Posti hii inahusu zaidi hasara za kitunguu swaumu wakati wa ujauzito.
1. Kwa kawaida kila kitu chenye faida hakikosi kubwa na hasara ni vizuri kabisa kutumia vitunguu swai wakati wa ujauzito ila vitumike kwa uangalizi kwa sababu usababisha madhara makubwa kama tutakavyoona.
2. Kutokwa na damu nyingi iwapo kama pametokea upasuaji.
Kwa kawaida mama akiwa mjamzito kama kuna tatizo ambalo linaweza kutokea anaweza kupata upasuaji ila kwa sababu ya matumizi ya vitunguu saumu mama anaweza kutokwa damu nyingi wakati wa kujifungua.
2. Kupunguza sana shinikizo la damu.
Kwa kawaida tunafahamu kwamba vitunguu swaumu usaidia katika kupunguza shinikizo la damu kama liko juu ila kwa matumizi ya mara kwa mara usababisha shinikizo la damu kupungua zaidi.
3. Pia upunguza kuwepo kwa iodine mwilini kwa sababu ya kuwepo kwa thyloid gland.
4. Kupunguza kiwango cha sukari mwilini.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Posti hii inakwendavkukufundisha madhara unayoweza kuyapata unapokula chakula cgenye chumvi nyingi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kutumia tangawizi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kitunguu saumu
Soma Zaidi...Palachichi lina virutubisho vingi na vitamini, kula palachichi uiokoe afya yako
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukuletea kazi za vitamini B, pia tutajwenda kuona makundi ya vitamini B na kazi za kila kundi. Pia makala hii inakwenda kukufundisha vyanzo na vyakula vya vitamini B. Utajifunza pia kazi kuu za vitamini B kwa ujumla wake.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula fyulisi/ peach
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu lishe salama kwa mjamzito
Soma Zaidi...