Vyakula vya fati

Vyakula vya fati

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu aina za vyakula vya fati na umuhimu wake mwilini

Download Post hii hapa

VYAKULA VYA FATI

1. Karanga

2. Nazi

3. Maziwa

4. Mayai

5. Korosho

6. Palachichi

7. Nyama

8. Samaki

9. Nafaka

 

Kazi za fati mwilini

1. Kazi kuu ya fati mwilini ni kutupatia joto.

2. Fati pia ni chanzo cha nishati mwilini

3. Utando wa seli umetangenezwa na chembechembe za fati

4. Ubongo umetengenezwa na fati kwa asilimia 60

5. Fati husaidia katika ubebwaji wa vitamini ndani ya mwili

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 1554

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Fahamu vitamini K na kazi zake, vyakula vya vitamini k na athari za upungufu wake
Fahamu vitamini K na kazi zake, vyakula vya vitamini k na athari za upungufu wake

kuhusu vitamini K, wapi tutavipata, ni zipi athari zake na ni zipi kazi zake mwilini.

Soma Zaidi...
Faida za kula karanga mbichi
Faida za kula karanga mbichi

Post hii inakwenda kukupa faida kuu 5 za kula karanga mbichi katika afya ya mwili wako.

Soma Zaidi...
Faida za kula tango
Faida za kula tango

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tango

Soma Zaidi...
FAIDA ZA MATUNDA NA MBOGA MBALIMBALI KWA AFYA
FAIDA ZA MATUNDA NA MBOGA MBALIMBALI KWA AFYA

FAIDA ZA MATUNDA Makala hii inakwenda kukuletea faida za matunda mbalimbali na mboga upatikanaji wake na faida zake kiafya.

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula kungumanga/nutmeg
Faida za kiafya za kula kungumanga/nutmeg

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kungumanga/nutmeg

Soma Zaidi...
Vyakula vya vitamin B
Vyakula vya vitamin B

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya vitamin B

Soma Zaidi...
Faida za limao au ndimu
Faida za limao au ndimu

Post hii itakwenda kukueleza umuhimu wa limao kiafya

Soma Zaidi...