Je ni kweli vitunguu saumu vinashusha presure
Kitunguu saumu ni tiba mbadala ya presha yabkushuja. Hakitatui tatizo yaani hakiponyeshi, ila husaidia katika kushusha presha iliyo panda.
SWALI
Je ni kweli vitunguu saumu vinashusha presure?
JIBU:
Kitunguu saumu ni katika vyakula vinavyotumika kama kiungio cha mboga na pia ni tiba asilia. Watu wa mataifa mbalimbali wanatumia kitunguu thaumu kama matibabu.
Ni kweli kuwa kitunguu saumu ni kizuri kwabkushusha presha. Unaweza kutumia kwa kutafuna punje zake.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Dua za Mitume na Manabii 👉2 Kitabu cha Afya 👉3 Bongolite - Game zone - Play free game 👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉5 web hosting 👉6 Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
Faida za kula mayai
Posti hii inahusu zaidi faida anazozipata mtu anayekula mayai hasa wakati wa kifua kinywa, tunajua wazi kuwa mayai yana kiwango kikubwa cha protini pamoja na hayo kuna faida nyingi za kutumia mayai hasa wakati wa asubuhi kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Kazi za madini ya zinki
Posti hii inahusu zaidi juu ya madini ya zinki na faida zake katika mwili wa binadamu,
Soma Zaidi...Faida za mchaichai/ lemongrass
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za mchaichai
Soma Zaidi...Faida za kula maini
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maini
Soma Zaidi...Habari ndugu naomba kuuliza eti mtu akipaliwa na asali anakufa?
Post hii inakwenda kukujulisha hatari za kupaliwa na asali ama kitu kingine kama muulizaji alivyouliza.
Soma Zaidi...