Je! vitu vichachu kama,machungwa twarusiwa kula wagonjwa wa vidonda vya tumbo?

Nashukuru kwa ushauri, Je!

Je! vitu vichachu kama,machungwa twarusiwa kula wagonjwa wa vidonda vya tumbo?

Nashukuru kwa ushauri, Je! vitu vichachu kama,machungwa twarusiwa kula wagonjwa wa vidonda vya tumbo?



Namba ya swali 002

Ni vyema kupata ushauri wa daktari kwanza. maana kama sababu ya vidonda vyako ni Asidi (tindikali) vitu hivi sio vizuri kwani vinaongeza asidi (tindikali) na kusababisha hali kuwa mbaya zaidi. Hivyo si vyema kutumia kwa wingi vitu vya uchachu kwa vidonda vya tumbo visababishwavyo na asidi (tindikali)



Namba ya swali 002

Ahasante



Namba ya swali 002

Karibu tena ukiwa na swali ama maoni



Namba ya swali 002

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 991

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Habari ndugu naomba kuuliza eti mtu akipaliwa na asali anakufa?

Post hii inakwenda kukujulisha hatari za kupaliwa na asali ama kitu kingine kama muulizaji alivyouliza.

Soma Zaidi...
Ukosefu wa madini ya Shaba mwilini

Posti hii inahusu zaidi Ukosefu wa madini ya Shaba mwilini, ni Ukosefu wa madini ya Shaba mwilini ambao usababisha madhara kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Faida za kula ukwaju

Uchachu wa ukwaju, ndio ubora wake, kuna virutubisho vingi kwa kula ukwaju, soma makala hii

Soma Zaidi...
Vyakula hatari kwa mjamzito hasa mimba changa

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya hatari kwa mjamzito hasa mimba changa

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula mihogo

Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mihogo

Soma Zaidi...
VYAKULA VYA FATI, PROTINO NA WANGA

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...