Vyakula vya vitamin C


image


Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamin C


VYAKULA VYA VITAMINI C

1. Nyanya

2. Mapera

3. Pilipili

4. Papai

5. Tufaha (apple)

6. Karoti

7. Kitunguu

8. Palachichi

9. Embe

10. Kabichi

11. Pensheni

12. Zabibu

13. Nanasi

14. Limao

15. Chungwa

16. Papai

 

Faida za vitamini C

1. Husaidia katika utengenezwaji wa tishu mwilini

2. Husaidia katika uponaji wa vidonda

3. Ni antioxidant ambayo husaidi katika kuondosha sumu za vyakula mwilini

4. Husaidia katika kuboresha mfumo wa kinga mwilini

5. Hulinda mwili dhidi ya maradhi ya kiseyeye



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    2 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    3 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    4 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Upungufu wa vitaminC mwilini
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu upungufu wa vitamini C mwilini Soma Zaidi...

image Vyakula hatari kwa mwenye kisukari
Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya vyakula hatari kwa mwenye kisukari Soma Zaidi...

image Vijuwe virutubisho vilivyomo kwenye parachichi.
Posti hii inahusu zaidi virutubisho vilivyomo kwenye parachichi, tunajua sana kuwa parachichi ina virutubisho vingi ambavyo vinaweza kuleta faida nyingi kwenye mwili kama yalivyo matunda na vyakula vingine. Soma Zaidi...

image Vyakula vya fati
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu aina za vyakula vya fati na umuhimu wake mwilini Soma Zaidi...

image Fahamu tiba ya lishe ya ugonjwa wa kisukari
Post hii inahusu zaidi tiba ya lishe ya ugonjwa wa kisukari ni tiba ambayo utumiwa sana na wagonjwa wa kisukari na walio wengi na wamefanikiwa kupona Soma Zaidi...

image Vyakula vya protini
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya protini Soma Zaidi...

image Vyakula vya vitamin D
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin D Soma Zaidi...

image Fahamu vyakula vya nyuzinyuzi
Posti hii moja kwa moja inaenda kuelezea vyakula vya nyuzinyuzi zinazopatikana kwenye matunda na mboga mboga. Soma Zaidi...

image Faida za kiafya za kula biringanya (eggplant)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula biringanya eggplant) Soma Zaidi...

image Fahamu kuhusu fati na mafuta na kazi zake mwilini
Hata kama mtu atakuambbia usile vyakula yenye mafuta bado itahitajika kula tu. Kuna mafuta na fati je unajuwa utofauti wao. Ni zipi kazi zao mwilini? Endelea na makala hii Soma Zaidi...