Posti hii inahusu zaidi hasara za kitunguu swaumu wakati wa ujauzito.
1. Kwa kawaida kila kitu chenye faida hakikosi kubwa na hasara ni vizuri kabisa kutumia vitunguu swai wakati wa ujauzito ila vitumike kwa uangalizi kwa sababu usababisha madhara makubwa kama tutakavyoona.
2. Kutokwa na damu nyingi iwapo kama pametokea upasuaji.
Kwa kawaida mama akiwa mjamzito kama kuna tatizo ambalo linaweza kutokea anaweza kupata upasuaji ila kwa sababu ya matumizi ya vitunguu saumu mama anaweza kutokwa damu nyingi wakati wa kujifungua.
2. Kupunguza sana shinikizo la damu.
Kwa kawaida tunafahamu kwamba vitunguu swaumu usaidia katika kupunguza shinikizo la damu kama liko juu ila kwa matumizi ya mara kwa mara usababisha shinikizo la damu kupungua zaidi.
3. Pia upunguza kuwepo kwa iodine mwilini kwa sababu ya kuwepo kwa thyloid gland.
4. Kupunguza kiwango cha sukari mwilini.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya vyakula vimpasavyo mgonjwa wa kisukari
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula karanga
Soma Zaidi...zijuwe faida za kula njegere kiafya na umuhimu wa kula jegere pia jifunze njegere zina kazi gani mwilini?
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya vitamini na faida zake
Soma Zaidi...Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin K
Soma Zaidi...