Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kula uyoga
Faida za kiafya za kula uyoga
1. uyoga una virutubisho kama protini, wanga, sukari, fati, madini ya chuma, caicium pia uyoga una maji kwa kiasi kikubwa, pia uyoga una vitamini D
2. Uyoga hupunguza athari ya kupata saratani
3. Hushusha cholesterol
4. Huzuia kupata kisukari
5. Huimarisha afya ya mifupa
6. Husaidi katika ufyonzwaji wa madini ya calcium na chuma kutoka kwenye vyakula
7. Huimarisha mfumo wa kinga
8. Hushusha kiwango cha sukari kwenye damu
?
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyama
Soma Zaidi...hapa Tutakwenda kuona Vyakula Vya vitamini B, kazi za Vitamini B na dalili za Upungufu wa Vitamini B mwilini
Soma Zaidi...Je! unatambuwa madhara ya vyakula vya protini na mafuta? ungana nasi kwenye somo hili
Soma Zaidi...Fida za matunda huanzia kwenye rangi zake, je unajuwa kama rangi ya matunda inaeleza jambo?
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula passion
Soma Zaidi...