Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kula mayai
. Faida za kiafya za kula mayai
1. Mayai yana virutubisho kama vitamini A, B5, B12, B2 B6, D, E na K. pia yai lina madini ya selenium, zinc na calcium
2. Husaidia katika kuongeza kiwango cha cholesterol zilizo nzuri
3. Husaidia katika ufanyaji kazi wa ubongo kuwa mzuri pia katika kutengeneza utando wa seli
4. Mayai huamini ka katika kupunguza hatari ya kupata maradhi ya moyo
5. Mayai ni chakula kizuri kwa afya ya macho
6. Mayai yana kiwango kikubwa cha protini iliyo bora kabisa
7. Pia mayai husaidia katika kupunguza hatari ya kupata kiharusi yaani kupalalaizi
8. Husaidia pia katika kupunguza uzito.
?
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula peazi/peas
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula samaki
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula fenesi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Ukosefu wa madini ya Shaba mwilini, ni Ukosefu wa madini ya Shaba mwilini ambao usababisha madhara kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Matunda yenye vitamni C kwa wingi ni machungwa, maembe, ndimu na limao, endelea kusoma
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin E
Soma Zaidi...Fida za matunda huanzia kwenye rangi zake, je unajuwa kama rangi ya matunda inaeleza jambo?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu namna au njia za kuandaa mdalasini kwa ajili ya tiba ya homoni imbalance kwa wanawake.
Soma Zaidi...