Faida za kula parachichi

Faida za kula parachichi

Somo hili litakwenda kukueleza na kukuelimisha kuhusu umuhimu wa kula parachichi kiafya

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Faida za kula parachichi

1. parachichi Lina virutubisho Kama vile wanga, vitamini C, E, K na B pia Lina madini ya magnesium na potassium

2. Husaidia kuimarisha afya ya moyo

3. Huzuia kupata ugonjwa wa mifupa kuwa dhaifu

4. Huzuia ama kupunguza kupata ugonjwa wa saratani

5. Huboresha afya ya watoto wadogo na ukuaji wao

6. Hupunguza misongo ya mawazo

7. Hupunguza tatizo la kutopata choo kikubwa

8. Husaidia kuondoa sumu za vyakula na kemikali mwilini

9. Husaidia kupunguza maambukizi ya baadhi ya bakteria fangasi na virusi

10. Husaidia kutokupata maradhi ya kisukari

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 2291

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Mabadiliko ya matiti yanayopaswa kutolewa taarifa mara moja
Mabadiliko ya matiti yanayopaswa kutolewa taarifa mara moja

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko ya matiti yanayopaswa kutolewa taarifa mapema, kwa sababu ya kuwepo kwa saratani ya matiti, kuna dalili ambazo zikijitokeza zinapaswa kutolewa taarifa mara moja bila kuchelewa kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula fyulisi/ peach
Faida za kiafya za kula fyulisi/ peach

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula fyulisi/peach

Soma Zaidi...
Upungufu wa vitamin C mwilini
Upungufu wa vitamin C mwilini

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu upungufu wa vitamini C mwilini

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula ukwaju
Faida za kiafya za kula ukwaju

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ukwaju

Soma Zaidi...
Faida za kula passion
Faida za kula passion

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula passion

Soma Zaidi...
VYAKULA VYA VITAMINI
VYAKULA VYA VITAMINI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Vyakula na ugonjwa wa kisukari
Vyakula na ugonjwa wa kisukari

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya vyakula vimpasavyo mgonjwa wa kisukari

Soma Zaidi...