Faida za kiafya za kula Mbegu za papai

Faida za mbegu za papai
Mbegu za papai mara nyingi huliwa baada ya kukaushwa na kusagwa unga. Pia unaweza kuzikaanga kidogo ama kuzichemsha.
- husaidia mfumo wa mmeng’enyo wa chakula kufanya kazi vyema
- Husaidia kuzuia kupata saratani
- Hulinda figo kufanya kazi vyema
- Husaidia mwili katika kupambana na vijidudu vya maradhi
- Husaidia kwa wenye kisukari
- Husaidia katika kuondosha sumu za kemikali mwilini
- Mbegu za papai zina virutubisho mbalimbali
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 web hosting 👉3 ai web app 👉4 Kitabu cha Afya 👉5 Madrasa kiganjani 👉6 Dua za Mitume na Manabii
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 web hosting 👉3 ai web app 👉4 Kitabu cha Afya 👉5 Madrasa kiganjani 👉6 Dua za Mitume na Manabii
Post zinazofanana:
Faida za kula Nanasi
Nanasi ni katika matunda matamu lakini mazuri pia kiafya, je unazijuwa faida zake kiafya
Soma Zaidi...HOMA YA DENGUE, DALILI ZAKE, TIBA YAKE, CHANGO YAKE NA INA SABABISHWA (AMBUKIZWA) NA MBU GANI
Homa ya dengue hupatikana sana Afrika, Asia na baadhi ya maeneo ya Caribbean.
Soma Zaidi...NI ZIPI KAZI ZA PROTINI MWILINI?
Makala hii inakwenda kukuletea kazi kuu za protini na vyakula vya protini katika miili yetu. Mkala hii itakusaiidia kujuwa namna ya kupangilia lishe yako kiusalama zaidi baada ya kujuwa kazi za protini katika miili yetu.
Soma Zaidi...Fahamu Vitamini E na nz kazi zake, vyakula vya vitamini E na athari za upungufu wake
Katika makala hii nitakwenda kukupa somo linalohusu vitamini E, kazi zake, chanzo chake na madhara ya upungufu wake
Soma Zaidi...