Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula biringanya eggplant)
Faida za biringanya (eggplant)
Ujapokua watu huwa wanaita biringanya kuwa Ni mboga, ila kiuhalisia biringanya ni tunda
1. Lina virutubisho Kama protini, vitamin C na K, pia madini ya potassium na manganese
2. Hulinda mwili dhidi ya madhara ya kemikali
3. Hupunguza hatari ya kupata maradhi ya moyo
4. Hupunguza uzito
5. Huboresha homoni ya insulin ili iweze kufanya kazi vyema
6. Hupunguza hatari ya kupata kisukari
7. Hupambana na saratani na kuzuia seli za saratani kuzaliana
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo wanapaswa kutumia watu wenye matatizo ya macho,ni vyakula ambavyo uhimalisha mishipa na sehemu nyingine za jicho na kufanya jicho lisiwe na matatizo kwa sababu tunajua wazi kuwa vyakula ni dawa.
Soma Zaidi...Zijuwe sababu kuu za kuwepo kwa maumivu ya tumbo baada ya kula chakula
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula korosho
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vitamini C mwilini
Soma Zaidi...Posti hii itakwende kukueleza kuhusu faida za kula apple na umuhimu wake kiafya
Soma Zaidi...