Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula karanga
Faida za karanga
1.karanga Ina virutubisho Kama fati protini vitamin B1 B2 B6. Madini ya calsium, phosphorus, magnesium na sodium
2. Husaidia katika kudhibiti sukari
3. Husaidia Kuzuia saratani
4. Husaidia katika kutunza kumbukumbu na kuboresha afya ya ubongo
5. Huzuia unyonyokaji na ukatikaji wa nywele
6. Husaidia katika kupunguza uzito
7. Husaidia katika ukuaji mzuri wa watoto
8. Huboresha afya ya ngozi
9. Ni nzuri kwa afya ya moyo
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili za upungufu wa iodini ambapo kitaalamu hujulikana Kama goiter. Goiter Ni Sababu ya kawaida ya goiter duniani kote ni ukosefu wa iodini katika chakula. Nchini Marekani, ambako utumiaji wa chumvi yenye iodini ni j
Soma Zaidi...Tufaha ni katika matunda adimu na matamu, je unazijuwa faida zake kkiafya?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za apple kwa mama mjamzito, ni faida anazozipata mama akiwa mjamzito kwa sababu ya kuwepo kwa vitamini mbalimbali kwenye apple ambavyo usaidia katika makuzi ya mtoto.I
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula panzi senene na kumbikumbi
Soma Zaidi...Post hii itakwenda kukufundisha vyakula ambavyo ni vizuri kwa mwanamke anayenyonyesha ili kumsaidia kupata maziwa kwa wingi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za matumizi ya vyakula vya asili, kama tunavyojua kwamba mababu na mabibi zetu walitumia vyakula vya asili wakaishi miaka mingi kweli.
Soma Zaidi...