Mlo kamili ni mkusanyiko kuu wa vyakula mbalimba kwa pamoja huimarisha na kuujenga  mwili wa binadamu na wanyama kwa sababu vinaleta virutubishi vyote vinavyohitajika.  Mkusanyiko wa vyakula vinavyotengeneza mlo kamili Kuna majina ya vyakula
Protini
Protini ni kundi dogo la chakula linalofanya kazi ya kuujenga mwili. Protini hufanya kazi ya kuponesha vidonda na majerah ambayo mtu ameyapata katika mwili wake.mfani nyama,samaki,maharage,mayai,senene nk
Mafuta
Mafuta ni kundi dogo la chakula linalofanya kazi ya kuipa miili yetu joto. Vyakula hivi ni muhimu kwa watu wanaokaa maeneo au sehemu yenye baridi .
Mfano wa vyakula vinavyoipa miili yetu joto ni: mafuta,karanga,na alizeti
Wanga
Wanga ni kundi dogo la chakula linalofanya kazi ya kuiipa miili yetu nguvu. Vyakula vya wanga ni muhimu kwa sababu huipa miili yetu nguvu ambayo tunaitumia katika kufanya kazi mbalimbali; mfano wa kazi hizo ni: kutengeneza vitu mbalimbali n.k. mfano ugali,kande,mihogo,viazi n.k
Vyakula hivi ni muhimu kwa watu wanaofanya kazi nzito kwani huhitaji nguvu nyingi kwa ajili ya kazi nzito.
Vitamini
Vitamini ni kundi dogo la vyakula linalofanya kazi ya kuilinda miili yetu dhidi ya magonjwa mbalimbali.vyakula vya vitamin ni Kama vile Nanasi,chungwa,karoti,papai,n.k
Kuna vitamin A, B, C, D, E, B/1, B/2 n.k.
Vyakula vyenye vitamini A huzuia ugonjwa wa upungufu wa damu mwilini (anemia) ambao ni ukosefu wa vitamini hivyo
vyakula vyenye vitamini B huzuia ugonjwa wa beriberi
vyakula vyenye vitamini C huzuia ugonjwa wa kiseyeye,
vyakula vyenye vitamini D huzuia ugonjwa wa matege
vyakula vyenye vitamini E huzuia ugojwa wa via vya Uzazi.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download
Download NowJe! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 4054
Sponsored links
👉1
Kitau cha Fiqh
👉2
Simulizi za Hadithi Audio
👉3
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉4
Kitabu cha Afya
👉5
kitabu cha Simulizi
👉6
Madrasa kiganjani
Faida za ukwaju (tamarind)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za ukwaju Soma Zaidi...
FAIDA ZA MATUNDA NA MBOGA MBALIMBALI KWA AFYA
FAIDA ZA MATUNDA Makala hii inakwenda kukuletea faida za matunda mbalimbali na mboga upatikanaji wake na faida zake kiafya. Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula Komamanga
Soma Zaidi...
Faida za kula apple (tufaha)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula apple/tufaha Soma Zaidi...
Matunda yaliokuwa na vitamini C vingi
Hii ni orodha ya matunda yenye vitamini C kwa wingi sana ikiwemo machungwa, mapera na mapapai Soma Zaidi...
Vyakula vya fati na mafuta na kazi zake
Soma Zaidi...
Rangi za matunda
Fida za matunda huanzia kwenye rangi zake, je unajuwa kama rangi ya matunda inaeleza jambo? Soma Zaidi...
Hizi ndio kazi za madini mwilini mwako
Post huu inakwenda kukupa orodha ya madini muhimu kwa ajili ya afya yako. Soma Zaidi...
Matunda yenye Vitamin C kwa wingi
Vitamin C ni katika vitamin vinavyosaidia sana mfumo wa Kinga kulinda mwili dhidi ya vimelea vya maradhi. Hapa nitakuletea orodha ya matunda ambayo yana vitamini C kwa wingi. Soma Zaidi...
Faida za kula passion
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula passion Soma Zaidi...