Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya vyakula vyenye madini kwa wingi
VYAKULA VYA MADINI KWA WINGI
Madini ni katika virutubisho ambavyo huhitajika katika kuhakikisha kuwa mwili unabakia kati aafya njema.mwili unahitaji madini kwa ajili ya kuimarisha afya ya moyo, mishia, misuli na maeneo mengine ya mwili. Madini tunaweza kuyapata kutoka kwenye vyakula tunavyokula kama mboga za majani, nyama, matunda na nafaka zingine. Je ungependa kujuwa vyakula hivyo ama vyanzo vya madini? Na je ungependa kujuwa ni zipi hasa kazi za madini katika miili yetu?. makala hii ni kwa ajili yako, hapa utakwenda kujifunza mengi kuhusu somo hili.
Kabla ya kuona vyakula hivyo kwanza ningepata kukujuza kazi kuu za virutubisho vya madini kwenye miili yetu. Madini yamegawanyika katika aina kuu mbili kuna ambayo yanahitaji
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Umeshawahi kula karoti mbichi, ama ya kupikwa, je unazijuwa faida zake? soma makala hii
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ukwaju
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea matunda yenye vitamin C kwa wingi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula fyulisi/ peach
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi za madini ya chuma mwilini,Ni madini ambayo ufanya kazi mbalimbali mwilini na pia utokana na vyakula mbalimbali ambavyo upatikana kwenye wanyama na mimea. Zifuatazo ni kazi za madini ya chuma.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula karanga
Soma Zaidi...