Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula fyulisi/ peach
Faida za fyulisi/peach
1. Lina virutubisho Kama vitamin C,A na E pia Lina madini ya potassium, shaba manganese, phosphorus
3. Huimarisha afya ya mifupa na meno
3. Huimarisha mfumo wa kinga
4. Hupunguza kasi ya kuzeeka
5. Hulinda mfumo wa fahamu na Neva
6. Huboresha afya ya macho
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
unayopaswa kuyajuwa kuhusu protini na vyakula vya protini, faida zake na hasara zake. Madhara ya kiafya yanayohusiana na protini pamoja na kuyaepuka madhara hayo
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula panzi senene na kumbikumbi
Soma Zaidi...Hivi ni vyakula hatari kwa watu wenye maradhi ya moyo. Vyakula hivi si salama kwa afya ya moyo
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya protini
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukueleza faida za kula maboga, na mbegu zake kwa afya yako
Soma Zaidi...kuhusu vitamini C, kuanzia chanzo chake, maana yake, upungufu wake na kazi zake kwenye miili yetu.
Soma Zaidi...Tufaha ni katika matunda adimu na matamu, je unazijuwa faida zake kkiafya?
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula kabichi
Soma Zaidi...