehemu mbalimbali na pia kuna waliofanikiwa kupandikiza na kuweza kuvuna ila uyoga huu una siri mbalimbali kama tutakavyoona.
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...