Faida za kiafya za kula kisamvu


image


Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kisamvu


 Faida za kiafya za kula kisamvu

1. kisamvu ni kizuri kwa wanawake wajawazito kwani kina vitamini C vingi

2. Husaidia kupambana na kwashoorkor (kwashiakoo) aina ya utapiamlo

3. Majani ya kisamvu yakipondwa husaidia kuondosha homa na maumivu ya kichwa

4. Hutibu kuhara unasanga majani

5. Hutibu tatizo la macho kutokuona vyema unachemsha majani ya kisamvu pamoja na tangawizi na chumvi

6. Huongeza hamu ya kual chemsha kisamvu, tangawizi na chumvi kisha kunywa

7. Hutibu minyoo

8. Husaidia kuchelewa kuzeheka

9. Hutibu stroke

10. Huongeza stamina

11. Husaidia katika kupona kwa vidonda na majeraha kwa haraka

12. Huboresha mfumo wa kinga



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    2 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    3 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    4 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Faida za kula papai
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula papai Soma Zaidi...

image Nanasi (pineapple)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kula nanasi Soma Zaidi...

image Faida za limao au ndimu
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ndimu au limao Soma Zaidi...

image Faida za nazi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nazi Soma Zaidi...

image Faida za kiafya za kula zaituni
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula zaituni Soma Zaidi...

image Faida za kiafya za kula passion
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula passion Soma Zaidi...

image Faida za kula parachichi
Somo Hili linakwenda kukuletea faida za kula parachichi Soma Zaidi...

image Faida za kula karoti
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kula karoti Soma Zaidi...

image Faida za kula uyoga
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kula uyoga Soma Zaidi...

image Faida za kiafya za peaz/ peas
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula peazi/peas Soma Zaidi...