Vyakula vya vitamin A
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamin A
VYAKULA VYA VITAMINI A
1. Maziwa
2. Maini
3. Karoti
4. Machungwa
5. Mchicha
6. Kabichi
7. Spinach
8. Kisamvu
9. Matango
10. Mboga za majani
Kazi za vitamini A
1. Husaidia katika kuimarisha afya katika mfumo wa upumuaji
2. Husaidia kulinda afya ya amcho
3. Pia huboresha mfumo w fahamu
4. Tatizo la kutoona vyema na upofu huweza kusababishwa na upungufu wa vitamini A mwilini
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 kitabu cha Simulizi 👉2 Kitabu cha Afya 👉3 web hosting 👉4 Madrasa kiganjani 👉5 ai web app 👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
Je! vitu vichachu kama,machungwa twarusiwa kula wagonjwa wa vidonda vya tumbo?
Nashukuru kwa ushauri, Je!
Soma Zaidi...Vyakula na ugonjwa wa kisukari
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya vyakula vimpasavyo mgonjwa wa kisukari
Soma Zaidi...Vyakula vya protini na kazi zake
Hapa utajifunza kuhusu kazi za protini mwilini na vyakula vipi vina protini kwa wingi
Soma Zaidi...Yafahamu magonjwa nyemelezi kwa watoto chini ya miaka mitano
Posti hii inahusu zaidi magonjwa nyemelezi kwa watoto wadogo chini ya miaka mitano,. Ni magonjwa yanayowapata watoto wadogo kwa sababu kinga Yao bado ni ndogo.
Soma Zaidi...FAIDA ZA KIAFYA ZA KULA BAMIA (OKRA)
Makala hii inakwenda kukuonyesha faida za kula bamia kwa afya afya
Soma Zaidi...