Post hii inakwenda kukujulisha hatari za kupaliwa na asali ama kitu kingine kama muulizaji alivyouliza.
👉 Swali:
Eti mtu akipaliwa na asali anakufa?
🦠Jibu
🦈Itategemea na imempalia kwa muda gani. Ndio anaweza kufa. Na hii sio kwa asali tu bali hata kwa maji au kitu kingine.
ðŸ”Endapo kuoaliwa huku kutamzuia kupumua vyema ama kushindwa kabisa kuoumua. Hali hii itapelekea ubongo kukosa hewa na hivyo kufariki.
ðŸ†endapo itazidi dakika 3 afya yake itakuwa hatarini endapo itafika dakika 5 huwenda akapoteza faham endapo itafika dakika 10 huwenda akawa katika coma au akawa na clinical death (kifo)
Haya yote yatatokea endapo kupaliwa kutakuwa kunamzuia kupumua na sio asali tu bali ni kupaliwa kwa aina yoyote
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi mbatata
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula korosho
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula bamia
Soma Zaidi...Somo hili litakwenda kukueleza kuhusu faida za kula zabibu na umuhimu wake kiafya
Soma Zaidi...Zitambue aina zote za vyakule na ufanye maamuzi yaliyo kuwa sahihi katika uandaaji wa chakula chako
Soma Zaidi...Katika makala hii tutakwenda kujufunza faida za kiafya zinazopatuikana kwa kunywa maji yamoti wakati wa asubuhi
Soma Zaidi...Vitamini C kwa wingi hupatikana kwenye machungwa, maembe, mananasi, limao na ndimu
Soma Zaidi...Unaijuwa maana ya virutubisho vya protini, na kazi zake mwilini. Soma zaidi hapa
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...