picha

Vyakula vya vitamin C

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamin C

VYAKULA VYA VITAMINI C

1. Nyanya

2. Mapera

3. Pilipili

4. Papai

5. Tufaha (apple)

6. Karoti

7. Kitunguu

8. Palachichi

9. Embe

10. Kabichi

11. Pensheni

12. Zabibu

13. Nanasi

14. Limao

15. Chungwa

16. Papai

 

Faida za vitamini C

1. Husaidia katika utengenezwaji wa tishu mwilini

2. Husaidia katika uponaji wa vidonda

3. Ni antioxidant ambayo husaidi katika kuondosha sumu za vyakula mwilini

4. Husaidia katika kuboresha mfumo wa kinga mwilini

5. Hulinda mwili dhidi ya maradhi ya kiseyeye

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2021-10-27 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 2133

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 ai web app    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Faida za kula viazi mbatata

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi mbatata

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za peaz/ peas

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula peazi/peas

Soma Zaidi...
Matunda yenye vitamini C kwa wingi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu matunda yenye vitamin C kwa wingi

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kunywa aji ya moto wakati wa asubuhi

Katika makala hii tutakwenda kujufunza faida za kiafya zinazopatuikana kwa kunywa maji yamoti wakati wa asubuhi

Soma Zaidi...
Faida za kula nazi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nazi

Soma Zaidi...
Vinywaji salama kwa mwenye kisukari

Vijuwe vinywaji salama kwa mgonjwa wa kisukari

Soma Zaidi...