Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamin C
VYAKULA VYA VITAMINI C
1. Nyanya
2. Mapera
3. Pilipili
4. Papai
5. Tufaha (apple)
6. Karoti
7. Kitunguu
8. Palachichi
9. Embe
10. Kabichi
11. Pensheni
12. Zabibu
13. Nanasi
14. Limao
15. Chungwa
16. Papai
Faida za vitamini C
1. Husaidia katika utengenezwaji wa tishu mwilini
2. Husaidia katika uponaji wa vidonda
3. Ni antioxidant ambayo husaidi katika kuondosha sumu za vyakula mwilini
4. Husaidia katika kuboresha mfumo wa kinga mwilini
5. Hulinda mwili dhidi ya maradhi ya kiseyeye
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowNazi ni katika matunda bora sana kiafya, Soma faida zake kwa afya yako
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza aina 20 za vitamini. Utajifunza kazu zake mwilini, vyanzo vyake na madhara yanayoweza kutokea kutokana na upungufu wake.
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi hasara za kitunguu swaumu wakati wa ujauzito.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula bamia
Soma Zaidi...Papai ni moja kati ya matunda yenye vitamini C na virutubisho vinginevyo. Lakini papai pia ni moja kati ya vyakula ambavyo mjamzito anatakiwa awe makini navyo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula kunde, maharage, njegere, mbaazi na njugu mawe
Soma Zaidi...