Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kungumanga
Faida za kungumanga
Hizi mbegu zake huliwa ama kukamuliwa mafuta
1. Zina virutubisho Kama vile mafuta, vitamini na fati
2. Huboresha upataji wa choo kwa urahisi
3. Husaidia katika kuondoa ama kupunguza maumivu
4. Huboresha afya ya ubongo na kukuza ufahamu
5. Huondoa sumu mwilini
6. Hulinda mwili dhidi ya maradhi hatari Kama leukemia
7. Huboresha mzunguko wa damu
8. Huboresha afya ya ngozi
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu matunda yenye vitamin C kwa wingi
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukueleza faida za kula maboga, na mbegu zake kwa afya yako
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maini
Soma Zaidi...Somo hili litakwenda kukueleza kuhusu faida za kula zabibu na umuhimu wake kiafya
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi madini ya Shaba mwilini,ni madini ambayo ufanya kazi mbalimbali mwilini, kama ifuatavyo
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mayai
Soma Zaidi...utajifunza njia za kuzuia kiungulia, dalili za kiungulia na dawa ya kutibu kiungulia.
Soma Zaidi...