Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kula mayai
. Faida za kiafya za kula mayai
1. Mayai yana virutubisho kama vitamini A, B5, B12, B2 B6, D, E na K. pia yai lina madini ya selenium, zinc na calcium
2. Husaidia katika kuongeza kiwango cha cholesterol zilizo nzuri
3. Husaidia katika ufanyaji kazi wa ubongo kuwa mzuri pia katika kutengeneza utando wa seli
4. Mayai huamini ka katika kupunguza hatari ya kupata maradhi ya moyo
5. Mayai ni chakula kizuri kwa afya ya macho
6. Mayai yana kiwango kikubwa cha protini iliyo bora kabisa
7. Pia mayai husaidia katika kupunguza hatari ya kupata kiharusi yaani kupalalaizi
8. Husaidia pia katika kupunguza uzito.
?
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Makala hii inakwenda kukueleza kuhusu fati, vyakula vya fati, kazi zake na athari za upungufu wake
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya hatari kwa mjamzito hasa mimba changa
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula senene, panzi na kumbikumbi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu kazi kuu tatu za vitamini C
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za apple kwa mama mjamzito, ni faida anazozipata mama akiwa mjamzito kwa sababu ya kuwepo kwa vitamini mbalimbali kwenye apple ambavyo usaidia katika makuzi ya mtoto.I
Soma Zaidi...Kitunguu thaumu ni katika viungo vya mboga na chakula.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vitamini mbalimbali na kazi zake kwenye mwili,vitamini ufanya kazi mbalimbali kwenye mwili kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...Utafahamu faida za vitamini C mwilini pamoja na kujuwa umuhimu wa vitamini C
Soma Zaidi...