Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mahindi
Faida za mahindi
1. Mahindi yana virutubisho Kama protini, wanga, madini ya chuma, vitamini B1, B5, B12 na C
2.Husaidia katika utengenezwaji wa seli hai nyekundu za damu
3. Husaidia kupunguza uwezekano wa kupata maradhi ya anemia
4. Ni chakula kinachoipa miili yetu nguvu
5. Husaidia katika kuongeza uzito
6. Hushusha kiwango cha sukari kwenye damu
7. Husaidia kwa afya ya mama mjamzito na mtoto aliepo tumboni, pia husaidia katika kujifungua salama
8. Huboresha afya ya ngozi
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kabichi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi asili ya madini ya Shaba, ni sehemu ambapo madini ya Shaba yanaweza kupatikana ni katika mimea na wanyama
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula passion
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukueleza kuhusu fati, vyakula vya fati, kazi zake na athari za upungufu wake
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula kunde, maharage, njegere, mbaazi na njugu mawe
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida ambazo anaweza kupata mwanadamu Kama akila bamia Mara kwa mara. Bamia huliwa Kama tunda au Kama mboga pia na husaidia vitu vingi mwilini.
Soma Zaidi...Hpa utafahamu faida za maji mwilini pamoja na athari za upungufu wa maji mwilini na dalili zake
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vyakula anavyopaswa kutumia mwenye matatizo ya uti wa mgongo, ni vyakula ambavyo upunguza makali kwenye uti wa Mgongo.
Soma Zaidi...