picha

Vyakula vya vitamin C

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamin C

VYAKULA VYA VITAMINI C

1. Nyanya

2. Mapera

3. Pilipili

4. Papai

5. Tufaha (apple)

6. Karoti

7. Kitunguu

8. Palachichi

9. Embe

10. Kabichi

11. Pensheni

12. Zabibu

13. Nanasi

14. Limao

15. Chungwa

16. Papai

 

Faida za vitamini C

1. Husaidia katika utengenezwaji wa tishu mwilini

2. Husaidia katika uponaji wa vidonda

3. Ni antioxidant ambayo husaidi katika kuondosha sumu za vyakula mwilini

4. Husaidia katika kuboresha mfumo wa kinga mwilini

5. Hulinda mwili dhidi ya maradhi ya kiseyeye

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 2339

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Bongolite - Game zone - Play free game     👉5 web hosting     👉6 ai web app    

Post zinazofanana:

Vyakula kwa wagonjwa wa sukari na utaratibu wao wa lishe

Post hii inakwenda kukufundisha utaratibu wa lishe kwa wagonjwa wenye kisukari pamoja na vyakula salamakwao.

Soma Zaidi...
Faida za kula Nanasi

Nanasi ni katika matunda matamu lakini mazuri pia kiafya, je unazijuwa faida zake kiafya

Soma Zaidi...
Faida za kula nanasi

Somo hili linakwenda kukuletea za kula nanasi na umuhimu wake kiafya

Soma Zaidi...
Faida za kula passion

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula passion

Soma Zaidi...