Faida za kiafya za kula Zabibu

Faida za kula zabibu:
- zabibu lina virutubisho vingi kama vitamini C , B6 na K na fat na madini ya shaba na manganese.
- Ina antioxidanti zinazohusika kuondoa sumu za kemikali na vyakula mwilini
- Hupunguza athari ama hatari ya magonjwa kama saratani, kisukari na maradhi ya moyo na mishipa ya damu
- Huondoa stress na misongo ya mawazo
- Hushusha shinikizo la damu
- Hupunguza cholesterol mbay
- Hushusha kiwango cha sukari kwenye damu
- Husaidia kuimarisha afya ya macho
- Huimarisha afya ya ubongo na utunzaji wa kumbukumbu
- Husaidia kuboresha afya ya mifupa
- Husidia kupunguza maambukizi ya baadhi ya bakteria, virusi na fangasi
- Hupunguza kuzeheka mapema
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh 👉2 Dua za Mitume na Manabii 👉3 ai web app 👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
👉1 Kitau cha Fiqh 👉2 Dua za Mitume na Manabii 👉3 ai web app 👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
VYAKULA VYA WANGA NA MADINI
Kuna aina nyingi za vyakula kama mafuta, wanga, fati, protini na vitamini. Je! unajuwa faida zake na hasara zake?
Soma Zaidi...Upungufu wa vitamin C mwilini
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu upungufu wa vitamini C mwilini
Soma Zaidi...Faida za kafya za kula asali
Post hii itakwenda kukufundisha faida za kiafya za kula asali
Soma Zaidi...Mabadiliko ya matiti yanayopaswa kutolewa taarifa mara moja
Posti hii inahusu zaidi mabadiliko ya matiti yanayopaswa kutolewa taarifa mapema, kwa sababu ya kuwepo kwa saratani ya matiti, kuna dalili ambazo zikijitokeza zinapaswa kutolewa taarifa mara moja bila kuchelewa kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...