Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu aina za vyakula vya fati na umuhimu wake mwilini
VYAKULA VYA FATI
1. Karanga
2. Nazi
3. Maziwa
4. Mayai
5. Korosho
6. Palachichi
7. Nyama
8. Samaki
9. Nafaka
Kazi za fati mwilini
1. Kazi kuu ya fati mwilini ni kutupatia joto.
2. Fati pia ni chanzo cha nishati mwilini
3. Utando wa seli umetangenezwa na chembechembe za fati
4. Ubongo umetengenezwa na fati kwa asilimia 60
5. Fati husaidia katika ubebwaji wa vitamini ndani ya mwili
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula karanga
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za majani ya mstafeli,ni majani ambayo utibu magonjwa mbalimbali hasa saratani, kwa hiyo tunapaswa kuyatumia ili tuweze kupata matibabu ya kansa mbalimbali.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa maziwa
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula korosho
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula miwa
Soma Zaidi...Posti hii inahusu vyakula ambavyo vinasaidia kupunguza uzito, ni baadhi ya vyakula ambavyo unaweza kutumia ili kuweza kuweka kwenye hali ya kawaida.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula zaituni/ Olive
Soma Zaidi...Kitunguu saumu ni tiba mbadala ya presha yabkushuja. Hakitatui tatizo yaani hakiponyeshi, ila husaidia katika kushusha presha iliyo panda.
Soma Zaidi...