Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kungumanga
Faida za kungumanga
Hizi mbegu zake huliwa ama kukamuliwa mafuta
1. Zina virutubisho Kama vile mafuta, vitamini na fati
2. Huboresha upataji wa choo kwa urahisi
3. Husaidia katika kuondoa ama kupunguza maumivu
4. Huboresha afya ya ubongo na kukuza ufahamu
5. Huondoa sumu mwilini
6. Hulinda mwili dhidi ya maradhi hatari Kama leukemia
7. Huboresha mzunguko wa damu
8. Huboresha afya ya ngozi
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tikiti
Soma Zaidi...Embe ni katika matunda atamu na yenye faida kubwa kiafya, soma makala hii hadi mwisho
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula bamia
Soma Zaidi...Zitambue aina zote za vyakule na ufanye maamuzi yaliyo kuwa sahihi katika uandaaji wa chakula chako
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu athari za kula vitamini C kupitiliza
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za mchaichai
Soma Zaidi...