Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula bamia
. Faida za kiafya za kula bamia
1. Bamia lina virutubisho kama vitamini C, vitamini K, vitamini A na vitamini B. pia bamia lina protini, fati na madini ya magnesium.
2. Bamia lina antioxidant ambazo hulinda mwili dhidi ya maradhi
3. Hupunguza hatari ya kupata maradhi ya moyo
4. Hulinda mwili dhidi ya maradhi ya saratani
5. Hushusha kiwango cha sukari kwenye damu
6. Husaidia kwa wanawake wenye ujauzito na ukuaji wa mtoto
?
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Tezi za lymph huanza kuonyesha dalili za kuwa mwili upo katika mapambano dhidi ya vijidudu vya maradhi. Ishara ni pale utakapoona tezi za lymph zina maumivu. Tezi hizi hupatikana kwenye mapaja, kwapa nashingo.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha utaratibu wa lishe kwa wagonjwa wenye kisukari pamoja na vyakula salamakwao.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamin B
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula papai
Soma Zaidi...Homa ya dengue hupatikana sana Afrika, Asia na baadhi ya maeneo ya Caribbean.
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukuletea kazi za vitamini B, pia tutajwenda kuona makundi ya vitamini B na kazi za kila kundi. Pia makala hii inakwenda kukufundisha vyanzo na vyakula vya vitamini B. Utajifunza pia kazi kuu za vitamini B kw
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za stafel/soursop
Soma Zaidi...