Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kisamvu
Faida za kiafya za kula kisamvu
1. kisamvu ni kizuri kwa wanawake wajawazito kwani kina vitamini C vingi
2. Husaidia kupambana na kwashoorkor (kwashiakoo) aina ya utapiamlo
3. Majani ya kisamvu yakipondwa husaidia kuondosha homa na maumivu ya kichwa
4. Hutibu kuhara unasanga majani
5. Hutibu tatizo la macho kutokuona vyema unachemsha majani ya kisamvu pamoja na tangawizi na chumvi
6. Huongeza hamu ya kual chemsha kisamvu, tangawizi na chumvi kisha kunywa
7. Hutibu minyoo
8. Husaidia kuchelewa kuzeheka
9. Hutibu stroke
10. Huongeza stamina
11. Husaidia katika kupona kwa vidonda na majeraha kwa haraka
12. Huboresha mfumo wa kinga
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili litakwenda kukueleza na kukuelimisha kuhusu umuhimu wa kula parachichi kiafya
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyanya
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maini
Soma Zaidi...unayopaswa kuyajuwa kuhusu protini na vyakula vya protini, faida zake na hasara zake. Madhara ya kiafya yanayohusiana na protini pamoja na kuyaepuka madhara hayo
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukueleza faida za kula maboga, na mbegu zake kwa afya yako
Soma Zaidi...