Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu aina za vyakula vya fati na umuhimu wake mwilini
VYAKULA VYA FATI
1. Karanga
2. Nazi
3. Maziwa
4. Mayai
5. Korosho
6. Palachichi
7. Nyama
8. Samaki
9. Nafaka
Kazi za fati mwilini
1. Kazi kuu ya fati mwilini ni kutupatia joto.
2. Fati pia ni chanzo cha nishati mwilini
3. Utando wa seli umetangenezwa na chembechembe za fati
4. Ubongo umetengenezwa na fati kwa asilimia 60
5. Fati husaidia katika ubebwaji wa vitamini ndani ya mwili
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin E
Soma Zaidi...Zijuwe sababu kuu za kuwepo kwa maumivu ya tumbo baada ya kula chakula
Soma Zaidi...Posti hii inahusu faida za kunywa maji kabla hujula kitu chochote,tunajua kabisa kabla ujala au kunywa chochote sumu nyingi mwilini zinakuwa hazijachanganyikana na chochote kwa hiyo tunapaswa kujua kuwa kuna faida kubwa nyingi za kunywa maji kama ifuatavy
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha madhara ya kuwa na mafuta mengi mwilimi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za mchaichai/lemongrass
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kitunguu thaumu
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha utaratibu wa lishe kwa wagonjwa wenye kisukari pamoja na vyakula salamakwao.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwa na fangasi ukeni, ni vitu ambavyo usababisha fangasi ukeni kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...