Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kitunguu thaumu
Faida za kiafya za kitunguu thaumu
1. ina chembechembe za salfa ambazo ni dawa kubwa kwa afya ya mtu
2. Kuna virutubisho kama vitamini C na vitamini B6, pia madini ya manganese
3. Hupunguza usingizi
4. Hupambana na mafua
5. Hushusha presha ya damu
6. Huboresha afya ya moyo
7. Huborsha afya ya ubongo na kuondoa tatizo la kusahausahau
8. Huondosha sumu za vyakula na kemikali mwilini
9. Huboresha afya ya mifupa
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi kazi za tunda la mpapai katika kurekebisha homoni.ni tunda ambalo ufanya kazi yake kwa sababu ya kuwepo kwa virutubisho muhimu ndani ya tunda hili.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyama
Soma Zaidi...Posti hii itakwende kukueleza kuhusu faida za kula apple na umuhimu wake kiafya
Soma Zaidi...unayopaswa kuyajuwa kuhusu protini na vyakula vya protini, faida zake na hasara zake. Madhara ya kiafya yanayohusiana na protini pamoja na kuyaepuka madhara hayo
Soma Zaidi...Kuchaguwa vinywaji si jambo rahisi, lakini inabidi iwe hivyo kama una tatizo la kisukari. Je unasumbuka kujuwa vinywaji salama? makala hii ni kwa ajili yako, hapa tutaona vinywaji ambavyo ni salama kwa mwenye kisukari.
Soma Zaidi...tangawizi ni katika viungio vya mboga vyenye faida, pia ni kinywaji, zijuwe leo faida za tangawizi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula peazi/peas
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za mchaichai
Soma Zaidi...