Post hii inakwenda kukujulisha hatari za kupaliwa na asali ama kitu kingine kama muulizaji alivyouliza.
👉 Swali:
Eti mtu akipaliwa na asali anakufa?
🦠Jibu
🦈Itategemea na imempalia kwa muda gani. Ndio anaweza kufa. Na hii sio kwa asali tu bali hata kwa maji au kitu kingine.
ðŸ”Endapo kuoaliwa huku kutamzuia kupumua vyema ama kushindwa kabisa kuoumua. Hali hii itapelekea ubongo kukosa hewa na hivyo kufariki.
ðŸ†endapo itazidi dakika 3 afya yake itakuwa hatarini endapo itafika dakika 5 huwenda akapoteza faham endapo itafika dakika 10 huwenda akawa katika coma au akawa na clinical death (kifo)
Haya yote yatatokea endapo kupaliwa kutakuwa kunamzuia kupumua na sio asali tu bali ni kupaliwa kwa aina yoyote
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Hpa utafahamu faida za maji mwilini pamoja na athari za upungufu wa maji mwilini na dalili zake
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya vitamini na faida zake
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mahindi
Soma Zaidi...Hii ni orodha ya vyakula salama na vizuri kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kabichi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo wanapaswa kutumia watu wenye matatizo ya macho,ni vyakula ambavyo uhimalisha mishipa na sehemu nyingine za jicho na kufanya jicho lisiwe na matatizo kwa sababu tunajua wazi kuwa vyakula ni dawa.
Soma Zaidi...