picha

Faida za kiafya za kula ndizi

Faida za kiafya za kula ndizi



Faida za kula ndizi

  1. ni chanzo kikuu cha vitamini B6
  2. Pia ni chanzo kizuri cha vitamini C
  3. Ndizi ni nzuri kwa afya ya ngozi
  4. Madini ya postassium yaliyopo ndani ya ndizi husaidia kuboresha afya ya moyo na presha ya damu
  5. Husaidia katika kuboresha na kuimarisha mfumo wa mmeng’enyo wa chakula
  6. Ndizi humpatia mlaji nguvu
  7. Ndizi zina virutubisho vingine kama protini, fati na madini
  8. Huthibiti kiwango cha sukari kwenye damu
  9. Husaidia katika kupunguza uzito zaidi
  10. Huondosha sumu za vyakula mwilini
  11. Husaidia katika kuimarisha afya ya figo


                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 1047

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Dua za Mitume na Manabii   

Post zinazofanana:

Faida za kula Palachichi

Palachichi lina virutubisho vingi na vitamini, kula palachichi uiokoe afya yako

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula korosho

Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula korosho

Soma Zaidi...
Matunda yenye Vitamin C kwa wingi

Vitamin C ni katika vitamin vinavyosaidia sana mfumo wa Kinga kulinda mwili dhidi ya vimelea vya maradhi. Hapa nitakuletea orodha ya matunda ambayo yana vitamini C kwa wingi.

Soma Zaidi...
Faida za kula passion

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula passion

Soma Zaidi...
Faida za kitunguu thaumu

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kitunguu thaumu

Soma Zaidi...
Matunda yenye vitamini C kwa wingi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu matunda yenye vitamin C kwa wingi

Soma Zaidi...