Vyakula vya vitamin A
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamin A
VYAKULA VYA VITAMINI A
1. Maziwa
2. Maini
3. Karoti
4. Machungwa
5. Mchicha
6. Kabichi
7. Spinach
8. Kisamvu
9. Matango
10. Mboga za majani
Kazi za vitamini A
1. Husaidia katika kuimarisha afya katika mfumo wa upumuaji
2. Husaidia kulinda afya ya amcho
3. Pia huboresha mfumo w fahamu
4. Tatizo la kutoona vyema na upofu huweza kusababishwa na upungufu wa vitamini A mwilini
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Kitau cha Fiqh 👉2 Dua za Mitume na Manabii 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 Madrasa kiganjani 👉6 kitabu cha Simulizi
Post zinazofanana:
Faida za kula apple (tufaha)
Posti hii itakwende kukueleza kuhusu faida za kula apple na umuhimu wake kiafya
Soma Zaidi...Nini maana ya protini
Unaijuwa maana ya virutubisho vya protini, na kazi zake mwilini. Soma zaidi hapa
Soma Zaidi...VYANZO VYA VYAKULA VYA FATI, PROTINO NA WANGA NA FAIDA ZAKE
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Vyakula muhimu kwa kulinda afya ya macho - Epuka upofu kwa kula vyakula hivi
Matatizo ya macho yanaweza kuruthiwa kutoka kwa wazazi kwenda kwa mtoto. hata hivyo shughuli zetu na vyakula tunavyokula vinaweza kuchangia kwa kiasi kikubwa matatizo haya. Hapa nitakuletea vyakula muhimu kwa afya ya macho yako.
Soma Zaidi...Faida za kula pilipili
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula pilipili
Soma Zaidi...