Faida za kiafya za kula Mbegu za papai

Faida za kiafya za kula Mbegu za papai



Faida za mbegu za papai

Mbegu za papai mara nyingi huliwa baada ya kukaushwa na kusagwa unga. Pia unaweza kuzikaanga kidogo ama kuzichemsha.

  1. husaidia mfumo wa mmeng’enyo wa chakula kufanya kazi vyema
  2. Husaidia kuzuia kupata saratani
  3. Hulinda figo kufanya kazi vyema
  4. Husaidia mwili katika kupambana na vijidudu vya maradhi
  5. Husaidia kwa wenye kisukari
  6. Husaidia katika kuondosha sumu za kemikali mwilini
  7. Mbegu za papai zina virutubisho mbalimbali


                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 2069

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Tufaha (apple)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula apple/tufaha

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za parachichi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula parachichi

Soma Zaidi...
Faida za embe

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula embe

Soma Zaidi...
Faida za kula Ndizi

Kuna faida kubwa za kiafya kwa kula ndizi, soma makala hii mpaka mwisho

Soma Zaidi...
Faida za chungwa na chenza ( tangarine)

Somo hili litakwenda kukueleza kuhusu faida za chungwa na chenza mwilini

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula nyama

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyama

Soma Zaidi...
Faida za kula Matunda

Sifanjema Ni za Mwenyezi Mungu aliyetupa Afya njema hata kuifanya kazi hii mpaka kufiia hapa.

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za nyanya

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyanya

Soma Zaidi...