Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula bamia
Faida za bamia
1. Bamia Lina virutubisho Kama vitamin C, K, A na pia bamia Lina protini, fati na madini ya magnesium
2. Bamia Lina antioxidants ambazo hulinda mwili dhidi ya maradhi
3. Hupunguza hatari ya kupata maradhi ya moyo
4. Hulinda mwili dhidi ya saratani
5. Hushusha kiwango cha sukari kwenye damu
6. Husaidia kwa wanawake wajawazito na watoto
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula topetope
Soma Zaidi...Umetaja faida za matunda , mimi ninataka kujuwa Je miwa ina madhara yoyote?
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Nashukuru kwa ushauri, Je!
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za apple kwa mama mjamzito, ni faida anazozipata mama akiwa mjamzito kwa sababu ya kuwepo kwa vitamini mbalimbali kwenye apple ambavyo usaidia katika makuzi ya mtoto.I
Soma Zaidi...