Posti hii inahusu zaidi hasara za kitunguu swaumu wakati wa ujauzito.
1. Kwa kawaida kila kitu chenye faida hakikosi kubwa na hasara ni vizuri kabisa kutumia vitunguu swai wakati wa ujauzito ila vitumike kwa uangalizi kwa sababu usababisha madhara makubwa kama tutakavyoona.
2. Kutokwa na damu nyingi iwapo kama pametokea upasuaji.
Kwa kawaida mama akiwa mjamzito kama kuna tatizo ambalo linaweza kutokea anaweza kupata upasuaji ila kwa sababu ya matumizi ya vitunguu saumu mama anaweza kutokwa damu nyingi wakati wa kujifungua.
2. Kupunguza sana shinikizo la damu.
Kwa kawaida tunafahamu kwamba vitunguu swaumu usaidia katika kupunguza shinikizo la damu kama liko juu ila kwa matumizi ya mara kwa mara usababisha shinikizo la damu kupungua zaidi.
3. Pia upunguza kuwepo kwa iodine mwilini kwa sababu ya kuwepo kwa thyloid gland.
4. Kupunguza kiwango cha sukari mwilini.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa chai
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kabichi
Soma Zaidi...Vitamin C ni katika vitamin vinavyosaidia sana mfumo wa Kinga kulinda mwili dhidi ya vimelea vya maradhi. Hapa nitakuletea orodha ya matunda ambayo yana vitamini C kwa wingi.
Soma Zaidi...Kamala hii inakwenda kufundisha vyakuna na vinjwaji salama anavyopaswa kutumia mgonjwa wa vidonda vya tumbo. Pia utajifunza vyakula na vinywaji hatari kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo.
Soma Zaidi...Papai ni moja kati ya matunda yenye vitamini C na virutubisho vinginevyo. Lakini papai pia ni moja kati ya vyakula ambavyo mjamzito anatakiwa awe makini navyo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi mbatata
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi magonjwa nyemelezi kwa watoto wadogo chini ya miaka mitano,. Ni magonjwa yanayowapata watoto wadogo kwa sababu kinga Yao bado ni ndogo.
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kufundisha vyakuna na vinjwaji salama anavyopaswa kutumia mgonjwa wa vidonda vya tumbo. Pia utajifunza vyakula na vinywaji hatari kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ukwaju
Soma Zaidi...