Faida za kiafya za kula samaki

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula samaki

Faida za samaki

1. Samaki wanna virutubisho Kama protini, fati, vitamini D na madini ya iodine

2. Hupunguza hatari ya kupata maradhi ya moyo Kama vile shinikizo la damu na stroke

3. Ni chakula kizuri kwa ukuaji mzuri wa mtoto

4. Ni chakula kizuri kwa afya ya ubongo na ukuaji wake

5. Hulinda mwili dhidi ya maradhi ya kisukari

6. Huzuia pumu kwa watoto

7. Hupunguza misongo ya mawazo

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 1691

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Faida za kiafya za parachichi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula parachichi

Soma Zaidi...
VYANZO VYA VYAKULA VYA FATI, PROTINO NA WANGA NA FAIDA ZAKE

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Vyakula vya kuongeza nguvu za kiume

Zijuwe dawa za kuongeza nguvu za kiume, na vyakula salama vya kuongeza nguvu za kiume

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula nyama

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyama

Soma Zaidi...
Habari ndugu naomba kuuliza eti mtu akipaliwa na asali anakufa?

Post hii inakwenda kukujulisha hatari za kupaliwa na asali ama kitu kingine kama muulizaji alivyouliza.

Soma Zaidi...
Faida za kula fyulisi/peach

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula fyulisi/ peach

Soma Zaidi...
Tangawizi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za tangawizi

Soma Zaidi...