Vyakula vya kuongeza damu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya kuongeza damu

VYAKULA VYA KUONGEZA DAMU

 

Damu ni tishu iliyo katika kimiminika. Katika miili yetu damu ina kazi ya kusafirisha viinilishe na hewa ya oksijeni na kuondoa hewa chafu ya kabonidaiyoksaidi mwilini. Pia urekebishwaji wa joto na usafirishwaji wa homoni ndani ya mwili hutegemea damu. Kwa ufupi damu in akazi nyingi. Upungufu wowote wa damu mwilini unaweza kuleta athari nyingi mbaya za kiafya mwilini. Makala hii inakwenda kukueleza njia ya kuongeza damu kwa haraka.

 

Kazi za damu mwilini1.Kusafirisha viinilishe kutoka katika mfumo wa mmeng’enyo wa chakula kwenda maeneo mbalimbali ya mwili.2.Kusafirisha hewa ya oksijeni kutokakwenye mapafu kwenda maeneo mengine ya mwli.3.Kusafirisha hewa ya kabonikaiyoksaidi kutoka kwenye seli na kpeleka kwenye mapafu kwa ajili ya kutolewa nje4.Kudhibiti joto la mwili kwa kulipooza inapohitajika na kuliongeza inapohitajika5.Kusafirisha homoni kwenda maeneo mbalimbali ya mwili.

 

Vyakula vya kuongeza damu mwilini1.Nyama nyekundu kama nyama ya ng’ombe, mbuzi. Kondoo2.Maini3.Nyama ya figo4.Mboga za rangi ya kijani kama mchicha na apinachi5.Maharagwe6.Kunde7.Mayai8.Nafaka nyinginezo9.Njegere10.Koeosho na karanga11.Samaki12.Nyama ya ndege13.Karoti14.Matikiti15.Zabibu16.Viazi vitamu17.Matunda yenye uchachu kama machungwa, ndimu na limao.18.Polipili nyekundu

 

Dalili za kupungua kwa damu mwilini1.Uchovu wa hali ya juu2.Udhaifu wa mwili3.Ngozi kuwa na rangi ya njano au mauko4.Kupumua kwa shida5.Mapigo ya moyo kutokuwa ya kawaida6.Kizunguzungu na kichwa kuhisi chepesi7.Maumivu ya kifua8.Miguu na mikono kuwa ya ubaridi9.Maumivu ya kichwa

 

Sababu za upungufu wa damu mwilini1.Upungufu wa madini ya chuma mwilini2.Upungufu wa vitamini A na B-12 mwilini3.Maradhi kama HIV, UKIMWI, saratani, mardhi ya figo haya huweza kuleta upungufu wa damu4.Mfumo wa kinga mwilini kuuwa na kuharibu seli hai nyekundu (autoimmune)5.Uharibifu wa seli hai nyekundu kufanyika kwa haraka kuliko utengenezwaji.6.Kuwa na maradhi ya sickle cell

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 1964

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Faida za kiafya za kula kunazi/ lote tree

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kunazi/ lotetree

Soma Zaidi...
Fahamu Vitamini E na nz kazi zake, vyakula vya vitamini E na athari za upungufu wake

Katika makala hii nitakwenda kukupa somo linalohusu vitamini E, kazi zake, chanzo chake na madhara ya upungufu wake

Soma Zaidi...
Faida za kula Nyanya

Nyanya ni katika viungio vya mboga, kuna faida kubwa za kiafya katika nyanya

Soma Zaidi...
Faida za kula Matunda

Sifanjema Ni za Mwenyezi Mungu aliyetupa Afya njema hata kuifanya kazi hii mpaka kufiia hapa.

Soma Zaidi...
Rangi za majimaji yanayotoka kwenye uke na maana yake kiafya

Je unajuwa kuwa majimaji yanayotoka ukeni yanatueleza mengi kuhusu afya yako, rangi za majimaji ya ukeni na damu ya hedhi

Soma Zaidi...
Faida za kula apple (tufaha)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula apple/tufaha

Soma Zaidi...
Ndizi (banana)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ndizi

Soma Zaidi...
Faida za kula Palachichi

Palachichi lina virutubisho vingi na vitamini, kula palachichi uiokoe afya yako

Soma Zaidi...
Karoti

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula karoti

Soma Zaidi...
utaratibu wa lishe

Jifunze mengi kuhusu afya na lishe, ujuwe utaratibu wa lishe

Soma Zaidi...