Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kula uyoga
Faida za kiafya za kula uyoga
1. uyoga una virutubisho kama protini, wanga, sukari, fati, madini ya chuma, caicium pia uyoga una maji kwa kiasi kikubwa, pia uyoga una vitamini D
2. Uyoga hupunguza athari ya kupata saratani
3. Hushusha cholesterol
4. Huzuia kupata kisukari
5. Huimarisha afya ya mifupa
6. Husaidi katika ufyonzwaji wa madini ya calcium na chuma kutoka kwenye vyakula
7. Huimarisha mfumo wa kinga
8. Hushusha kiwango cha sukari kwenye damu
?
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tikiti
Soma Zaidi...Hpa utafahamu faida za maji mwilini pamoja na athari za upungufu wa maji mwilini na dalili zake
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamin B
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula asali
Soma Zaidi...Vitamini C ni moja kati ya vitamini muhimu sana katika kuboresha ufanyaji kazi wa mfumowa kinga mwilini yaani immune system. Katika post hii utakwenda kujifunza kazi za vitamini C mwilini
Soma Zaidi...Palachichi lina virutubisho vingi na vitamini, kula palachichi uiokoe afya yako
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Aina kuu tatu za vyakula na kazi zake, hii ni Aina tatu za vyakula na kazi zake jinsi zinavyofanya kazi, hufanya kazi kama ifuatavyo,
Soma Zaidi...Matatizo ya macho yanaweza kuruthiwa kutoka kwa wazazi kwenda kwa mtoto. hata hivyo shughuli zetu na vyakula tunavyokula vinaweza kuchangia kwa kiasi kikubwa matatizo haya. Hapa nitakuletea vyakula muhimu kwa afya ya macho yako.
Soma Zaidi...