Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kula mayai
. Faida za kiafya za kula mayai
1. Mayai yana virutubisho kama vitamini A, B5, B12, B2 B6, D, E na K. pia yai lina madini ya selenium, zinc na calcium
2. Husaidia katika kuongeza kiwango cha cholesterol zilizo nzuri
3. Husaidia katika ufanyaji kazi wa ubongo kuwa mzuri pia katika kutengeneza utando wa seli
4. Mayai huamini ka katika kupunguza hatari ya kupata maradhi ya moyo
5. Mayai ni chakula kizuri kwa afya ya macho
6. Mayai yana kiwango kikubwa cha protini iliyo bora kabisa
7. Pia mayai husaidia katika kupunguza hatari ya kupata kiharusi yaani kupalalaizi
8. Husaidia pia katika kupunguza uzito.
?
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya hatari kwa mjamzito hasa mimba changa
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Okoa afya yako kwa kula tunda papai, kwa hakika hutajuta, papai lina virutubisho vingi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula pilipili
Soma Zaidi...Usiwashangae wanaokula lima, kwa hakika kuna faida kubwa kiafya kula limao, je unazijuwa faida hizo
Soma Zaidi...Pera ni tunda bora lakini pia ni dawa, tambua umuhimu wa tunda hili kiafya
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za biringanya/ eggplant
Soma Zaidi...