Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamin C
VYAKULA VYA VITAMINI C
1. Nyanya
2. Mapera
3. Pilipili
4. Papai
5. Tufaha (apple)
6. Karoti
7. Kitunguu
8. Palachichi
9. Embe
10. Kabichi
11. Pensheni
12. Zabibu
13. Nanasi
14. Limao
15. Chungwa
16. Papai
Faida za vitamini C
1. Husaidia katika utengenezwaji wa tishu mwilini
2. Husaidia katika uponaji wa vidonda
3. Ni antioxidant ambayo husaidi katika kuondosha sumu za vyakula mwilini
4. Husaidia katika kuboresha mfumo wa kinga mwilini
5. Hulinda mwili dhidi ya maradhi ya kiseyeye
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi magonjwa nyemelezi kwa watoto wadogo chini ya miaka mitano,. Ni magonjwa yanayowapata watoto wadogo kwa sababu kinga Yao bado ni ndogo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za mchaichai/lemongrass
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya vyakula salama kwa mwenye kisukari
Soma Zaidi...Nyanya ni katika viungio vya mboga, kuna faida kubwa za kiafya katika nyanya
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu aina za vyakula vya fati na umuhimu wake mwilini
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukupa faida kuu 5 za kula karanga mbichi katika afya ya mwili wako.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea kazi za virutubisho vya protini mwilini
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vitamini mbalimbali na kazi zake kwenye mwili,vitamini ufanya kazi mbalimbali kwenye mwili kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...