Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula karanga
Faida za karanga
1.karanga Ina virutubisho Kama fati protini vitamin B1 B2 B6. Madini ya calsium, phosphorus, magnesium na sodium
2. Husaidia katika kudhibiti sukari
3. Husaidia Kuzuia saratani
4. Husaidia katika kutunza kumbukumbu na kuboresha afya ya ubongo
5. Huzuia unyonyokaji na ukatikaji wa nywele
6. Husaidia katika kupunguza uzito
7. Husaidia katika ukuaji mzuri wa watoto
8. Huboresha afya ya ngozi
9. Ni nzuri kwa afya ya moyo
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu upungufu wa vitamini C mwilini
Soma Zaidi...Uyoga pia ni katika vyakula vya asili, ijapokuwa upatikanaji wake umekuwa mchache siku hizi. Shukrani ziwaendee wataalamu wa kilimo, kwa sasa tunaweza kuzipata mbegu za uyoga kutoka maabara na kulima uyoga popote pale. Wataalamu wa mimea wanaamini kuwa uy
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za apple kwa mama mjamzito, ni faida anazozipata mama akiwa mjamzito kwa sababu ya kuwepo kwa vitamini mbalimbali kwenye apple ambavyo usaidia katika makuzi ya mtoto.I
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea za kula nanasi na umuhimu wake kiafya
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamin B
Soma Zaidi...vitamini B vipo katika makundi mengi kma aB1, B2, B3, B5, B6, B7 na B12. Makala hii itakwenda kukutajia kazi kuu za Vitamini B katika miili yetu
Soma Zaidi...