Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula passion
Faida za kula pensheni au pashen (passion fruit)
1. tunda hili lina virutubisho kama vitamini A na C. pia lina madini ya chuma na potassium
2. Husaidia kulinda mwili dhidi ya kemikali
3. Hulinda moyo dhidi ya maradhi ya moyo
4. Huboresha afya ya macho
5. Hupunguza uwezekano wa kupata saratani ya tumbo, utumbo na matiti
6. Hupunguza athari za maradhi ya kisukari
7. Huondoa tatizo la kutopata choo
8. Huimarisha mwili dhidi ya mashambulizi ya mara kwa mara
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Sifanjema Ni za Mwenyezi Mungu aliyetupa Afya njema hata kuifanya kazi hii mpaka kufiia hapa.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi ya Piriton katika kutibu mzio au akeji ni dawa ambayo kwa lingine huitwa chlorpheniramine Maleate.
Soma Zaidi...Somo hili linalenga kukujuza juu ya umuhimu wa tikiti kwenye afya ya mwili
Soma Zaidi...kuhusu vitamini C, kuanzia chanzo chake, maana yake, upungufu wake na kazi zake kwenye miili yetu.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula pera
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida ambazo anaweza kupata mwanadamu Kama akila bamia Mara kwa mara. Bamia huliwa Kama tunda au Kama mboga pia na husaidia vitu vingi mwilini.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula panzi senene na kumbikumbi
Soma Zaidi...