Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kungumanga
Faida za kungumanga
Hizi mbegu zake huliwa ama kukamuliwa mafuta
1. Zina virutubisho Kama vile mafuta, vitamini na fati
2. Huboresha upataji wa choo kwa urahisi
3. Husaidia katika kuondoa ama kupunguza maumivu
4. Huboresha afya ya ubongo na kukuza ufahamu
5. Huondoa sumu mwilini
6. Hulinda mwili dhidi ya maradhi hatari Kama leukemia
7. Huboresha mzunguko wa damu
8. Huboresha afya ya ngozi
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
utajifunza njia za kuzuia kiungulia, dalili za kiungulia na dawa ya kutibu kiungulia.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea kazi za virutubisho vya protini mwilini
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya vyakula vyenye vitamini C kwa wingi
Soma Zaidi...Kuna aina nyingi za vyakula kama mafuta, wanga, fati, protini na vitamini. Je! unajuwa faida zake na hasara zake?
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nanasi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula magimbi
Soma Zaidi...Kuna faida kubwa za kiafya kwa kula ndizi, soma makala hii mpaka mwisho
Soma Zaidi...