Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mahindi
Faida za mahindi
1. Mahindi yana virutubisho Kama protini, wanga, madini ya chuma, vitamini B1, B5, B12 na C
2.Husaidia katika utengenezwaji wa seli hai nyekundu za damu
3. Husaidia kupunguza uwezekano wa kupata maradhi ya anemia
4. Ni chakula kinachoipa miili yetu nguvu
5. Husaidia katika kuongeza uzito
6. Hushusha kiwango cha sukari kwenye damu
7. Husaidia kwa afya ya mama mjamzito na mtoto aliepo tumboni, pia husaidia katika kujifungua salama
8. Huboresha afya ya ngozi
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Hapa utajifunza maana ya Vitamini C, mwaka vilipogunduliwa na aliyegundua vitamini C
Soma Zaidi...Zijuwe sababu kuu za kuwepo kwa maumivu ya tumbo baada ya kula chakula
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi asili ya madini ya Shaba, ni sehemu ambapo madini ya Shaba yanaweza kupatikana ni katika mimea na wanyama
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vyakula anavyopaswa kutumia mwenye matatizo ya uti wa mgongo, ni vyakula ambavyo upunguza makali kwenye uti wa Mgongo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula passion
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu kazi kuu tatu za vitamini C
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu umuhimu wa kitunguu maji mwilini
Soma Zaidi...Ukubwa wa tikiti unasadifu yaliyopo, kwani kuna fgaida akubwa sana za kiafya katika kula tikiti
Soma Zaidi...