Mlo kamili ni mkusanyiko kuu wa vyakula mbalimba kwa pamoja huimarisha na kuujenga  mwili wa binadamu na wanyama kwa sababu vinaleta virutubishi vyote vinavyohitajika.  Mkusanyiko wa vyakula vinavyotengeneza mlo kamili Kuna majina ya vyakula
Protini
Protini ni kundi dogo la chakula linalofanya kazi ya kuujenga mwili. Protini hufanya kazi ya kuponesha vidonda na majerah ambayo mtu ameyapata katika mwili wake.mfani nyama,samaki,maharage,mayai,senene nk
Mafuta
Mafuta ni kundi dogo la chakula linalofanya kazi ya kuipa miili yetu joto. Vyakula hivi ni muhimu kwa watu wanaokaa maeneo au sehemu yenye baridi .
Mfano wa vyakula vinavyoipa miili yetu joto ni: mafuta,karanga,na alizeti
Wanga
Wanga ni kundi dogo la chakula linalofanya kazi ya kuiipa miili yetu nguvu. Vyakula vya wanga ni muhimu kwa sababu huipa miili yetu nguvu ambayo tunaitumia katika kufanya kazi mbalimbali; mfano wa kazi hizo ni: kutengeneza vitu mbalimbali n.k. mfano ugali,kande,mihogo,viazi n.k
Vyakula hivi ni muhimu kwa watu wanaofanya kazi nzito kwani huhitaji nguvu nyingi kwa ajili ya kazi nzito.
Vitamini
Vitamini ni kundi dogo la vyakula linalofanya kazi ya kuilinda miili yetu dhidi ya magonjwa mbalimbali.vyakula vya vitamin ni Kama vile Nanasi,chungwa,karoti,papai,n.k
Kuna vitamin A, B, C, D, E, B/1, B/2 n.k.
Vyakula vyenye vitamini A huzuia ugonjwa wa upungufu wa damu mwilini (anemia) ambao ni ukosefu wa vitamini hivyo
vyakula vyenye vitamini B huzuia ugonjwa wa beriberi
vyakula vyenye vitamini C huzuia ugonjwa wa kiseyeye,
vyakula vyenye vitamini D huzuia ugonjwa wa matege
vyakula vyenye vitamini E huzuia ugojwa wa via vya Uzazi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya vyakula hatari na salama kwa vidonda vya tumbo
Soma Zaidi...kuhusu vitamini K, wapi tutavipata, ni zipi athari zake na ni zipi kazi zake mwilini.
Soma Zaidi...Katika makala hii nitakwenda kukupa somo linalohusu vitamini E, kazi zake, chanzo chake na madhara ya upungufu wake
Soma Zaidi...Somo hili litakwenda kukueleza na kukuelimisha kuhusu umuhimu wa kula parachichi kiafya
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa maziwa
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi vitamin
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu upungufu wa protini na dalili zake
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza aina 20 za vitamini. Utajifunza kazu zake mwilini, vyanzo vyake na madhara yanayoweza kutokea kutokana na upungufu wake.
Soma Zaidi...