Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula biringanya eggplant)
Faida za biringanya (eggplant)
Ujapokua watu huwa wanaita biringanya kuwa Ni mboga, ila kiuhalisia biringanya ni tunda
1. Lina virutubisho Kama protini, vitamin C na K, pia madini ya potassium na manganese
2. Hulinda mwili dhidi ya madhara ya kemikali
3. Hupunguza hatari ya kupata maradhi ya moyo
4. Hupunguza uzito
5. Huboresha homoni ya insulin ili iweze kufanya kazi vyema
6. Hupunguza hatari ya kupata kisukari
7. Hupambana na saratani na kuzuia seli za saratani kuzaliana
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Katika makala hii nitakwenda kukupa somo linalohusu vitamini E, kazi zake, chanzo chake na madhara ya upungufu wake
Soma Zaidi...Uyoga pia ni katika vyakula vya asili, ijapokuwa upatikanaji wake umekuwa mchache siku hizi. Shukrani ziwaendee wataalamu wa kilimo, kwa sasa tunaweza kuzipata mbegu za uyoga kutoka maabara na kulima uyoga popote pale. Wataalamu wa mimea wanaamini kuwa uy
Soma Zaidi...Somo hili litakwenda kukueleza na kukuelimisha kuhusu umuhimu wa kula parachichi kiafya
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula miwa
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula korosho
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu aina za vyakula vya wanga na umuhimu wake mwilini
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ndimu au limao
Soma Zaidi...