Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula samaki
Faida za samaki
1. Samaki wanna virutubisho Kama protini, fati, vitamini D na madini ya iodine
2. Hupunguza hatari ya kupata maradhi ya moyo Kama vile shinikizo la damu na stroke
3. Ni chakula kizuri kwa ukuaji mzuri wa mtoto
4. Ni chakula kizuri kwa afya ya ubongo na ukuaji wake
5. Hulinda mwili dhidi ya maradhi ya kisukari
6. Huzuia pumu kwa watoto
7. Hupunguza misongo ya mawazo
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maini
Soma Zaidi...Virutubisho vya protini vina kazi nyingi mwilini. Zifuatazo ndio kazi protini mwilini
Soma Zaidi...Je ulaji wa boga unafaa kwa mgonjwa wa kisukari?
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamin A
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Usiogope kuwashwa, kula pilipili ni nzuri kwa afya yako ia virutubisho vingi sana
Soma Zaidi...Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mihogo
Soma Zaidi...