picha

Faida za kiafya za kula Mbegu za mronge

Faida za kiafya za kula Mbegu za mronge



Faida za kiafya za mbegu za mronge (moringa)

  1. mbegu za mronge zina virutubisho kama vitamini A, B na C. Pia zina madini kama madini ya calcium, chuma na pia kuna fata kama amino acid.
  2. Husaidia katika kupata usingizi mwororo
  3. Husaidia katika kuondoa tatizo la kukosa choo
  4. Husaidia katika kuthibiti kiwango cha sukari kwenye damu
  5. Ni chanzo kikubwa cha madini ya chuma
  6. Husaidia katika kuondoa tatizo la kupata maradhi ya anaemia yanayopelekea upungufu wa hewa ya oksijeni mwilini
  7. Hupunguza maumivu ya viungo
  8. Husaidia katika kuuwa seli za saratani mwilini.
  9. Husaidia kuboresha afya ya ngozi
  10. husaidia kulinda afya ya moyo na mishipa ya damu.
  11. Husaidia katika kulinda afya ya ini


                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 2211

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Faida za kiafya za kula kitunguu thaumu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kitunguu thaumu

Soma Zaidi...
Lishe salama kwa mjamzito

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu lishe salama kwa mjamzito

Soma Zaidi...
Upungufu wa protini na dalili zake

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu upungufu wa protini na dalili zake

Soma Zaidi...
Vinywaji vyakula salama kwa mwenye Presha ya kupanda

Je umesha wahi kujiuliza kuwa ni vinywaji vipi mwenye presha ya kupanda anafaha kutumia, Unadhani ni maji, mvinyo wa pombe, chai na kahawa. Bila shaka ungependa kujuwa zaidi kuhusu jambo hili. Makala hii ni kwa ajili yako

Soma Zaidi...
Sababu za kuwa na fangasi ukeni

Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwa na fangasi ukeni, ni vitu ambavyo usababisha fangasi ukeni kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula maini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maini

Soma Zaidi...
Maumivu ya tumbo baada ya kula

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo baada ya kula

Soma Zaidi...
Nyanya (tomato)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyanya

Soma Zaidi...