picha

Faida za kungumanga/nutmeg

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kungumanga

Faida za kungumanga

Hizi mbegu zake huliwa ama kukamuliwa mafuta

1. Zina virutubisho Kama vile mafuta, vitamini na fati

2. Huboresha upataji wa choo kwa urahisi

3. Husaidia katika kuondoa ama kupunguza maumivu

4. Huboresha afya ya ubongo na kukuza ufahamu

5. Huondoa sumu mwilini

6. Hulinda mwili dhidi ya maradhi hatari Kama leukemia

7. Huboresha mzunguko wa damu

8. Huboresha afya ya ngozi

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 2544

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉3 Dua za Mitume na Manabii     👉4 Simulizi za Hadithi Audio     👉5 web hosting     👉6 Kitabu cha Afya    

Post zinazofanana:

Faida za kula tango

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tango

Soma Zaidi...
Faida za kula kunde, maharage, njegere, mbaazi na njugu mawe

Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula kunde, maharage, njegere, mbaazi na njugu mawe

Soma Zaidi...
Zijue Faida ya kula tunda la tango.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida za kula tango japokuwa watu wengi hulipuuzia Ila Lina Faida kubwa Sana mwilini.

Soma Zaidi...
Vyakula kwa wagonjwa wa sukari na utaratibu wao wa lishe

Post hii inakwenda kukufundisha utaratibu wa lishe kwa wagonjwa wenye kisukari pamoja na vyakula salamakwao.

Soma Zaidi...