Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula passion
Faida za kula pensheni au pashen (passion fruit)
1. tunda hili lina virutubisho kama vitamini A na C. pia lina madini ya chuma na potassium
2. Husaidia kulinda mwili dhidi ya kemikali
3. Hulinda moyo dhidi ya maradhi ya moyo
4. Huboresha afya ya macho
5. Hupunguza uwezekano wa kupata saratani ya tumbo, utumbo na matiti
6. Hupunguza athari za maradhi ya kisukari
7. Huondoa tatizo la kutopata choo
8. Huimarisha mwili dhidi ya mashambulizi ya mara kwa mara
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia maembe kiafya, tunajua wazi kuwa maembe ni tunda ambalo lina umuhimu kwenye afya na uwa na vitamini C kwa hiyo tunapaswa kujua faida zake kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...kuhusu vitamini C, kuanzia chanzo chake, maana yake, upungufu wake na kazi zake kwenye miili yetu.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya kuoambana na mafua
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Vitamini C ni moja kati ya vitamini muhimu sana katika kuboresha ufanyaji kazi wa mfumowa kinga mwilini yaani immune system. Katika post hii utakwenda kujifunza kazi za vitamini C mwilini
Soma Zaidi...Hii ni orodha ya vyakula salama na vizuri kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula karanga
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula apple/tufaha
Soma Zaidi...