Somo hili litakwenda kukueleza na kukuelimisha kuhusu umuhimu wa kula parachichi kiafya
Faida za kula parachichi
1. parachichi Lina virutubisho Kama vile wanga, vitamini C, E, K na B pia Lina madini ya magnesium na potassium
2. Husaidia kuimarisha afya ya moyo
3. Huzuia kupata ugonjwa wa mifupa kuwa dhaifu
4. Huzuia ama kupunguza kupata ugonjwa wa saratani
5. Huboresha afya ya watoto wadogo na ukuaji wao
6. Hupunguza misongo ya mawazo
7. Hupunguza tatizo la kutopata choo kikubwa
8. Husaidia kuondoa sumu za vyakula na kemikali mwilini
9. Husaidia kupunguza maambukizi ya baadhi ya bakteria fangasi na virusi
10. Husaidia kutokupata maradhi ya kisukari
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za biringanya/ eggplant
Soma Zaidi...Kamala hii inakwenda kufundisha vyakuna na vinjwaji salama anavyopaswa kutumia mgonjwa wa vidonda vya tumbo. Pia utajifunza vyakula na vinywaji hatari kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo.
Soma Zaidi...Hpa utafahamu faida za maji mwilini pamoja na athari za upungufu wa maji mwilini na dalili zake
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ndimu au limao
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza Mifumo ya mwili inayotoa sumu. Ushahidi wa kitaaluma kuhusu nafasi ya matunda na mboga kwenye detox. Aina za matunda na mboga zenye ufanisi. Kanuni za matumizi salama.
Soma Zaidi...