Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kula mayai
. Faida za kiafya za kula mayai
1. Mayai yana virutubisho kama vitamini A, B5, B12, B2 B6, D, E na K. pia yai lina madini ya selenium, zinc na calcium
2. Husaidia katika kuongeza kiwango cha cholesterol zilizo nzuri
3. Husaidia katika ufanyaji kazi wa ubongo kuwa mzuri pia katika kutengeneza utando wa seli
4. Mayai huamini ka katika kupunguza hatari ya kupata maradhi ya moyo
5. Mayai ni chakula kizuri kwa afya ya macho
6. Mayai yana kiwango kikubwa cha protini iliyo bora kabisa
7. Pia mayai husaidia katika kupunguza hatari ya kupata kiharusi yaani kupalalaizi
8. Husaidia pia katika kupunguza uzito.
?
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii itakupa elimu kuhusu mfumo wa mmrng'enyobwa chakula unavyo fanyankazi
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula magimbi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi hasara za kitunguu swaumu wakati wa ujauzito.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za mchaichai/lemongrass
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...