Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamin A
VYAKULA VYA VITAMINI A
1. Maziwa
2. Maini
3. Karoti
4. Machungwa
5. Mchicha
6. Kabichi
7. Spinach
8. Kisamvu
9. Matango
10. Mboga za majani
Kazi za vitamini A
1. Husaidia katika kuimarisha afya katika mfumo wa upumuaji
2. Husaidia kulinda afya ya amcho
3. Pia huboresha mfumo w fahamu
4. Tatizo la kutoona vyema na upofu huweza kusababishwa na upungufu wa vitamini A mwilini
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya hapa chini kuipakua sasa!
Umeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula karanga
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula fyulisi/ peach
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ndimu au limao
Soma Zaidi...Katika makala hii nitakwenda kukupa somo linalohusu vitamini E, kazi zake, chanzo chake na madhara ya upungufu wake
Soma Zaidi...Somo hili linalenga kukujuza juu ya umuhimu wa tikiti kwenye afya ya mwili
Soma Zaidi...