picha

Vyakula vya fati

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu aina za vyakula vya fati na umuhimu wake mwilini

VYAKULA VYA FATI

1. Karanga

2. Nazi

3. Maziwa

4. Mayai

5. Korosho

6. Palachichi

7. Nyama

8. Samaki

9. Nafaka

 

Kazi za fati mwilini

1. Kazi kuu ya fati mwilini ni kutupatia joto.

2. Fati pia ni chanzo cha nishati mwilini

3. Utando wa seli umetangenezwa na chembechembe za fati

4. Ubongo umetengenezwa na fati kwa asilimia 60

5. Fati husaidia katika ubebwaji wa vitamini ndani ya mwili

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 2019

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 web hosting     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 Madrasa kiganjani     👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    

Post zinazofanana:

Faida za kula ukwaju

Uchachu wa ukwaju, ndio ubora wake, kuna virutubisho vingi kwa kula ukwaju, soma makala hii

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula miwa

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula miwa

Soma Zaidi...
Habari ndugu naomba kuuliza eti mtu akipaliwa na asali anakufa?

Post hii inakwenda kukujulisha hatari za kupaliwa na asali ama kitu kingine kama muulizaji alivyouliza.

Soma Zaidi...
Vyakula vya madini kwa wingi, na kazi za madini mwilini

Utajifunza vyakula vyenye madini kwa wingi, kazi za madini mwilini na athari za upungufu wake

Soma Zaidi...