Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kisamvu
Faida za kiafya za kula kisamvu
1. kisamvu ni kizuri kwa wanawake wajawazito kwani kina vitamini C vingi
2. Husaidia kupambana na kwashoorkor (kwashiakoo) aina ya utapiamlo
3. Majani ya kisamvu yakipondwa husaidia kuondosha homa na maumivu ya kichwa
4. Hutibu kuhara unasanga majani
5. Hutibu tatizo la macho kutokuona vyema unachemsha majani ya kisamvu pamoja na tangawizi na chumvi
6. Huongeza hamu ya kual chemsha kisamvu, tangawizi na chumvi kisha kunywa
7. Hutibu minyoo
8. Husaidia kuchelewa kuzeheka
9. Hutibu stroke
10. Huongeza stamina
11. Husaidia katika kupona kwa vidonda na majeraha kwa haraka
12. Huboresha mfumo wa kinga
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za stafeli ama soursop
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula panzi senene na kumbikumbi
Soma Zaidi...Kukosa choo aina ya kinyesi ni kutoweza kudhibiti kinyesi, hivyo kusababisha kinyesi kuvuja bila kutarajiwa kutoka kwenye puru. Pia huitwa kutoweza kudhibiti utumbo, Upungufu wa kinyesi hutoka kwa kuvuja mara kwa mara kwa kinyesi huku ukipitisha gesi had
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyanya
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida kuhusu uyoga mwekundu ni uyoga unaopatikana katika sehemu mbalimbali na pia kuna waliofanikiwa kupandikiza na kuweza kuvuna ila uyoga huu una siri mbalimbali kama tutakavyoona.
Soma Zaidi...Uchachu wa ukwaju, ndio ubora wake, kuna virutubisho vingi kwa kula ukwaju, soma makala hii
Soma Zaidi...