Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za mchaichai
Faida za mchaichai
Majani haya hutumiwa Kama mbadala wa majani ya chai, yana harufu nzuri na rangi ya kuvutia pindi yatumiwapo kama majani ya chai
1. Huboresha na kuimarisha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula
2. Mchaichai una virutubisho Kama vitamin C na A pia una madini mengi
3. Hutumika Kama dawa ya kukosa choo, tumbo kujaa gesi na kuvimbiwa
4. Hutumika kutoa sumu mwilini
5. Hudhibiti presha ya damu na kuishusha
6. Husaidia kusafisha ini
7. Huboresha afya ya moyo
8. Husaidia katika uunguzwaji wa fati na mafuta mwilini
9. Huboresha na kuimarisha afya ya ngozi na nywele
10. Hutibu mafua na homa ya mafua
11. Huzuia maumivu ya chango kwa wakina mama
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu
Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF
Share On
Facebook
or
Whatsapp
Imesomwa mara 4655
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh
👉2 Madrasa kiganjani
👉3 kitabu cha Simulizi
👉4 Kitabu cha Afya
UPUNGUFU WA VYAKULA VYA MADINI
2. Soma Zaidi...
Madhara ya kula chakula chenye chumvi nyingi
Posti hii inakwendavkukufundisha madhara unayoweza kuyapata unapokula chakula cgenye chumvi nyingi Soma Zaidi...
Faida za kiafya za stafeli/soursop
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za stafeli ama soursop Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula uyoga
Soma Zaidi...
Faida za kiafya za peaz/ peas
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula peazi/peas Soma Zaidi...
Vyakula vya vitamini D na faida zake
Soma Zaidi...
Vyakula vya vitamin K
Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin K Soma Zaidi...
Hasara za kitunguu swaumu wakati wa ujauzito
Posti hii inahusu zaidi hasara za kitunguu swaumu wakati wa ujauzito. Soma Zaidi...
Faida za kula kabichi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kabichi Soma Zaidi...
VYAKULA VYENYE PROTINI KWA WINGI
hivi ndio vyakula vya protini kwa wingi, maziwa, mayai, samaki, dagaa, nyama, maini. Endelea na zaidi Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula Embe
Soma Zaidi...
Faida za kula ndizi
Somo hiki linakwenda kukueleza faida za kiafya za kula ndizi Soma Zaidi...