Somo hili litakwenda kukueleza kuhusu faida za chungwa na chenza mwilini
Faida za chungwa na chenza
1. Ni chanzo kizuri cha vitamini C
2. Huboresha na kuimarisha mfumo wa kinga
3. Huboresha presha ya damu
4. Huzuia kuharibika kwa ngozi
5. Hushusha cholesterol mbaya
6. Husaidia kudhibiti kiwango cha sukari
7. Hupunguza hatari ya kupata saratani
8. Huboresha afya ya macho
9. Huzuia tatizo la kufunga kwa choo
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Kukosa choo aina ya kinyesi ni kutoweza kudhibiti kinyesi, hivyo kusababisha kinyesi kuvuja bila kutarajiwa kutoka kwenye puru. Pia huitwa kutoweza kudhibiti utumbo, Upungufu wa kinyesi hutoka kwa kuvuja mara kwa mara kwa kinyesi huku ukipitisha gesi had
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya vyakula hatari na salama kwa vidonda vya tumbo
Soma Zaidi...Usiogope kuwashwa, kula pilipili ni nzuri kwa afya yako ia virutubisho vingi sana
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mahindi
Soma Zaidi...