Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamin A
VYAKULA VYA VITAMINI A
1. Maziwa
2. Maini
3. Karoti
4. Machungwa
5. Mchicha
6. Kabichi
7. Spinach
8. Kisamvu
9. Matango
10. Mboga za majani
Kazi za vitamini A
1. Husaidia katika kuimarisha afya katika mfumo wa upumuaji
2. Husaidia kulinda afya ya amcho
3. Pia huboresha mfumo w fahamu
4. Tatizo la kutoona vyema na upofu huweza kusababishwa na upungufu wa vitamini A mwilini
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
zijuwe faida za kula njegere kiafya na umuhimu wa kula jegere pia jifunze njegere zina kazi gani mwilini?
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa chai
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula murajabu kea mwenye presha ya kushuka
Soma Zaidi...Hpa utafahamu faida za maji mwilini pamoja na athari za upungufu wa maji mwilini na dalili zake
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi virutubisho vilivyomo kwenye parachichi, tunajua sana kuwa parachichi ina virutubisho vingi ambavyo vinaweza kuleta faida nyingi kwenye mwili kama yalivyo matunda na vyakula vingine.
Soma Zaidi...Tatizo la nguvu za kiume linawwza kuzuiliwa ama kupunguzwa kwa kutumia muunganimo wa njiankadhaa kama kubaduki vyakula, kutumia dawa, kupata ushauri kwa wataalamu wa afya ya mahusiano ama kufanya nazoezi. Je na wewe unasumbuliwa na tatizo hili? Makala hii
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida anazozipata mtu anayekula mayai hasa wakati wa kifua kinywa, tunajua wazi kuwa mayai yana kiwango kikubwa cha protini pamoja na hayo kuna faida nyingi za kutumia mayai hasa wakati wa asubuhi kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...