Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kula uyoga
Faida za kiafya za kula uyoga
1. uyoga una virutubisho kama protini, wanga, sukari, fati, madini ya chuma, caicium pia uyoga una maji kwa kiasi kikubwa, pia uyoga una vitamini D
2. Uyoga hupunguza athari ya kupata saratani
3. Hushusha cholesterol
4. Huzuia kupata kisukari
5. Huimarisha afya ya mifupa
6. Husaidi katika ufyonzwaji wa madini ya calcium na chuma kutoka kwenye vyakula
7. Huimarisha mfumo wa kinga
8. Hushusha kiwango cha sukari kwenye damu
?
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Umeshawahi kuumwa na dawa yako ikawa maji? Huwenda bado basi hapa nitakujuza kidogo tu, juu ya jambo hili.
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha aina za vyakula ambavyo vinaweza kuongeza damu kwa haraka.
Soma Zaidi...unayopaswa kuyajuwa kuhusu protini na vyakula vya protini, faida zake na hasara zake. Madhara ya kiafya yanayohusiana na protini pamoja na kuyaepuka madhara hayo
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kisamvu
Soma Zaidi...Kula uyoga kwa faida kubwa, ja unazijuwa faida za kula uyoga kiafya
Soma Zaidi...Nashukuru kwa ushauri, Je!
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi mbatata
Soma Zaidi...Vitamini C ni moja kati ya vitamini muhimu sana katika kuboresha ufanyaji kazi wa mfumowa kinga mwilini yaani immune system. Katika post hii utakwenda kujifunza kazi za vitamini C mwilini
Soma Zaidi...