Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu umuhimu wa kitunguu maji mwilini
Umuhimu wa kitunguu maji
1. Kitunguu kina virutubisho Kama vitamin C, B6 na B9, pia madini ya potassium
2. Hulinda afya ya moyo
3. Hushusha presha ya damu
4. Hulinda mwili dhidi ya maradhi hatari ya kisukari, saratani na ugonjwa wa moyo
5. Hudhibiti kiwango cha sukari kwenye damu, na hii Ni nzuri kwa watu wenye type 2 diabetes
6. Huboresha afya ya mifupa na kuifanya iwe imara na madhubuti
7. Huimarisha ulinzi wa mwili dhidi ya mashambulizi ya bakteria
8. HubireHub na kuimarisha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Je unazijuwa faida za kula chungwa kiafya? soma makala hii hadi mwisho
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu kazi kuu tatu za vitamini C
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukuletea vyakula vyeny maji kwa wingi na umuhimu wake mwilini
Soma Zaidi...Makala hii iatakuletea aina kuu tano za vywkula vyenye protini nyingi zaidi. Kama ulikuwa unajiuliza kuwa ni vyakula ipi hasa vinaweza kukupatia protini kwa wingi ni vipi, makala hii ndio majibu yako kwa swali hilo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za mchaichai/lemongrass
Soma Zaidi...Vitamin C ni katika vitamin vinavyosaidia sana mfumo wa Kinga kulinda mwili dhidi ya vimelea vya maradhi. Hapa nitakuletea orodha ya matunda ambayo yana vitamini C kwa wingi.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula kunde, maharage, njegere, mbaazi na njugu mawe
Soma Zaidi...