Faida za kiafya za kula ndizi

Faida za kiafya za kula ndizi



Faida za kula ndizi

  1. ni chanzo kikuu cha vitamini B6
  2. Pia ni chanzo kizuri cha vitamini C
  3. Ndizi ni nzuri kwa afya ya ngozi
  4. Madini ya postassium yaliyopo ndani ya ndizi husaidia kuboresha afya ya moyo na presha ya damu
  5. Husaidia katika kuboresha na kuimarisha mfumo wa mmeng’enyo wa chakula
  6. Ndizi humpatia mlaji nguvu
  7. Ndizi zina virutubisho vingine kama protini, fati na madini
  8. Huthibiti kiwango cha sukari kwenye damu
  9. Husaidia katika kupunguza uzito zaidi
  10. Huondosha sumu za vyakula mwilini
  11. Husaidia katika kuimarisha afya ya figo


                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 905

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 web hosting    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Faida za chumvi mwilini (madini ya chumvi)

Post hii inakwenda kukipa faida za madini ya chumvi mwilini.

Soma Zaidi...
Je miwa ina madhara yoyote?

Umetaja faida za matunda , mimi ninataka kujuwa Je miwa ina madhara yoyote?

Soma Zaidi...
Vyakula na ugonjwa wa kisukari

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya vyakula vimpasavyo mgonjwa wa kisukari

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula kisamvu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kisamvu

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za tangawizi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kutumia tangawizi

Soma Zaidi...
Fahamu vyakula vya nyuzinyuzi

Posti hii moja kwa moja inaenda kuelezea vyakula vya nyuzinyuzi zinazopatikana kwenye matunda na mboga mboga.

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula ukwaju

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ukwaju

Soma Zaidi...
Vyakula anavyopaswa kutumia mwenye matatizo ya uti wa mgongo

Posti hii inahusu zaidi vyakula anavyopaswa kutumia mwenye matatizo ya uti wa mgongo, ni vyakula ambavyo upunguza makali kwenye uti wa Mgongo.

Soma Zaidi...