Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula samaki
Faida za samaki
1. Samaki wanna virutubisho Kama protini, fati, vitamini D na madini ya iodine
2. Hupunguza hatari ya kupata maradhi ya moyo Kama vile shinikizo la damu na stroke
3. Ni chakula kizuri kwa ukuaji mzuri wa mtoto
4. Ni chakula kizuri kwa afya ya ubongo na ukuaji wake
5. Hulinda mwili dhidi ya maradhi ya kisukari
6. Huzuia pumu kwa watoto
7. Hupunguza misongo ya mawazo
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download
Download NowJe! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 1657
Sponsored links
👉1
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉2
Kitau cha Fiqh
👉3
Simulizi za Hadithi Audio
👉4
Kitabu cha Afya
👉5
kitabu cha Simulizi
👉6
Madrasa kiganjani
Vyakula vya vitamin C
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamin C Soma Zaidi...
UPUNGUFU WA VITAMIN NA MAJI
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula Maini
Soma Zaidi...
Matunda yenye vitamini C kwa wingi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu matunda yenye vitamin C kwa wingi Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula zaituni
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula zaituni Soma Zaidi...
vitamini B na makundi yake
Makala hii inakwenda kukuletea kazi za vitamini B, pia tutajwenda kuona makundi ya vitamini B na kazi za kila kundi. Pia makala hii inakwenda kukufundisha vyanzo na vyakula vya vitamini B. Utajifunza pia kazi kuu za vitamini B kw Soma Zaidi...
Faida za kula pilipili
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula pilipili Soma Zaidi...
Ulaji wa protini unasaidia kupunguza unene
Soma Zaidi...
Faida za kula viazi mbatata
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi mbatata Soma Zaidi...