image

Faida za kula parachichi

Somo hili litakwenda kukueleza na kukuelimisha kuhusu umuhimu wa kula parachichi kiafya

Faida za kula parachichi

1. parachichi Lina virutubisho Kama vile wanga, vitamini C, E, K na B pia Lina madini ya magnesium na potassium

2. Husaidia kuimarisha afya ya moyo

3. Huzuia kupata ugonjwa wa mifupa kuwa dhaifu

4. Huzuia ama kupunguza kupata ugonjwa wa saratani

5. Huboresha afya ya watoto wadogo na ukuaji wao

6. Hupunguza misongo ya mawazo

7. Hupunguza tatizo la kutopata choo kikubwa

8. Husaidia kuondoa sumu za vyakula na kemikali mwilini

9. Husaidia kupunguza maambukizi ya baadhi ya bakteria fangasi na virusi

10. Husaidia kutokupata maradhi ya kisukari





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1763


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Faida za kiafya za peaz/ peas
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula peazi Soma Zaidi...

Faida za kungumanga/nutmeg
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kungumanga Soma Zaidi...

Nini maana ya protini
Unaijuwa maana ya virutubisho vya protini, na kazi zake mwilini. Soma zaidi hapa Soma Zaidi...

VYAKULA VYA MADINI
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula Spinachi
Soma Zaidi...

Namna ya kuandaa mdalasini kwa ajili ya tiba.
Posti hii inahusu namna au njia za kuandaa mdalasini kwa ajili ya tiba ya homoni imbalance kwa wanawake. Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula spinach
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula spinach Soma Zaidi...

Habari ndugu naomba kuuliza eti mtu akipaliwa na asali anakufa?
Post hii inakwenda kukujulisha hatari za kupaliwa na asali ama kitu kingine kama muulizaji alivyouliza. Soma Zaidi...

Fahamu vitamini K na kazi zake, vyakula vya vitamini k na athari za upungufu wake
kuhusu vitamini K, wapi tutavipata, ni zipi athari zake na ni zipi kazi zake mwilini. Soma Zaidi...

Kazi kuu tatu za Vitamini C mwilini
Vitamini C tunaweza kuvipata kwenye matuinda kama machunwa vina kazi kuu tatu ambazo ni hizi hapa Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula pera
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula pera Soma Zaidi...

Vyakula vya vitamini A na kazi zake
Soma Zaidi...