Umuhimu wa kutumia maembe kiafya.

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia maembe kiafya, tunajua wazi kuwa maembe ni tunda ambalo lina umuhimu kwenye afya na uwa na vitamini C kwa hiyo tunapaswa kujua faida zake kama ifuatavyo.

Umuhimu wa kutumia maembe kiafya.

1. Maembe ubolesha metabolic.

Kwa kawaida tunajua aina zote za vyakula ufanya kazi mwilini kwa njia mbalimbali kwa hiyo embe usaidia ufanya kazi wa vyakula mwilini kufanya kazi yake kwa usahihi.

 

2. Pia maembe ubolesha afya ya macho.

Tunajua kuwa macho yanahitaji kiasi kikubwa cha vitamini C kwa hiyo kwa kupitia maembe tunaweza kupata vitamini ambavyo usaidia kwenye macho.

 

3.Maembe uzuia kuongezeka kwa saratani.

Kama tunavyojua kuwa saratani ni kuzalishwa kwa seli zisizokuwa za kawaida kwa hiyo embe usaidia kupunguza kiwango cha seli zisizokuwa za kawaida kupungua kuzalishwa.

 

4. Maembe ukabiliana na sukari hasa sukari ya sehemu ya pili.kwa kawaida sukari aina ya pili utokea pale seli zinazalishwa lakini mwili hauko tayari kupokea seli hizo ila kwa matumizi ya embe tatizo linaweza kupungua kwa kiwango maalumu.

 

5. Embe uongeza alkaline mwilini.

Tunajua wazi kuwa kiasi cha alkaline kikiongezeka usababisha kupungua kwa asidi mwilini ambayo uleta madhara kwenye mwili wa binadamu.

 

6. Pia embe utumika kama vipodozi kwa baadhi ya watu. Kuna watu ambao utengeneza vipodozi mbalimbali kwa kutumia embe na wakapata fedha.

 

7. Pia embe usaidia kwenye watu wenye matatizo ya moyo. Hii ni kwa sababu ya kuwepo kwa kiwango kikubwa cha potassium ambacho ukabiliana na sodium ambayo ikiwa nyingi kwenye moyo inaweza kuleta madhara.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 2760

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 web hosting    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

FAIDA ZA KIAFYA ZA KULA BAMIA (OKRA)

Makala hii inakwenda kukuonyesha faida za kula bamia kwa afya afya

Soma Zaidi...
Vyakula anavyopaswa kutumia mwenye matatizo ya uti wa mgongo

Posti hii inahusu zaidi vyakula anavyopaswa kutumia mwenye matatizo ya uti wa mgongo, ni vyakula ambavyo upunguza makali kwenye uti wa Mgongo.

Soma Zaidi...
Maji pia yanawezakuwa dawa kwa akili

Umeshawahi kuumwa na dawa yako ikawa maji? Huwenda bado basi hapa nitakujuza kidogo tu, juu ya jambo hili.

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula tunda pera

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tunda pera

Soma Zaidi...
Athari za kula vitamin C kupitiliza

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu athari za kula vitamini C kupitiliza

Soma Zaidi...
Naombakujua kujua Kama huu uyoga unasaidia kansa Kama kwawazee

Mpaka sasa hakuna dawa ya kuponyesha saratani wala kinga ya saratani. Hata hivyo vipo vyakula ambavyo vinakadiriwa kuwa hupunguza hatari ya kuweza kupata saratani. Je unadhani uyoga ni moja ya vyakula hivyo?

Soma Zaidi...
Vyakula vya protini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya protini

Soma Zaidi...