Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu aina za vyakula vya fati na umuhimu wake mwilini
VYAKULA VYA FATI
1. Karanga
2. Nazi
3. Maziwa
4. Mayai
5. Korosho
6. Palachichi
7. Nyama
8. Samaki
9. Nafaka
Kazi za fati mwilini
1. Kazi kuu ya fati mwilini ni kutupatia joto.
2. Fati pia ni chanzo cha nishati mwilini
3. Utando wa seli umetangenezwa na chembechembe za fati
4. Ubongo umetengenezwa na fati kwa asilimia 60
5. Fati husaidia katika ubebwaji wa vitamini ndani ya mwili
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Kama tulivyosema hapo juu kuwa afya ni kuwa mzima kimwili na kiakili.
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukuletea kazi za vitamini B, pia tutajwenda kuona makundi ya vitamini B na kazi za kila kundi. Pia makala hii inakwenda kukufundisha vyanzo na vyakula vya vitamini B. Utajifunza pia kazi kuu za vitamini B kw
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maboga
Soma Zaidi...Palachichi lina virutubisho vingi na vitamini, kula palachichi uiokoe afya yako
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu upungufu wa protini na dalili zake
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyama
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukupa elimu juu ya vyakula na vinywaji vilivyo salama kwa mtu mwenye kisukari, na ni vyakula vipi ni hatari kwa mwenye kisukari. Pia utajifunza njia za kujilinda na kupata kisukari.
Soma Zaidi...