Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu umuhimu wa kitunguu maji mwilini
Umuhimu wa kitunguu maji
1. Kitunguu kina virutubisho Kama vitamin C, B6 na B9, pia madini ya potassium
2. Hulinda afya ya moyo
3. Hushusha presha ya damu
4. Hulinda mwili dhidi ya maradhi hatari ya kisukari, saratani na ugonjwa wa moyo
5. Hudhibiti kiwango cha sukari kwenye damu, na hii Ni nzuri kwa watu wenye type 2 diabetes
6. Huboresha afya ya mifupa na kuifanya iwe imara na madhubuti
7. Huimarisha ulinzi wa mwili dhidi ya mashambulizi ya bakteria
8. HubireHub na kuimarisha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowSomo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi mbatata
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ukwaju
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha kwa ufupi vyakula vya kuviepuka kama una presha ya kupanda.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula passion
Soma Zaidi...Vitamini C ni moja kati ya vitamini muhimu sana katika kuboresha ufanyaji kazi wa mfumowa kinga mwilini yaani immune system. Katika post hii utakwenda kujifunza kazi za vitamini C mwilini
Soma Zaidi...Uchachu wa ukwaju, ndio ubora wake, kuna virutubisho vingi kwa kula ukwaju, soma makala hii
Soma Zaidi...