picha

Faida za kitunguu maji/ onion

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu umuhimu wa kitunguu maji mwilini

Umuhimu wa kitunguu maji

1. Kitunguu kina virutubisho Kama vitamin C, B6 na B9, pia madini ya potassium

2. Hulinda afya ya moyo

3. Hushusha presha ya damu

4. Hulinda mwili dhidi ya maradhi hatari ya kisukari, saratani na ugonjwa wa moyo

5. Hudhibiti kiwango cha sukari kwenye damu, na hii Ni nzuri kwa watu wenye type 2 diabetes

6. Huboresha afya ya mifupa na kuifanya iwe imara na madhubuti

7. Huimarisha ulinzi wa mwili dhidi ya mashambulizi ya bakteria

8. HubireHub na kuimarisha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 2001

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 web hosting    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Faida za kula Chungwa

Je unazijuwa faida za kula chungwa kiafya? soma makala hii hadi mwisho

Soma Zaidi...
Kazi kuu tatu za vitamini C mwilini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu kazi kuu tatu za vitamini C

Soma Zaidi...
Vyakula vyenye maji kwa wingi

Somo Hili linakwenda kukuletea vyakula vyeny maji kwa wingi na umuhimu wake mwilini

Soma Zaidi...
je ni vipi vyakula vyenye protini kwa wingi?

Makala hii iatakuletea aina kuu tano za vywkula vyenye protini nyingi zaidi. Kama ulikuwa unajiuliza kuwa ni vyakula ipi hasa vinaweza kukupatia protini kwa wingi ni vipi, makala hii ndio majibu yako kwa swali hilo.

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za mchaichai/lemongrass

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za mchaichai/lemongrass

Soma Zaidi...
Matunda yenye Vitamin C kwa wingi

Vitamin C ni katika vitamin vinavyosaidia sana mfumo wa Kinga kulinda mwili dhidi ya vimelea vya maradhi. Hapa nitakuletea orodha ya matunda ambayo yana vitamini C kwa wingi.

Soma Zaidi...
Faida za kula kunde, maharage, njegere, mbaazi na njugu mawe

Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula kunde, maharage, njegere, mbaazi na njugu mawe

Soma Zaidi...