Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kungumanga
Faida za kungumanga
Hizi mbegu zake huliwa ama kukamuliwa mafuta
1. Zina virutubisho Kama vile mafuta, vitamini na fati
2. Huboresha upataji wa choo kwa urahisi
3. Husaidia katika kuondoa ama kupunguza maumivu
4. Huboresha afya ya ubongo na kukuza ufahamu
5. Huondoa sumu mwilini
6. Hulinda mwili dhidi ya maradhi hatari Kama leukemia
7. Huboresha mzunguko wa damu
8. Huboresha afya ya ngozi
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Hapa utajifunza kuhusu kazi za protini mwilini na vyakula vipi vina protini kwa wingi
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kitunguu thaumu
Soma Zaidi...kuhusu vitamini C, kuanzia chanzo chake, maana yake, upungufu wake na kazi zake kwenye miili yetu.
Soma Zaidi...Zijuwe sababu za upungufu wa damu, dalili za upungufu wa damu na kazi za damu mwilini,n avyakula vya kuongeza damu
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula samaki
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula uyoga
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula biringanya eggplant)
Soma Zaidi...