Vyakula vya vitamin C
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamin C
VYAKULA VYA VITAMINI C
1. Nyanya
2. Mapera
3. Pilipili
4. Papai
5. Tufaha (apple)
6. Karoti
7. Kitunguu
8. Palachichi
9. Embe
10. Kabichi
11. Pensheni
12. Zabibu
13. Nanasi
14. Limao
15. Chungwa
16. Papai
Faida za vitamini C
1. Husaidia katika utengenezwaji wa tishu mwilini
2. Husaidia katika uponaji wa vidonda
3. Ni antioxidant ambayo husaidi katika kuondosha sumu za vyakula mwilini
4. Husaidia katika kuboresha mfumo wa kinga mwilini
5. Hulinda mwili dhidi ya maradhi ya kiseyeye
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Dua za Mitume na Manabii 👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉3 Bongolite - Game zone - Play free game 👉4 web hosting 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 ai web app
Post zinazofanana:
Fahamu Vitamini E na nz kazi zake, vyakula vya vitamini E na athari za upungufu wake
Katika makala hii nitakwenda kukupa somo linalohusu vitamini E, kazi zake, chanzo chake na madhara ya upungufu wake
Soma Zaidi...Vitamini C Ni nini?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana na historia ya vitamin C
Soma Zaidi...Faida za kiafya za kula kitunguu thaumu
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kitunguu thaumu
Soma Zaidi...Vyakula hatari kwa vidonda vya tumbo, na vyakula salama kwa vidonda vya tumbo
Makala hii inakwenda kufundisha vyakuna na vinjwaji salama anavyopaswa kutumia mgonjwa wa vidonda vya tumbo. Pia utajifunza vyakula na vinywaji hatari kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo.
Soma Zaidi...Faida za kiafya za kula maboga
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maboga
Soma Zaidi...