picha

Vyakula vya vitamin C

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamin C

VYAKULA VYA VITAMINI C

1. Nyanya

2. Mapera

3. Pilipili

4. Papai

5. Tufaha (apple)

6. Karoti

7. Kitunguu

8. Palachichi

9. Embe

10. Kabichi

11. Pensheni

12. Zabibu

13. Nanasi

14. Limao

15. Chungwa

16. Papai

 

Faida za vitamini C

1. Husaidia katika utengenezwaji wa tishu mwilini

2. Husaidia katika uponaji wa vidonda

3. Ni antioxidant ambayo husaidi katika kuondosha sumu za vyakula mwilini

4. Husaidia katika kuboresha mfumo wa kinga mwilini

5. Hulinda mwili dhidi ya maradhi ya kiseyeye

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 2383

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio     👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉3 web hosting     👉4 Dua za Mitume na Manabii     👉5 ai web app     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

Kazi za vitamini B mwilini Na upungufu wa vitamini B mwilini

vitamini B vipo katika makundi mengi kma aB1, B2, B3, B5, B6, B7 na B12. Makala hii itakwenda kukutajia kazi kuu za Vitamini B katika miili yetu

Soma Zaidi...
Faida za kula Palachichi

Palachichi lina virutubisho vingi na vitamini, kula palachichi uiokoe afya yako

Soma Zaidi...
Faida za kula stafeli/soursop

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za stafel/soursop

Soma Zaidi...
Vyakula vya madini, kazizake na athari za upungufu wa madini mwilini

Je ungependa kujuwa vyakula hivyo ama vyanzo vya madini? Na je ungependa kujuwa ni zipi hasa kazi za madini katika miili yetu?. makala hii ni kwa ajili yako, hapa utakwenda kujifunza mengi kuhusu somo hili.

Soma Zaidi...
Faida za ubuyu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ubuyu

Soma Zaidi...
Faida za mchaichai/ lemongrass

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za mchaichai

Soma Zaidi...