Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kisamvu
Faida za kiafya za kula kisamvu
1. kisamvu ni kizuri kwa wanawake wajawazito kwani kina vitamini C vingi
2. Husaidia kupambana na kwashoorkor (kwashiakoo) aina ya utapiamlo
3. Majani ya kisamvu yakipondwa husaidia kuondosha homa na maumivu ya kichwa
4. Hutibu kuhara unasanga majani
5. Hutibu tatizo la macho kutokuona vyema unachemsha majani ya kisamvu pamoja na tangawizi na chumvi
6. Huongeza hamu ya kual chemsha kisamvu, tangawizi na chumvi kisha kunywa
7. Hutibu minyoo
8. Husaidia kuchelewa kuzeheka
9. Hutibu stroke
10. Huongeza stamina
11. Husaidia katika kupona kwa vidonda na majeraha kwa haraka
12. Huboresha mfumo wa kinga
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za tangawizi
Soma Zaidi...kuhusu vitamini C, kuanzia chanzo chake, maana yake, upungufu wake na kazi zake kwenye miili yetu.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi baadhi ya vyakula ambavyo vinaweza kutumika ili kuweza kuweka ini kwenye hali yake ya kawaida.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu upungufu wa protini na dalili zake
Soma Zaidi...Posti hii moja kwa moja inaenda kuelezea vyakula vya nyuzinyuzi zinazopatikana kwenye matunda na mboga mboga.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyama
Soma Zaidi...