picha

Faida za kiafya za kula kisamvu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kisamvu

 Faida za kiafya za kula kisamvu

1. kisamvu ni kizuri kwa wanawake wajawazito kwani kina vitamini C vingi

2. Husaidia kupambana na kwashoorkor (kwashiakoo) aina ya utapiamlo

3. Majani ya kisamvu yakipondwa husaidia kuondosha homa na maumivu ya kichwa

4. Hutibu kuhara unasanga majani

5. Hutibu tatizo la macho kutokuona vyema unachemsha majani ya kisamvu pamoja na tangawizi na chumvi

6. Huongeza hamu ya kual chemsha kisamvu, tangawizi na chumvi kisha kunywa

7. Hutibu minyoo

8. Husaidia kuchelewa kuzeheka

9. Hutibu stroke

10. Huongeza stamina

11. Husaidia katika kupona kwa vidonda na majeraha kwa haraka

12. Huboresha mfumo wa kinga

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 3727

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii     👉2 web hosting     👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉4 ai web app     👉5 Simulizi za Hadithi Audio     👉6 Kitau cha Fiqh    

Post zinazofanana:

darasa la lishe

Jifunze mengi kuhusu afya na lishe, ujuwe utaratibu wa lishe

Soma Zaidi...
Faida za kula Nanasi

Nanasi ni katika matunda matamu lakini mazuri pia kiafya, je unazijuwa faida zake kiafya

Soma Zaidi...
VYAKULA VYA WANGA NA MADINI

Kuna aina nyingi za vyakula kama mafuta, wanga, fati, protini na vitamini. Je! unajuwa faida zake na hasara zake?

Soma Zaidi...
Je ni kweli vitunguu saumu vinashusha presure

Kitunguu saumu ni tiba mbadala ya presha yabkushuja. Hakitatui tatizo yaani hakiponyeshi, ila husaidia katika kushusha presha iliyo panda.

Soma Zaidi...
Faida za mchaichai/ lemongrass

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za mchaichai

Soma Zaidi...
Faida za kula maini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maini

Soma Zaidi...