Umuhimu wa kutumia maembe kiafya.

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia maembe kiafya, tunajua wazi kuwa maembe ni tunda ambalo lina umuhimu kwenye afya na uwa na vitamini C kwa hiyo tunapaswa kujua faida zake kama ifuatavyo.

Umuhimu wa kutumia maembe kiafya.

1. Maembe ubolesha metabolic.

Kwa kawaida tunajua aina zote za vyakula ufanya kazi mwilini kwa njia mbalimbali kwa hiyo embe usaidia ufanya kazi wa vyakula mwilini kufanya kazi yake kwa usahihi.

 

2. Pia maembe ubolesha afya ya macho.

Tunajua kuwa macho yanahitaji kiasi kikubwa cha vitamini C kwa hiyo kwa kupitia maembe tunaweza kupata vitamini ambavyo usaidia kwenye macho.

 

3.Maembe uzuia kuongezeka kwa saratani.

Kama tunavyojua kuwa saratani ni kuzalishwa kwa seli zisizokuwa za kawaida kwa hiyo embe usaidia kupunguza kiwango cha seli zisizokuwa za kawaida kupungua kuzalishwa.

 

4. Maembe ukabiliana na sukari hasa sukari ya sehemu ya pili.kwa kawaida sukari aina ya pili utokea pale seli zinazalishwa lakini mwili hauko tayari kupokea seli hizo ila kwa matumizi ya embe tatizo linaweza kupungua kwa kiwango maalumu.

 

5. Embe uongeza alkaline mwilini.

Tunajua wazi kuwa kiasi cha alkaline kikiongezeka usababisha kupungua kwa asidi mwilini ambayo uleta madhara kwenye mwili wa binadamu.

 

6. Pia embe utumika kama vipodozi kwa baadhi ya watu. Kuna watu ambao utengeneza vipodozi mbalimbali kwa kutumia embe na wakapata fedha.

 

7. Pia embe usaidia kwenye watu wenye matatizo ya moyo. Hii ni kwa sababu ya kuwepo kwa kiwango kikubwa cha potassium ambacho ukabiliana na sodium ambayo ikiwa nyingi kwenye moyo inaweza kuleta madhara.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 2438

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Faida za kiafya za kula kitunguu thaumu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kitunguu thaumu

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za parachichi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula parachichi

Soma Zaidi...
Faida za kafya za kula asali

Post hii itakwenda kukufundisha faida za kiafya za kula asali

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za nyanya

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyanya

Soma Zaidi...
Karanga (groundnuts)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula karanga

Soma Zaidi...
VYANZO VYA VYAKULA VYA VITAMINI NA FAIDA ZAKE

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Je ni kweli vitunguu saumu vinashusha presure

Kitunguu saumu ni tiba mbadala ya presha yabkushuja. Hakitatui tatizo yaani hakiponyeshi, ila husaidia katika kushusha presha iliyo panda.

Soma Zaidi...
Faida za ukwaju (tamarind)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za ukwaju

Soma Zaidi...