Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kitunguu thaumu
Faida za kiafya za kitunguu thaumu
1. ina chembechembe za salfa ambazo ni dawa kubwa kwa afya ya mtu
2. Kuna virutubisho kama vitamini C na vitamini B6, pia madini ya manganese
3. Hupunguza usingizi
4. Hupambana na mafua
5. Hushusha presha ya damu
6. Huboresha afya ya moyo
7. Huborsha afya ya ubongo na kuondoa tatizo la kusahausahau
8. Huondosha sumu za vyakula na kemikali mwilini
9. Huboresha afya ya mifupa
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Utajifunza vyakula vyenye madini kwa wingi, kazi za madini mwilini na athari za upungufu wake
Soma Zaidi...Vijuwe vyakula vya kyongeza nguvu za kiume na mambo yanayopunguza nguvu za kiume
Soma Zaidi...Katika makala hii tutakwenda kujufunza faida za kiafya zinazopatuikana kwa kunywa maji yamoti wakati wa asubuhi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kunazi/ lotetree
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula miwa
Soma Zaidi...Tufaha ni katika matunda adimu na matamu, je unazijuwa faida zake kkiafya?
Soma Zaidi...