Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamin C
VYAKULA VYA VITAMINI C
1. Nyanya
2. Mapera
3. Pilipili
4. Papai
5. Tufaha (apple)
6. Karoti
7. Kitunguu
8. Palachichi
9. Embe
10. Kabichi
11. Pensheni
12. Zabibu
13. Nanasi
14. Limao
15. Chungwa
16. Papai
Faida za vitamini C
1. Husaidia katika utengenezwaji wa tishu mwilini
2. Husaidia katika uponaji wa vidonda
3. Ni antioxidant ambayo husaidi katika kuondosha sumu za vyakula mwilini
4. Husaidia katika kuboresha mfumo wa kinga mwilini
5. Hulinda mwili dhidi ya maradhi ya kiseyeye
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula panzi senene na kumbikumbi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamin A
Soma Zaidi...Vitamin C ni katika vitamin vinavyosaidia sana mfumo wa Kinga kulinda mwili dhidi ya vimelea vya maradhi. Hapa nitakuletea orodha ya matunda ambayo yana vitamini C kwa wingi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ya kuwepo kwa vyakula vya kisasa, vyakula vya kisasa ni vyakula vya madukani ambavyo vimetengenezwa na kuwekwa kwenye maduka
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Ukosefu wa madini ya Shaba mwilini, ni Ukosefu wa madini ya Shaba mwilini ambao usababisha madhara kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha utaratibu wa lishe kwa wagonjwa wenye kisukari pamoja na vyakula salamakwao.
Soma Zaidi...