Posti hii inahusu zaidi hasara za kitunguu swaumu wakati wa ujauzito.
1. Kwa kawaida kila kitu chenye faida hakikosi kubwa na hasara ni vizuri kabisa kutumia vitunguu swai wakati wa ujauzito ila vitumike kwa uangalizi kwa sababu usababisha madhara makubwa kama tutakavyoona.
2. Kutokwa na damu nyingi iwapo kama pametokea upasuaji.
Kwa kawaida mama akiwa mjamzito kama kuna tatizo ambalo linaweza kutokea anaweza kupata upasuaji ila kwa sababu ya matumizi ya vitunguu saumu mama anaweza kutokwa damu nyingi wakati wa kujifungua.
2. Kupunguza sana shinikizo la damu.
Kwa kawaida tunafahamu kwamba vitunguu swaumu usaidia katika kupunguza shinikizo la damu kama liko juu ila kwa matumizi ya mara kwa mara usababisha shinikizo la damu kupungua zaidi.
3. Pia upunguza kuwepo kwa iodine mwilini kwa sababu ya kuwepo kwa thyloid gland.
4. Kupunguza kiwango cha sukari mwilini.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Utajifunza vyakula vyenye madini kwa wingi, kazi za madini mwilini na athari za upungufu wake
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ukwaju
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyanya
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula passion
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula korosho
Soma Zaidi...Nazi ni katika matunda bora sana kiafya, Soma faida zake kwa afya yako
Soma Zaidi...